Wema Sepetu usizae kiholela wala nini. Bibi kizee anataka kukuponza

Hao kina babu kuzaa na wajukuu zao kwako ni sahihi na haki zaidi kuliko ME kuzaa na mwanamke aliyemzidi umri?

Na kuhusu umri wa hao bibie wawili, mi naona upo kwenye namba zaidi kuliko hali halisi coz kila nikiweka picha zao/muonekano wao ubaoni bado napata shida kutambua ni yupi amemzidi mwenziye.

Na hata ninaowauliza wanapata kigugumizi na wengi humtaja Bi Siwema kuwa ndio dada mtu.

Na hebu tusubiri huyo unayemshabikia pindi akifikisha umri wa huyo mwenzake atakuwa na texture gani.
 
Hata mwokozi wetu YESU (kwa wale waumini) alikuwa na ndugu zake (siblings) wanne, James, Joseph, Simon na Judas....soma (Mathayo 13:55)....na kamwe Mama Yesu (Mama Maria) hakuwahi/hadhalilishwi kwa kuitwa amezaa hovyo....sio na Wanaume achilia mbali Wanawake wenzake.
 

YOU MAY CHEAT THE BODY WITH PLASTIC SURGEY BUT YOU CANT CHEAT THE YEARS AND SEASONS YOU HAVE BEEN IN THE WORLD!

Nasisitiza UMRI NI BARAKA TOKA KWA MUNGU.
 

His stepbrothers.
 
Tangu tunasoma primary kuna wasanii tunawasikia na manyimbo yao, mpaka tumeanza kujitegemea hao wasanii bado wapo mabachelor tu mpaka leo....sijui kama wana watoto bila ndoa au vipi. maana umri umeshawatapikia...akina Nigga Jay, Jay Moe, Fa, Ay,KR Mullah, Luteni Karama...dah kitambo sana

Huyu Sepetu japo wa juzi tu lakini naye umri umeenda....Aolewe basi atotoe maana atakuja kulea watoto waanze kujiuliza kama ni mama au bibi.
 
Sijawah kuona ushauri wakipuuzi kama huu" umekaa kikahaba kahaba
 
Nimeona umequote mistari ya Bible ingawa nimeshindwa kuelewa umeihusishaje mistari hiyo na mada niliyoiegemea mimi ya "kuzaa zaa hovyo"

Pili...iwapo unalazimika KUquote maandiko naomba utumie lugha ya Kiswahili maana ndio ninaielewa zaidi....hata kama UNAdownload mahali basi dadavua kwa kiswahili badala ya kupachika kama ilivyo...haswa hiyo milango.

About Deutoronomy 23:2

Kati ya vifungu vitatu ulivyonukuu naomba nichague hicho hapo.

*Matendo 10:28
...........lakini Mungu amenionya, nisimwite mtu awaye yote mchafu wala najisi.

*Ufunuo 20:13
Bahari ikawatoa wafu waliokuwamo ndani yake, na mauti na kuzimu zikawatoa wafu waliokuwamo ndani yake. Wakahukumiwa kila mtu kwa kadri ya matendo yake.

Tosha kwa hapo, ukihitaji zaidi nipo.

Kwa kifupi huo mstari na hiyo mingine uliyo quote wewe, iliwalenga jamii ya wakati ule, haswa Wayahudi, na wakuwa wachache....hivyo mistari iliyopo sasa ndyo hiyo....kila mja atapimwa kwa matendo yake...yule unayedhani anakosea utashangaa ndiye ananyakuliwa na wewe unayedhani upo sahihi ukabaki.
 
Kwamba hajatetereka kusimamia ushauri wa Wema kutoa mimba???
 
Si wanasema dai hawezi kuzalisha na tiffa sio mwanae kumbe wema alishika mimba kwa dai yani team wema wanajimix hadi huruma
Kichapo alipewa na nanii hii nilipitwa nitonye tafadhali
Kichapo alipewa na Diamond.
Alifuma mawasiliano ya ovyo
Wema akapigwa ngumi ya jicho akatuma picha Global.
Kabla hajaenda alikutwa anakula ugali na kisamvu akasema ana mimba.
Alishawahi kupigana na mamake pia akaweka picha mtandaoni akampeleka mamake na dadake Tunu polisi.
Hatujasahau
 
lala 1 bhana, sasa kama Diamond nae ni mtoto na wale wanaochezaga halaiki pale Uwanja wa Uhuru sijui tuwaitaje! Au na wewe unataka kujifanya Mama Salma JK wakati huku kitaa tunafahamu fika kwamba mtoto wa mwenzako ni mkubwa mwenzako!!
 
Hahhahaha kumbukumbu yako ipo vzurii sanaaaaa
 
SI TATIZOOOO, NDO MAANA NIMESIFIA NI MAMBA YETUUU WANAWAKE KWENYE KUZAAA. Aongeze hata 10, nchi huru hiii lakini sio kumsakama binti mdogo, hajaolewa yupo kwao azae. NDO MAADILI GANI HAYO SASA? NDO DINI ZINAVOTAKA HIVO MTU AZAE HOVYO HOVYO?
Akatoe haraka sanaaaaa. Awaache waswazi washindane kuzaaaaa. Yeye mtoto wa balozi bwanaaaa, she should have morals, AZAE ATAKAPO OLEWA KAMA DINI YAKE YA KIISLAMU INAVOAGIZAAAA.
Unajua wewe kichwa chako kina puncture..... Hahahaha
 
Hahahahaaaaaaaaaa! Mimi wala sipo TEAM YOYOTE. SEMA UPOTOSHAJI WA KUMSHAWISHI MTU WA 20S YUPO KWAO AZAE NDO SIKUBALIANI NAO. ISITSHWE UNAFANYWA NA MTU 40 SOMETHING HUKO, AMESHAACHIKA NA ANA WATOTO 4! KHAAAAAAAAA! WA TZ TUSIPENDE KUIGA VISIVO IGIKA
wema yupo kwao??????? tangu ashinde. u miss kashazoea kutanga tanga azae tu na huyo idris maana akitoswa na idiris sijui nani atamdate tena kashachezea time sana kipindi yuko juu now hata ku maintain status ya mwili wake kashindwa kina klyn kwa. wema wanaweza kumpa shikamoo hivi hivi ( am not team wema nor zari)
 
Wema achekeche ushauri, aamue mwenyewe
1. Asilimia kubwa ya wanawake hata wakiwa kwenye ndoa ni single mothers
2. Hayo mayai yana expiry date. (Nadhani quality inapungua kidogo kidogo)
3. Mungu akimjalia, waswahili wanasema azae hata mmoja wa dawa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…