sawa tusaidie tu kwanini mkuu wa shule alikuchagua wewe, wakat Khadija alikuwa na marafiki wengi kama ulivyosema mlikuwa 8 kwenye kundi lenu ππππHiko mnachowaza hakipo ππila watu
unalalaje njaaa sasa njoo ule hukuHahahah nitalala njaa ππ
Mkiwa group kwenye discussion sio kama ni marafiki sana Ila tulikuwa tunakuwa wale ambao tunaishi karibu so tunakuwa karibu muda mwingi na tunaishi mtaa mmoja kwani tulikuwa tunasoma usiku so Ilikuwa tunachagua nyumba za kufanyia discussion ni saa 2 had nne usikusawa tusaidie tu kwanini mkuu wa shule alikuchagua wewe, wakat Khadija alikuwa na marafiki wengi kama ulivyosema mlikuwa 8 kwenye kundi lenu ππππ
Hahaha!!nayamwaga
Mi naona watambasilisha hadija atakua wa kiume kwa muda wa mtihani akimaliza atakua wa kike tenaππEeeh,akasema umfiche Khadija?
Alitumia sifa/kigezo kipi kukuchagua wewe uwe msiri wa mimba/ujauzito wa khadija?πHiko mnachowaza hakipo na hakuwahi kuniambia ππ
Ahsante sana.Hahha sawa karibu π
Sijui nitasema hiv Hadi mwisho ila nilikuwa group discussion moja na hadija ninamfahamu tunaishi mtaa mmoja huenda alikuwa anajua ninafahamu piaAlitumia sifa/kigezo kipi kukuchagua wewe uwe msiri wa mimba/ujauzito wa khadija?π
Huyu miss Bunji anapenda udaku!!πAcha uvivu shusha vitu