kwenye siasa threads zangu zinafutwa siku hizi eti mie mchochezi ngoja nikisanue huku huku kusipokuwa na banDuh kama Ronaldo Kila sehemu Upo.
hii habari ya uwongoTuli
Tuliambiwa kuwa video ya NUMBER ONE iliyofanyika South Africa walitumia dollars za America kiasi cha kama 30,000 name ndiyo video ilikuwa bora kwa viwango vya kimataifa. Hii ni gharama zote.
Sasa iweje leo Wema adai Million 75 pekee yake?!!! Mbona hata ile million kumi aliyotaka kwa Rayvanny Kyle kushoot video 'Natafuta kiki'pia hakupewa hata Mia?!!
Na bado anataka kwenda mahakamani?!!!
Huyu binti asijipandishe hivyo. Si daraja lake
Usiseme mkuu, kuna mishe (zao) dau alilokubali na alichopewa ni soo hata kuisema humu ni balaa, leo akatae 50m!!???,hata mzee wake(R. I. P) anasikitika huko alipo naaminiAende akakuze tu makalio huko, kiki gani za kishamba hivi, alishindwa kulipia umeme Elfu 20 kwa mwezi mpaka akaiibia TANESCO leo hii awe wa kukataa 50M???!
ana furaha ya kufanya video na babaa mupenzii!!!hamisa mobeto kwa jinsi alivyofurahi mule kwenye video... nahisi amefanya bureeee kwa kujitolea kabisa...
amefurahi sana anacheza kwa raha tele...
kama amelipwa amepata ndege wawili.. hela ya video na bado furaha yake ya moyoni