Wengi bado hamjamuelewa Papa. Wengine tumeanza kumuelewa toka usiku wa manane, ndiyo maana tukafanya maamuzi haya

Wengi bado hamjamuelewa Papa. Wengine tumeanza kumuelewa toka usiku wa manane, ndiyo maana tukafanya maamuzi haya

Nilitaka nimpe huo mfano. Nimeishi mkuranga, kuna shule moja ya msingi (mkuranga primary) watoto wengi ni wahanga wa hik kitu.. shemeji yangu ni mwalimu katika shule ya sekondary kubwa ya halmashauri inaitwa Mwinyi sekondary pale pia kuna skendo kubwa za ushoga kwa watoto. Baada ya kuja kuchubguzwa ikaonekana watoto wana join sekondary baadhi wakiwa tayari wameanza kuingiliana kinyume na maumbile
Mkuu huyu hajui huko st kayumba kulisha haribika kitambo sana,mimi nilikuta watoto wa kuanzia darasa la 4 wanapelekeana moto huko vijijini leo hii analaumu English medium schools,ni wakati wazazi tubadilike mtoto usipokuwa makini hata ukiwa unamfungia ndani ata haribika tu.
 
Hivi umeisoma ile taarifa ya Papa au umekurupuka tu kuandika huu uzi?

Nashawishika kuamini umekurupuka tu kuandika, kwasababu kama ungeisoma ule waraka majibu ya hoja zako ulizojitungia ungeyapata kule.

Taarifa ya Papa inasema, mapadri watatakiwa kuwabariki mashoga "under certain circumstance", mfano wa hii ni kama atakuwepo mgonjwa anayehitaji huduma ya kiroho, au vinginevyo, hapa Papa ameonesha moyo wa ukristu kwamba mkosefu hatakiwi kutengwa.

- Taarifa ya Vatican inaendelea kusema; but the Vatican said, blessings should not be part of regular church rituals, or related to civil unions or weddings. (kama hujui kiingereza sema utafsiriwe).

Zaidi ya yote, ile taarifa inasema kabisa; however Kanisa Katoliki linaendelea kutambua ndoa ya mtu mke na mtu mume kama mfumo rasmi wa kufunga ndoa hapa duniani, mpaka hapo utaona ulichoandika kuhusu dunia kugeuzwa juu chini ni ujinga wako tu.

Tatizo huku wengi hamtafuti ukweli toka vyanzo vya uhakika, mnasubiri kuletewa taarifa zilizochakachuliwa kisha mnakimbilia kuanzisha uzi, matokeo yake ujinga wako unaenda kuwaambukiza wajinga wengine wenye uvivu kama wako wa kutofuatilia toka vyanzo husika.

N.B.

Sijui kwanini Kanisa Katoliki huwa linafuatiliwa sana hapa duniani, hasa na wale wanaojidai hawalipendi!.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
 
FB_IMG_17029780084473940.jpg

Shule Kongwe mnazo majumbani.
Idiot Box ( Tv ).
Glue Box ( Phone ).
Unaweza kuwa unachokiona au kuskia.
#mawazo vs Mawazo + Nia.
 
Kazi kwako sasa muache mtoto wako shule ya kiswahili ajifunze nidhamu ya maisha na ukakamavu plus uhalisia wa maisha na maadili ya mtanzania ili baadae aje awe mtu anae hitajika katika jamii ya mtanzania au mlipie mtoto wako mamilioni kwa kujinyima then akimaliza chuo akwambie kapata bwana mwanaume mwenzako..
Hii sentensi haieleweki mkuu.

Watoto wanaofanyiana ushoga shule za kata haswa shule za chanika hali ni mbaya.
Ina maana shule za kata hazina haya matatizo?
 
Kwa ufupi anacho kisema Papa ni kwamba mfumo wa maisha ya dunia upo karibu kubadilishwa kuwa juu chini.. Kama vilevile shetani alivyo sababisha kubadilishwa kwa mfumo wa dunia ya Adam na Hawa kupitia forbidden fruit.

Kabla Adam na Hawa hawajala Tunda, mfumo wa maisha ya dunia ulikuwa tofauti. Hakukuwa na kifo hakukuwa na magonjwa.

The life system during that time was moving in the direction of Life without death system.

Baada ya Adam.na Hawa kuyakanyaga, mfumo wa.maisja ukabadilishwa. Ulibadilishwa kwa sababu death was now introduced in the life system of human beings.

And therefore the newly acquired life system started to revolve around the Life with death system.


Nimetoa mfano huo hapo juu [emoji115] ili kukuonyesha namna kubadilika kwa mfumo wa maisha kunavyo weza kubadili mfumo wa maisha ya watu juu chini.


Back to the point :

Anacho kisema Papa ni kwamba very soon, mfumo wa maisha tulio uzoea wa mwanamke mwanamke mwanaume mwanaume etc unaenda kupinduliwa. Na badala yake uhalifu dhidi ya mfumo huu wa maisha ulio anzishwa na Mungu mwenyewe unaenda kuwa forced among human beings.

Wewe mzazi wewe mwezi umejaiandaaje na mabadiliko ya mfumo huu mpya wa maisha?

Mimi nimeanza kwa kuwatoa watoto wangu kwenye shule za kiingereza na kuwaleta kwenye shule za kiswahili.

Kwanini?

Kwa sababu, msingi wa sababu kuu ya kuwapeleka watoto kwenye shule za kiingereza una revolve around mfumo wa maisha ambao upo mbioni kupinduliwa.

How?

Wazazi wana wapeleka watoto wao kwenye shule za kiingereza ili:

1. Wafaulu vizuri kwenye masomo yao .

2. Wafike chuo kikuu nako wafaulu vizuri.

3. Waajiriwe kwenye taasisi nyeti serikalini etc.


But the reality is mfumo huo wa maisha umekwisha pitwa na wakati. Haupo tena. Dunia tayari imeanza kuhamia kwenye mfumo mwingine.


Nowadays watoto wanasomeshwa kwenye shule za gharama wanafika hadi chuo kikuu, wakimaliza chuo wanakosa kazi ( kwa sababu shule inamuandaa mtoto kuajiriwa)

Then kinacho fuata baada ya hapo ni :

" Ladies and gentlemen welcome to my You Tube channel"
Au udalali etc.

Unaweza kuwa na You Tube Chanell au kuwa dalali bila kusoma English Medium.

Hayo mamilioni ya kwenda kupoteza kwenye English Medium ili mtoto wako akaririshwe bora ungewawekea miundombinu mingine kama nyumba, ardhi nakadhalika.


KUBWA KULIKO: Huko kwenye shule za kiingereza ndio watoto wanafundishwa mambo ya kizungu ukiwemo ushoga. Instead of just teaching them in English they are trying to Europeanize them.

Kuna baadhi ya shule kuna vitabu vya ziada ambavyo ndani yake kuna depiction ya same sex couples.


So kwenye Shule Binafsi itakuwa ndio portal inayo connect hii agenda na watoto wa kitanzania. ( imagine mtoto wako anasoma kwenye shule ya kikatoliki)

Hakuna sehemu rahisi ya kusambaza ideology kama kwenye shule Binafsi.

Kupitia shule Binafsi kuna wakristu wamefundishwa kuuchukia uislamu na waislamu kuna waislamu wame fundishwa kuuchukia Ukristo na wakristo ( mifano ipo JF hapahapa)

Mwaka 2014 Kigamboni kulikuwaga na shule moja ya kilokole ambayo baadae ilikuja kufungiwa kwa sababu walikuwa wana wa abuse watoto kwa kuwafundisha chuki dhidi ya uislamu.


Anakuja mwalimu na Chokolate anawaambia " watoto hii chokolate ni ya Yesu hii"


Halafu baadae anakuja a kitu chochote kibaya anawaambia " mnakiona hiki? Ni cha mtume hiki)

Moderator naomba msiunganishe uzi.


Kazi kwako sasa muache mtoto wako shule ya kiswahili ajifunze nidhamu ya maisha na ukakamavu plus uhalisia wa maisha na maadili ya mtanzania ili baadae aje awe mtu anae hitajika katika jamii ya mtanzania au mlipie mtoto wako mamilioni kwa kujinyima then akimaliza chuo akwambie kapata bwana mwanaume mwenzako..
Clarity on what the Pope said.

1. Blessings, not marriage: The Church understands blessings as ways to ask for God's grace and favour in various situations. This document clarifies that it's possible to bless same-sex couples without recognizing their union as marriage.

2. No change in marriage teaching: The Church's teaching on marriage as between a man and a woman remains unchanged. This blessing gesture doesn't endorse their relationship but shows God's love for all.

3. Blessings come in different forms: There are formal blessings, like at weddings, and informal ones, like at shrines. This document focuses on informal blessings, where anyone, including those in irregular relationships, can ask for God's blessing.

4. Blessings show humility and need for God: Asking for a blessing expresses trust in God and a desire for his goodness. Even if someone's situation isn't perfect, they can still seek God's grace.

5. Blessings have limits: While the Church can offer blessings to everyone, it can't bless anything contrary to God's will. So, this blessing doesn't legitimize same-sex unions but asks for God's guidance and love.

6. Discernment and respect: The document encourages pastors to use their judgment when deciding about such blessings. The setting and words should be clear to avoid confusion with marriage ceremonies.

7. Hope and openness: Ultimately, this document reflects the Church's desire to welcome everyone with God's love and mercy, even those in challenging situations. It's a step towards greater understanding and pastoral care.
 
una uhakika ukiwapeleka watoto shule za st kayumba ndio umewa okoa na ushoga?nikupe mfano tu mmoja kuna mwaka nilikuwa na kazi ya muda mfupi mkuranga watoto wa huko sio wote awaliyokuwa wanafanya ukisimuliwa huta amini.Wazazi ni wakati sasa wa kukaa na watoto wetu na kuwapa mafunzo ya nini tunataka wafanye na tusi achie walimu na wenzao wawafundishe tusivyotaka katika maisha yao.
Hakika mkuu

Maadili mema huanzia nyumbani ifike kipindi Mzazi wa kiume aseme na mtoto wake wa kike na mzazi wa kike aseme na kijana wake wa kiume
Tusiwaonee aibu watoto zetu
Tusemezane na watoto wetu maramara Kwa maramara

Kwenye swala la malezi ya watoto ni jukumu letu sote MAMA na BABA
 
Binafsi nimesoma shule za english medium, kila kitu ulichoandika ni ujinga ule ule wa kauli za kujipa faraja kwenye umasikini.

Sikumbuki siku yoyte katika shule za private mambo ya dini yakiingizwa wala ku affect masomo yetu, mitindo yetu ya maisha ilijengwa zaidi na maadili ya nyumbani na mitaani.

Tangu nikiwa na miaka 7 nilikuwa nachapa kiingereza vizuri tu, kanisani tukienda kukiwa na mchungaji anahubiri kwakiingereza naweza kuanza kutafsiri na watu wanashangaa tunaendana na mkalimani, kukiwa na muvi mimi ndio natafsiria wengine, MAAARIFA !!

Shule ya msingi kujifunza kwa kiingereza ni advantage, mkifika sekondari hakuna maswali ya kiswahili kwenye hesabu, sayansi, n.k. ni kiingereza tu ambacho hakina ugeni wowote tofauti na wale waliosoma za kiswahili.

Notes nilikuwa nazielewa kwa kiingereza inakuwa rahisi kwangu kuliko mtu ambae kaanza kukielewa kiingereza sekondari anasoma kwa kukariri atatumia system hii pengine mpaka chuo,

hii lugha ya kiswahili ilipaswa iwe ya kuongea tu sio kwenye suala la academics nje ya somo lake maalum.

Kuhusu mambo ya ushoga hata shule za za serikali haya mambo yapo sana tu na huchochewa zaidi na uonezi, sio ishu ya shule za private
 
Kwa ufupi anacho kisema Papa ni kwamba mfumo wa maisha ya dunia upo karibu kubadilishwa kuwa juu chini.. Kama vilevile shetani alivyo sababisha kubadilishwa kwa mfumo wa dunia ya Adam na Hawa kupitia forbidden fruit.

Kabla Adam na Hawa hawajala Tunda, mfumo wa maisha ya dunia ulikuwa tofauti. Hakukuwa na kifo hakukuwa na magonjwa.

The life system during that time was moving in the direction of Life without death system.

Baada ya Adam.na Hawa kuyakanyaga, mfumo wa.maisja ukabadilishwa. Ulibadilishwa kwa sababu death was now introduced in the life system of human beings.

And therefore the newly acquired life system started to revolve around the Life with death system.

Nimetoa mfano huo hapo juu 👆 ili kukuonyesha namna kubadilika kwa mfumo wa maisha kunavyo weza kubadili mfumo wa maisha ya watu juu chini.

Back to the point :

Anacho kisema Papa ni kwamba very soon, mfumo wa maisha tulio uzoea wa mwanamke mwanamke mwanaume mwanaume etc unaenda kupinduliwa. Na badala yake uhalifu dhidi ya mfumo huu wa maisha ulio anzishwa na Mungu mwenyewe unaenda kuwa forced among human beings.

Wewe mzazi wewe mwezi umejaiandaaje na mabadiliko ya mfumo huu mpya wa maisha?

Mimi nimeanza kwa kuwatoa watoto wangu kwenye shule za kiingereza na kuwaleta kwenye shule za kiswahili.

Kwanini?

Kwa sababu, msingi wa sababu kuu ya kuwapeleka watoto kwenye shule za kiingereza una revolve around mfumo wa maisha ambao upo mbioni kupinduliwa.

How?

Wazazi wana wapeleka watoto wao kwenye shule za kiingereza ili:

1. Wafaulu vizuri kwenye masomo yao .

2. Wafike chuo kikuu nako wafaulu vizuri.

3. Waajiriwe kwenye taasisi nyeti serikalini etc.

But the reality is mfumo huo wa maisha umekwisha pitwa na wakati. Haupo tena. Dunia tayari imeanza kuhamia kwenye mfumo mwingine.

Nowadays watoto wanasomeshwa kwenye shule za gharama wanafika hadi chuo kikuu, wakimaliza chuo wanakosa kazi ( kwa sababu shule inamuandaa mtoto kuajiriwa)

Then kinacho fuata baada ya hapo ni :

" Ladies and gentlemen welcome to my You Tube channel"
Au udalali etc.

Unaweza kuwa na You Tube Chanell au kuwa dalali bila kusoma English Medium.

Hayo mamilioni ya kwenda kupoteza kwenye English Medium ili mtoto wako akaririshwe bora ungewawekea miundombinu mingine kama nyumba, ardhi nakadhalika.

KUBWA KULIKO: Huko kwenye shule za kiingereza ndio watoto wanafundishwa mambo ya kizungu ukiwemo ushoga. Instead of just teaching them in English they are trying to Europeanize them.

Kuna baadhi ya shule kuna vitabu vya ziada ambavyo ndani yake kuna depiction ya same sex couples.

So kwenye Shule Binafsi itakuwa ndio portal inayo connect hii agenda na watoto wa kitanzania. ( imagine mtoto wako anasoma kwenye shule ya kikatoliki)

Hakuna sehemu rahisi ya kusambaza ideology kama kwenye shule Binafsi.

Kupitia shule Binafsi kuna wakristu wamefundishwa kuuchukia uislamu na waislamu kuna waislamu wame fundishwa kuuchukia Ukristo na wakristo ( mifano ipo JF hapahapa)

Mwaka 2014 Kigamboni kulikuwaga na shule moja ya kilokole ambayo baadae ilikuja kufungiwa kwa sababu walikuwa wana wa abuse watoto kwa kuwafundisha chuki dhidi ya uislamu.

Anakuja mwalimu na Chokolate anawaambia " watoto hii chokolate ni ya Yesu hii"

Halafu baadae anakuja a kitu chochote kibaya anawaambia " mnakiona hiki? Ni cha

Kazi kwako sasa muache mtoto wako shule ya kiswahili ajifunze nidhamu ya maisha na ukakamavu plus uhalisia wa maisha na maadili ya mtanzania ili baadae aje awe mtu anae hitajika katika jamii ya mtanzania au mlipie mtoto wako mamilioni kwa kujinyima then akimaliza chuo akwambie kapata bwana mwanaume mwenzako..
Mkuu hapa unazungunzia english medium hizi za uswahilini au unazungumzia international schools?Maana hizi za uswahilini ni masomo tu ndio yanakuwa ya kizungu,ila hizo international schools hata historia na Jiographia wanafundishwa za ulaya,na mpk walimu wao ni wazungu au waafrica waliokulia ulaya...
 
Suala la Mahusiano na Ndoa za Jinsia Moja ni janga ambalo limezikumba nchi zote kabisa hapa duniani kwa sasa, hakuna nchi ambayo inaweza ikajinasibu kwamba imesalimika. Ni suala la muda tu, kinachotakiwa kwa sasa ni kila mtu kujiandaa kisaikolojia.
Kwahiyo wewe ukiolewa huwezi kuona ajabu na umeshajiandaa kisaikolojia?
 
Lengo la shetani ni kubadili kila alichoanzisha Mungu.

1. Sabato, ya Mungu ni jumamosi.
2. Ndoa, ya Mungu ni me na ke.

Mengine mtajaza wenyewe.
 
Nazungumzia za uswahili ambazo wa Tanzania wengi wanawapeleka watoto wao. Hizo International wameanza kufundisha mambo hayo toka enzi za Pontyo wa Pilato
Mkuu hapa unazungunzia english medium hizi za uswahilini au unazungumzia international schools?Maana hizi za uswahilini ni masomo tu ndio yanakuwa ya kizungu,ila hizo international schools hata historia na Jiographia wanafundishwa za ulaya,na mpk walimu wao ni wazungu au waafrica waliokulia ulaya...
 
Back
Top Bottom