Wema Sepetu usizae kiholela wala nini. Bibi kizee anataka kukuponza

Na akijifungua atuletee DNA kama anavyodai ya mwenzie.poor idris mtoto wa 1993 kuparamia vibibi asalalee..

Wala hamna haja ya DNA, MUNGU WETU NI MKUBWA SANAAAA KUSHUSHA DNA YA KATUNZI. Wala msimsumbue mkemia. MTOTO ANAKUA YULE, Na Mungu anavopenda kumaliza utata sasa? Patamu hapo.

Na kwa Wema tunaendelea na DNA ya Mungu tu.
 
Wewe msichana una maneno machafu...sijui hata uyo mwanaume uliyenae yupoje maana kwa maneno ayo uliyoandika mmh.ila kumbuka hujafa hujaumbika lara 1 na mungu anakuona na kukuckia ayo maneno machafu unayotoa

Jamani si nishaomba RADHI? Mbona hivo lakini. Nimeshasema hapa nachangamsha genge tu wajameni, Laana za nini?
 
Ungejua mwenyewe wema alivyokuwa na hamu na watoto wala usingemsemea naumia sana
 
hahahahahaaaaaaaaaa! Nishasema Kikongweeeeeee ni MAMBA YETU KWENYE KUZAAAA, HATA JF HAMNA ANAEMPATA. Chezea kuzaa mpaka na mwanao? Loooooooooo!

Mkumbuke KUZAA SIO KUPATA.
 
Ungejua mwenyewe wema alivyokuwa na hamu na watoto wala usingemsemea naumia sana
hAHAHAAAAAAAAAAAAAAAA! Nahisi wewe ndo unaishi kwenye chemba za moyo wake?
 
Kila mwanadamu napenda kuwa na familia.kama maisha mazuri anayo kama siya kuigiza lakini.maana huyu nae ni maskini lakini anapenda kujitutumuaaaaa
 
Kwa umri alionao najua kuwa anapenda kuwa na mtoto.nakutuma sasa kama hana mtoto anitafute nitamsaidia kumpa dawa ili apate mtoto
 
Kuzaa zaa hovyo? ni aibu sana kwa mwanamke kutumia maneno ya kudhalilisha wenyewe.

Alafu mkikaa vikao vyenu, mkitoka mnalia kuwa mchawi wenu ni MWANAUME.

Nyie jidhalilisheni wee....sie tupo tu pembeni tunaangalia.....usidhani tutawaonea huruma, wala. Mwanaume ni yule yule, wa jana leo na kesho, kazi kwenu.

Mkikosa matusi ya wanaume mnaamua kujitukana wenyewe....sie twawaangalia tu....mkituambia leo kanga moko wapo hapa...kiingilio shilingi kadhaa...tunafurika kuwaangalia.

kweli.........WANAWAKE MNAWEZA....

Na ukimbeza mwanamke anayezaa kumbuka na kuwapongeza WANAOCHOROPOA.
 

Hizi zama za UKWELI NA UWAZI. Kuzaa bila mpangilio ni nini sasa? WAZAE KWA MPANGILIO.
 
hivi huko shuleni mnaenda kusomea ujinga? By Faiza Fox
 
Dahhhh kumbe Wema mdogo hivyo. 27 tu.

Basi itakuwa busara Zari akikaa kimya kuanzia sasa. Miaka yote 44 bado unajibishana na binti ulie mzidi miaka 17 aibu kwa kweli.
 
Kila mwanadamu napenda kuwa na familia.kama maisha mazuri anayo kama siya kuigiza lakini.maana huyu nae ni maskini lakini anapenda kujitutumuaaaaa

Mwanadamu mimi mbona sishobokei familia? Wanadamu wengine mashoga, wanataka walane Tigo mpaka kiama kiwakute, wanadamu wengine hanisi, FAMILIA NI CHAGUO TU, SIO LAZIMA.

Wengine mapadri, wengine masistaa, mabrooder, HAWAJAAMUA TU KUWA NA FAMILIA.
 
Kwa umri alionao najua kuwa anapenda kuwa na mtoto.nakutuma sasa kama hana mtoto anitafute nitamsaidia kumpa dawa ili apate mtoto

Unajua wewe nai bwanaaa? Kisa wewe unapenda hii jadi ya kuzaa hovyooo unafikiri ndo kila mtu.
 
Sizitaki mbichi hizi,sungura aligumia. Naona nafanya kazi, bila Faida kujua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…