Wema Sepetu anaufunga mwaka vibaya, afukuzwa kwenye nyumba aliyodai kuinunua 280m

Wema Sepetu anaufunga mwaka vibaya, afukuzwa kwenye nyumba aliyodai kuinunua 280m

1450726905815.jpg

1450726923488.jpg

Bei ya mwisho aliyopatia kupangisha chini ya mil 1 ambayo ni... kwa mwezi. Si mnajua mtu unaomba na kuomba kupunguziwa tena inamdanganya na mwenye nyumba baada ya kulilia wanaume kama 10 wakusaidie uchangishe inakuwa sooo sasa unaishia kuomba msaada na kuahidi kuwa utasaini mkataba sababu hauna pa kulala na kuweka vitu hutaki kuchekwa na watu lazima kila kiti kifanyike haraka haujali ya mbele ni mbele....kwa sasa nijitahidi mnisitiri nifute aibu maana hawa mabwana ahadi zao zote shida hawaaminiki wananimaliza tu.


Watu wanajua kuandika
 
kuna watu humu ukiwauliza kwanini wanamchukia wema! watatoa macho hawana sababu. matatizo humkuta kila mtu aisew
 
Sasa apo naanza kuelewa wimbo diamond utanipenda kumbe jamaa aliona mbali hivi wema akiusikia huu wimbo ata yeye unamgusa

Alijianika instagram akiuimba ili D amsigie wapi ni kama hajamsikia. Alitafutia kiki haikulipa....anahitaji kuimba Hello wa Adele
 
Mpwa warumi mchawi aliyekuroga atakuwa amekufa au kapata kichaa, wallah si bure we mtoto!
 
Last edited by a moderator:
Ha ha ha naona umefurahi, mi nmemuonea huruma kwakweli....labda ahamie kwa boyfriend ake Idris sultan

Mpe namba yangu anitafute pedeshee nimupe hifadhi ya nyumba nyingine bomba sinza haina kodi bi yeye kuishi tu humo
 
Lakini si ana kampuni ya vipodozi..... Au nayo magumashi. Sijui wanaigiza maisha hivyo kumrusha roho nani...
 
Mh. JPM hakumuona kipindi kile anazunguka na Sa100 akampa UBUNGE wa kuteuliwa. Mkumbusheni Mh.
 
mkuu lakini maisha mungu si ndie anapanga ??? Halafu tunaweza mlaumu wema kumbe uki trace back generation moja ya kwao kuna mtu alifanya kitu kisicho sawa sasa ndio hivyo watoto wanavuna madhambi na nuksi za walio watangulia




karma is real
 
Back
Top Bottom