Wema Sepetu, Mr. Blue, TID, Recho wahusishwa na Dawa za Kulevya. Watakiwa kuripoti kituo cha Polisi

Hawa ni nyoka wadogo sana. Hawa hawawezi kupita Mwalimu Nyerere International Airport na KIA bila kukamatwa.
Makonda wataje wale ambao huwa wanapitisha mzigo Airports zetu bila kukamatwa.
 
Huwa hawataji wahusika,sijui wanakula viapo vya aina gani..!!
Katika kupambana na madawa ya kulevya ukatili hauepukiki!

Unafikiri ukiwauliza huko mtaani watasema??
 
Unaweza kuta child Benz hamjui mkuu wa mzigo , unakuta yeye ananunua kwa MTU wa 3 au 4
Kamaanisha aanze na chid aje uyo mtu wa tatu wa pili atimaye wa kwanza nadhani pia kafanya hivyo ndo mana kawapata hao wakuu kupitia watumiaji wa mwisho
 
Kwa sheria utamfunga huyo mtu aliyetajwa?? Na kwa uthibitisho upi pasina shaka?? Hakuna kesi hapo.. kuna siasa tu
 
HIVI JAMANI NAJIIPELEKAJE POLIS KWA JINA LA TID KWA MFANO? SIUNGI MKONO MUUZAJI WALA MTUMIAJI ILA WELEDI UTUMIKE
 

Nawewe inabidi ukamatwe,,tunahisi ni mmojawapo,, NGOJEA tuwaambie tusk force wakuje kukudaka😀
 
Hawa Akasha grup ni wa zamani sana, wameuwa sana askari wa kenya hawa ndiyo walio kuwa wanafanya biashara na ikulu ya kenya enzi za Mwai Kibaki hawa jamaa walikuwa mafia sana
 
mkuu biashara ya unga sio sawa na ile ya kuuza na kununua pipi....kwamba ukiulizwa tu unamtaja mangi fasta....no biashara ya madawa ni hatar na very serious kiasi hawaoni ajabu kumpoteza yeyote atakae zuia njia zao...!!!!!

Kiukweli hao waliotajwa kama kweli wanajihusisha na mizigo basi maisha yao ni hatar zaid mikononi mwa madrug dealers kuliko hata mikononi mwa serikali. wale jamaa hawanamchezo and they have strong support behind.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…