Wema: Nilitaka mil 75 kuwa Salome, WCB wakanipa mil 50 nikakataa

In reality hapa Bongo hakuna Video Queen atakaye weza Demand on that price. WEMA anadanganya UMA live. Kwa Usawa huu 50M ukatae????? kama Ni kweli amuombe Mnyazi Mungu msamaha.
 
hamisa mobeto kwa jinsi alivyofurahi mule kwenye video... nahisi amefanya bureeee kwa kujitolea kabisa...

amefurahi sana anacheza kwa raha tele...

kama amelipwa amepata ndege wawili.. hela ya video na bado furaha yake ya moyoni
Hata angefanya bure bado soko lake limekua na hadhi yake imekua, inshort amepata faida nyingi sana kutokea kwenye wimbo wa salome, Lulu sijui kashapost video insta na zari, nangoja kwa hamu
 
Kwal huyu she ni shida. . nikulipe milion 50 kisa video. . wakat hata nikifanya show sipati hiyo 50
 
Kituko cha Mwaka.

Huyu dada amezidi kutafuta kiki kupitia Diamond kwa uongo, shame on her.
 
sasa anapoendaga kwenye vijibirthday uchwara na vitamasha huwa analipwa dola ngapi?
Nani wa kumlipa dola? Huyu mdada muongo, hana hadhi ya hiyo pesa anayoitamka.
 
Mtoa mada hebu tupe evidence, ni kituo kipi ambacho Wema alizungumza hayo mambo. Halafu kama sepetu alitaji 75mil ili kuonekana kwenye kichupa kipya cha diamond, je kwenye kichupa cha raymond alilipwa kiasi gan?. Nadhan kabla hatujaendelea na ubshani hebu tupe evidence kwanza
#NI MTAZAMO TU
 
hiyo brand ya wema ndio ipi! kujichubua, kuiba umeme, kushindwa kulipia gari ushuru, kusema uongo uongo, kuanzisha kampuni zisizodumu! bado simuelewi huyu malkia uchwara ujue
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…