Shushaa hiki kisa shangaziii, kinanisisimua mnooo.Ni story yakweli hivo matukio yapo wazi mambo ya kutunga ndio huwaga magumu sana [emoji23]
Unasisimka huwa unakulaga Vitunguu Swaumu?Shushaa hiki kisa shangaziii, kinanisisimua mnooo.
[emoji91][emoji91][emoji91], [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
SafiiπNipo siti ya mbele
bakora ganiHainizingui hii anaimaliza muda si mrefu kuna wale wakiandika inaendelea ni miaka sasa bado watu wanasubiri hao ndo wakuchapa bakora
Fimbo zile za shulebakora gani
sio ile ya mtoto kautaka?Fimbo zile za shule
Hiyo ni yako sasaππsio ile ya mtoto kautaka?
Safi sana ππNamalizia Yani hata ugali sipiki Hadi nimalize π
Ooh utaachika bureee,pika ugali mume na watoto washibe ndio uendeleeNamalizia Yani hata ugali sipiki Hadi nimalize π
Watu wachache kama wapo darasaniKijijin hakunaga siri,sjui huwa ni kwanini