elmagnifico
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 8,261
- 9,733
haka ka jamaa kwa kujipendekeza ni balaa eti kanajiandaa kumwandalia sherehe prezident kikwete pyuuuu!!!!!!
Haka kajamaa kanajipendekeza sana inaelekea kuna kitu kanamendea si bure au ndio kanajiandaa ili kagombee ubunge huko kwao.
Kangekuwa kabinti kangekuwa kama kamata
akitoka nje, akaondoe lile liringi/liheleni kwenye kisimi/clitoris chake haraka, manake alivyopekuliwa kule gerezani alikutwa na bangili/heleni kwenye harage lake aibu tupu. kweli huyo mwanamke alishindikana kucheza danguro kule alikomtoa p funk, hata huyo fariji sijui alifuata nini kwa mcheza shoo.....mshaurini aendelee kujikita kwenye bongo muvi, asirudie matapishi.Hakimu Sundi.... mshtakiwa Kajala
watoto wa kisukuma hao
acha roho ya kwann ndugu, kujishow off kwa lipi? Nani asiyemjua wema mpaka hlo ndo limpe umaarufu
sasa wewe ulishapata hizi taarifa zote magezeti ni ya nini tena!?? Au u miongoni mwa wale ambao hata akishuhudia tukio linatokea hayaamini macho yako mpaka uone 'imeandikwa gazetini'.
Siwezi kujua Wema hiyo pesa kaitoa kwenye hazina gani lakini kihuhakika kaonyesha picha tofauti kwa jamii maana katika maeneo ambayo mtu asingependa yeye au ndugu yake kuishi ni gerezani. Kwa hili kaonyesha uungwana halisi.
...na inaweza kuwa 'reminder' kwa wale waliokuwa wakibishia kauli ya jk kuwa 'atatengeneza mamilioneaire'
hapo mapedeshee mate yanawatoka wanataka mume afungwe than wao wapete na mke wa mtu mtaani. miaka 7 bila mume inahitaji uvumilivu sanaHabari Njema Hii,kiukweli Kabisa Kajala Ni Muigizaji Mzuri! Sasa Mbona Hamtuambii Mumewe Nae Kalipa Hiyo Fain Ya Mil Miambili Au?yaani Hawa Waume Zetu Hawa,kwa Kweli Unaweza Kujikuta Matatizoni Bila Kujua! Ni Kuomba Tu Mungu,vyanzo Vya Mapato Ya Waume Zetu Ni ZAIDI YA TUJUAVYO!