Wema Sepetu, nakushauri fanya maamuzi ya kuasili mtoto

Kila Mama ni mwanamke ,lakini si kila mwanamke ni Mama.
 
Wewe haumjui wema vizuri na hujui nilichokiandika Ila sitaki ligi na wewe hususani inayohusu Maisha ya mtu nnaemweshimu it doesn't matter anapitia wakati gani, what I believe wakati wake ukifika mtashangaa Mimi nimetoa km option tu sio sababu za kitoto unaweza ukaona za kitoto kumbe ndio suluhisho na akafanyia kazi akashika ujauzito na mtoto akapata utasemaje?
 
ASHKURU MUNGU KWA KUKOSA MTOTO, AKIWEZA AENDE NA KUTAMBIKA.
MTU KUTWA KUSHINDA NA MASHOGA, PENGINE MTOTO ANGEKUJA KUWA SHOGA.
 
Mimi huyo simjui Wema vizuri.

Aisee pole sana.
 
Chart GPT [emoji2957][emoji2957][emoji2957][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kweli watu wamekua vilaza yaani umeshindwa kufikiri Hadi utumie roboti
 
Hivi wewe ni Nani Kwa Wema mpaka uanze kumshauri hapa? Hivi huna ndugu zako wa kuwashauri mpaka uanze kujipendekeza Kwa Wema?
Fanya yako Wema ana watu kibao Tu wa kumpa ushauri, au kama unahisi wewe ndio atakusikiliza basi mfate nyumbani kwake na sio kutafuta cheap popularity hapa[emoji16][emoji16]
 
Huyo ni celebrity lazima tumjadili.
 
Ana kipato gani cha kuasili mtoto?

Mtoto wa kuasili bila kipato cha maana atakukimbia tuu...

Yani uniasili kisha ukanipigishe jua? Si bora nijirudie kwetu tuu?
taja bei yako chap kuna muindi anataka mtoto
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…