WakudadavuwaKwani shonza yupo siku hizi?! Maana hasikiki, yeye angeshachukua hatua za kumwita kumuadhibu mbele ya kamera za waandishi wa habari.
Iyo clip iko wapi?Ameomba radhi Watanzania na TCRA kutokana na kupost video yake aki-kiss na Mwanaume aliemuita ‘future husband’.
‘Tangu jana mpaka leo, siko Sawa. Nimejikuta natafakari upya maisha yangu.’
Kwa Mara nyingine tena, nawaomba radhi sana ndugu, jamaa na marafiki wote wanaonisupport’
https://www.facebook.com/video.php?v=259659421410291
Ameomba radhi Watanzania na TCRA kutokana na kupost video yake aki-kiss na Mwanaume aliemuita ‘future husband’.
‘Tangu jana mpaka leo, siko Sawa. Nimejikuta natafakari upya maisha yangu.’
Kwa Mara nyingine tena, nawaomba radhi sana ndugu, jamaa na marafiki wote wanaonisupport’
TCRA kwani wana meno siku hizi? angekuwa bado yupo CHADEMA leo ndio mgeelewa kama TCRA wanakubali upuuzi huo kwani hakuna asiyejua kuwa jambo hilo kwamba WM kalifanya makusudi na imekuwa ni stahili yao wanapokuwa wanatafuta kick...najua katumwa na *COCA ZERO" akaombe msamaha...Ameomba radhi Watanzania na TCRA kutokana na kupost video yake aki-kiss na Mwanaume aliemuita ‘future husband’.
‘Tangu jana mpaka leo, siko Sawa. Nimejikuta natafakari upya maisha yangu.’
Kwa Mara nyingine tena, nawaomba radhi sana ndugu, jamaa na marafiki wote wanaonisupport’
Khaaa!Vipi anataka kututambulisha mrithi wake maana naona umri wakustaafu umeshafika..