Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
- Thread starter
- #21
Kwa alipofikia si rahisi kupata mtoto.Mtoto ni mipango ya mungu mambo mengine waachie wazungu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa alipofikia si rahisi kupata mtoto.Mtoto ni mipango ya mungu mambo mengine waachie wazungu
Aisee 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Nimefurahi kusoma bado unawafatilia... Anza tena kutupa story za celebs wako 🤗
wa kwake angeweza ila jeuri ya kuasili hana!Yani Wema ashindwe gharama za kumlea mtoto ? Upo serious kweli mkuu?
Tuanzie hapa, ili uasili mtoto kipato chako inabidi kiweje?wa kwake angeweza ila jeuri ya kuasili hana!
Celebrities forum inakupa uhuru wa kuanika privacy ya mtu?Kumbuka upo celebrities forum.
Privacy kama ipi hapa imeanikwa?Celebrities forum inakupa uhuru wa kuanika privacy ya mtu?
Kakwambia ana shida na mtoto?Privacy kama ipi hapa imeanikwa?
Kwani hilo jambo ni siri?Kakwambia ana shida na mtoto?
Umejuaje, hakuna asiejua anavyohangaika!!?!,nani amekabidhiwa ulinzi wa maisha yake? Kama umekabidhiwa wewe,lazima uanike?Kwani hilo jambo ni siri?
Hakuna asiyejua namna Wema anavyohangaikia mimba kashafanya kila linalotakiwa kufanyiwa ila kaambulia patupu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ana kipato gani cha kuasili mtoto?
Mtoto wa kuasili bila kipato cha maana atakukimbia tuu...
Yani uniasili kisha ukanipigishe jua? Si bora nijirudie kwetu tuu?
Kwani huyo Whozu analelewa na Wema? Nachojua Whozu ni Star na ana income yake nzuri tu. Iweje alelewe na Wema?.Kwani mtoto anakula nini ambacho Wema atashindwa kukimudu?
Wema ana nyota ,inbox ya Wema madanga yamejaa yanapigana vikumbo.
Kama anaweza kulilea zee zima Whozu ndo ashindwe kummudu mtoto?
🤣🤣Kwa hela ipi?
Kwann unasema hivyo?Kwa alipofikia si rahisi kupata mtoto.
Nashangaa jmnUtumbo una uhusiano gani na placenta?
Kwani hilo jambo ni siri?
Hakuna asiyejua namna Wema anavyohangaikia mimba kashafanya kila linalotakiwa kufanyiwa ila kaambulia patupu.
Rejea Angel jolie na Brad Pitt🤣🤣Tuanzie hapa, ili uasili mtoto kipato chako inabidi kiweje?
Tuna vingi hatujasikia my wangu😁😁Nashangaa jmn