Hapo kuna umuhimu wa kuwajulisha animal rights group waje kuwachukua hao mbwa na paka.
Nikilinganisha na mbwa wa Wema, hao mbwa wako huwatendei haki kabisa.
Ndo maana twiga na tembo wetu wako katika hali mbaya kwa sababu ya watu kama nyie.
Mtani, charity goes with publicity, as a promotional tools for her proffessional carrier.
Kama anajitangaza hajasaidia , kanunua ad space tu.
Tunaosaidia na kujua maana ya kusaidia hata huwezi kutusikia tunajitangaza kwa majina.
Kutakatisha fedha ni money laundering, GOOGLE IT utapata hata maana tu kama we si msomi wa sheria. kwa kifupi ni kwamba, mtu anapata pesa kwa njia isiyo halali, ile pesa inakuwa kwa jina lingine pesa chafu. baada ya hapo anaanza kufanya vitu vitakavyoihalalisha ile pesa iwe safi. wengi wanajenga majumba, wengine wanaweza kuchannel zile pesa toka kwenye accounts tofautitofauti na za watu wengine alimradi tu wafiche justification ya zile pesa zionekane kama walizipata kihalali kumbe ni pesa chafu.Wakuu mi nipo nyuma kidogo(ushamba) naomba mniweke sawa hapa kutakatisha hela haramu what does it mean? Yaani jamaa kafanyaje?
yeah thats ma BOSS lady Wema Sepetu,,,,,,,,,,,,,,,,,,saidia mama saidia sura nzuri roho nzuri pia......, Kina penny mkafie huko mlikoenda kujitengesha.Wema ndo Habari Ya Mujini,mwacheni dada yetu miaka 800
Kongosho anadai eti ana mbwa wawili na paka wawili na bajeti yao ni laki moja kwa mwezi.Hey, nani kaweka tena picha ya SKY humu JF?
EMT, once sold he is no nonger yours, utalipa!
BTT: Ie kwa kujitangaza au kwa siri siri
lazima tumpongeze Wema kwa alio fanya!
Big up Sister, endelea na moyo huo huo
Hivi kweli ule mjengo wa milioni 400 ni wa kwake na bado anaishi hapo?
Kongosho anadai eti ana mbwa wawili na paka wawili na bajeti yao ni laki moja kwa mwezi.
Wakati bajeti ya mbwa wawili wa Wema ni milioni sita na shopping yao inafanyiwa China.
I found that so unfair. Ndo maana niligoma kumwuzia huyo mbwa.