Hayo mambo ajiombee mwenyewe aiseee............. Sema huyu wa kiume cjuh kama wanaweza mpoteza kilaisi kama chifupaHuyu anahamisha goli la ufaulu.. Halafu anataka tumwombee kwani hiyo vita ni ya kiroho au kimwili?
Kama unamtafutia tiba,inamaana unaruhusu na wengine kuanza kutumia.Ulitaka imuache afe
Yeye,mkuu wa mkoa,inaonekana anaushahidi ndomana kawataja,tusubiri tuone,nn kitaendelea.Watanzania wengi watasherehekea habari kama hii,lakini kwa ukweli dhana ni kitu kibaya sana,kama mtu hajakamtwa na ushahidi wa kufanya hayo mambo ya madawa ya kulevya basi ni kosa kumtaja jina lake ,huu ni udhalilishaji wa haki ya mtu..
Nafikiri nchi yetu ina vyombo vinavyohusika na makosa kama haya,kwanini mkuu wa mkoa haachii hizo mamlaka zikafanya kazi yake...,Tanzania yunakwenda wapi,kama polisi wanaushahidi kwanini hawawakamati hao wahusika na kuwapeleka mahakamni...
Nenda kwa Mange...tayari mbonaMkuu saa hizi Mange kule ni usiku amelala ngoja aamke utashangaa jinsi atakavyo msaidia makonda kumuongezea List, na hapo atafuta yale matusi yote ya Makonda itabaki sifa tu.
Umesoma mwenge primary?Mwenge..kituo cha itv kuna bar inaitwa Maryland. Sasa nyuma ya Maryland bar..mtaa wa kwanza kushoto..hapo ndiyo kitivo cha mateja dar es salaam.
Kuna jamaa mmoja white hivi anavaa Sana pensi..huyo ndiyo pusha wao hapo tangu Mimi nasoma Mwenge primary .
ulishawahi sikia neno "saidia polisi?"[emoji2] [emoji2] [emoji2] kiddingMwenge..kituo cha itv kuna bar inaitwa Maryland. Sasa nyuma ya Maryland bar..mtaa wa kwanza kushoto..hapo ndiyo kitivo cha mateja dar es salaam.
Kuna jamaa mmoja white hivi anavaa Sana pensi..huyo ndiyo pusha wao hapo tangu Mimi nasoma Mwenge primary .
Daah alipigia sana kampeni chama chetuHapo namuhurumia Kabyser tu
Watatajana kesho....hahahha huyo petit kamuuza wema hahha...watatajana tuWamemsahau Muna kistuli...Wema atusaidie.
Mange na yeye uwa kuna watu ambao uwa wakisemwa basi uwa analalamika.Mange kimambi pls say somthing on this
Utakuwa na heshima sana mkuu na heshima yako haibagui haichagui.Uyu jamaa nilikua namheshimu asee na kama ni kweli,ntamuona boya!.watu wake wa karibu mwambieni.
Nimekumc my cwt, upoDuuuuh mbona sijaipata hii? Hatari yaja.
Kaka hata si kulaumu,sio wewe tu watanzania wengi wako kama wewe,hawajua haki zao za kimsingi,hawajui kwanini tuko duniani.wengi wanaishi hawajui wataamka vipi asubuhi ya kesho,na ndio maana wakati wa kampeni za uchaguzi Lowasa alisema watanzania wanahitaji "Elimu,Elimu,Elimu"Nawewe inabidi ukamatwe,,tunahisi ni mmojawapo,, NGOJEA tuwaambie tusk force wakuje kukudakaπ
Bavicha hakuna kitu atakifanya makonda mka appreciate nyie ni kupenda tuKabla ya kusubuiria ku win kwake, anaonekana keshaanza kwa kufeli, mkuu wa ulinzi na usalama wa mkoa, anaanzaje kuwataja watuhumiwa kwa majina ya kihuni huni! Tena wengine ni waajiriwa wa serekali!
Yaani japo mi si mwelewa sana wa sheria lakini najua akifikia kwenye mashtaka mtuhumiwa atakataa kila kitu mpaka jina na akipeleka mahakamani ushahidi kwamba yeye ( mtuhumiwa) jina lililoshtakiwa sio lake, hana kesi"
Hata hao alioagiza kukamatwa kwa majina ya kihuni, watakamatwaje wakati sio wenye majina hayo!
Hao aloagiza waende central, kama ni mimi siendi" eti chid benz! T.i.d....! Ndo nani!?
Wauza madawa wakubwa raia wanawajua, sembuse vyombo vya ulunzi!? Wamuulize kikwete awaoneshe"
Mkoa wake unaongoza kwa vilaza" sijui kama analijua hili? Na labda sio mhimu kwake:
Sikulaumu kaka,ndio hulka za watanzania zilivyo,lakini je unajua haki zako za msingi,je unajua kawanini uko hapa duniani,je unajua kuwa kama umesingiziwa kesi inabibidi ulipwe,je unajua tuhuma kam hizo zinaweza kuwafanya watu wengine wapoteza maisha au wapate wazimu,Je kama ikitokea mmoja kati ya hao watu waliotajwa amejiua au ameuliwa kutokana na kutajwa kwake kuwa ni muuza madawa,je Makonda ashtakiwe.....Nawewe inabidi ukamatwe,,tunahisi ni mmojawapo,, NGOJEA tuwaambie tusk force wakuje kukudakaπ
when i remember her in the so called project, namely "MAMA MKANYE MWANAO", I end up in a deep laughter!Wema sepetu anyongwe jamani kaaribu mamilioni ya Watz