Wema Sepetu, nakushauri fanya maamuzi ya kuasili mtoto

ChatGPT.
 
Mleta uzi ni mwanaume!!
 
Nini kifanyike sasa ikiwa Sheria za nchi zinaruhusu mtoto kuasiliwa?
 
Anajaribu Kwa wenzake kina Whozu
 
Watoto yatima kibao wamejaa,sio lazima kuasili mtoto mwenye wazazi wake .
Sheria inataka kufuata utaratibu wa kuasili hata kama ni yatima.Kuasili yaani adoption ni kitendo Cha kupata umiliki wa mtoto kama mzazi Kwa mujibu wa Sheria.Kumlea tu mtoto hata umpe Nini bila kufuata matakwa ya kisheria bado hawi wako.
 
Mkuu concussion yako NO, mtafute Wema Mimi nitampa mimba nikishindwa namlipa 2M labda awe ametoa kizazi
 
Mayai ka kaangia chipsi huyo ngoja akomae kwanza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…