Wema Sepetu amwokoa Kajala, atoa milioni 13 kumnusuru

haka ka jamaa kwa kujipendekeza ni balaa eti kanajiandaa kumwandalia sherehe prezident kikwete pyuuuu!!!!!!

Haka kajamaa kanajipendekeza sana inaelekea kuna kitu kanamendea si bure au ndio kanajiandaa ili kagombee ubunge huko kwao.
Kangekuwa kabinti kangekuwa kama kamata
 
Lazima kuna Kigogo nyuma ya pazia.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Haka kajamaa kanajipendekeza sana inaelekea kuna kitu kanamendea si bure au ndio kanajiandaa ili kagombee ubunge huko kwao.
Kangekuwa kabinti kangekuwa kama kamata

na kweni mkuu mtu wa kiume kuwa hivi ni hatari!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Hongeera xana wasanii wa bongo movies. Kajala nenda kanisani moja kwa moja
 
Sasa huyo mumewe MPIGAJI naye kachomolewa na nani?
 
Hakimu Sundi.... mshtakiwa Kajala

watoto wa kisukuma hao
akitoka nje, akaondoe lile liringi/liheleni kwenye kisimi/clitoris chake haraka, manake alivyopekuliwa kule gerezani alikutwa na bangili/heleni kwenye harage lake aibu tupu. kweli huyo mwanamke alishindikana kucheza danguro kule alikomtoa p funk, hata huyo fariji sijui alifuata nini kwa mcheza shoo.....mshaurini aendelee kujikita kwenye bongo muvi, asirudie matapishi.
 
Hongera Wema. Hakika huyu binti pamoja na mambo yake ya gizani huwa ana matendo ya huruma Sana. Nakumbuka hata ule msiba wa Sharobaro Milionea alijitoa sana. Ndiye msanii pekee aliyetoa rambirambi ya maana na kuna post ililetwa kumpongeza hapa. Wema be strong, rebuild your reputation!! Take note that "It takes 20 years to build one's reputation but it takes 5 minutes to ruin it".
 
acha roho ya kwann ndugu, kujishow off kwa lipi? Nani asiyemjua wema mpaka hlo ndo limpe umaarufu

roho ya kwa nini hapo imetoka wapi?

Wewe unavyomjua wema unadhani kila mtu anamjua?

Anyway umeuliza kujishowoff kwa lipi? Kwani ukimsaidia mtu mpaka tanzania nzima wajue?
 
mmh mil 13?huwa natamani kuona extendend family zao maana hata iweje sisi si wazungu tuna wajomba,babu,watoto wa mamdogo nk. hongera lakini
 
mume.... atajibeba.... hala hala yasimukte ya mtoto wa babu seya...
 
Wakuu mi nipo nyuma kidogo(ushamba) naomba mniweke sawa hapa kutakatisha hela haramu what does it mean? Yaani jamaa kafanyaje?
 


Mkuu, namaanisha kwamba magazeti ya kesho hasa yale ya udaku yatauza sana kuhusiana na wema wa Wema aliouonesha kwa Kajala..
 
hapo mapedeshee mate yanawatoka wanataka mume afungwe than wao wapete na mke wa mtu mtaani. miaka 7 bila mume inahitaji uvumilivu sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…