SIMEON KATATANAMA
JF-Expert Member
- Apr 15, 2013
- 479
- 277
View attachment 466457
Akitoa taarifa katika kipindi cha infomer cha clouds FM kufuatia msako wa kukamata wahusika wa madawa ya kulevya alichofanya mkuu wa mkoa Paul makonda.
Askari 9 wamekamatwa wakishirikia na wauza madawa ya kulevya Huku wasanii watumiaji wa madawa hayo wakitajwa na kutakiwa kuripoti polisi wenyewe mapema ,
wasanii waliotajwa na kutakiwa kuripoti polisi ni
1. Wema sepetu
2. Petiman wakuache
3. TID
4. Mr. Blue
5. Recho(kizunguzungu)
SOURCE; Clouds FM (Informer)
NB: Suala la Dawa za Kulevya limikuwa likizungumziwa na kupewa kipaombele kwa muda mrefu hapa JamiiForums. Kwa taarifa zaidi tembelea mada hii, kupata orodha ya mada nyingine nyingi zinazojadili suala hili - Madawa ya Kulevya na aibu ya Tanzania - Yatosha sasa!
Hawa ni nyoka wadogo sana. Hawa hawawezi kupita Mwalimu Nyerere International Airport na KIA bila kukamatwa.
Makonda wataje wale ambao huwa wanapitisha mzigo Airports zetu bila kukamatwa.