Wengi hamtaamini lakini Simba na Yanga wote hawapenyi robo fainali, kwa sababu hii

Wengi hamtaamini lakini Simba na Yanga wote hawapenyi robo fainali, kwa sababu hii

Simba anacheza na Horoya ambayo inakuja kutafuta draw kwa Mkapa, kwa forward za Simba zilivyo, Horoya ana uwezekano wa 80% ambao ni mkubwa sana wa kupata draw
Mechi ya mwisho anacheza nyumbani dhidi ya Vipers ambayo hawana cha kupoteza


Yanga anatakiwa kumfunga Monastir, nasisitiza sio draw, kumfunga

Maana Yanga akitoa draw atakua na pointi 8 ambapo Mazembe anazipita kirahisi tu kwa kumfunga Bamako akiwa Mali na kumfunga Yanga huko DRC
Mazembe kabadilika sana na alibaki kidogo amfunge Monastir Tunisia

View attachment 2556220
Labda hao utopwinyo sisi tumevuka kibabe sana

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Simba anacheza na Horoya ambayo inakuja kutafuta draw kwa Mkapa, kwa forward za Simba zilivyo, Horoya ana uwezekano wa 80% ambao ni mkubwa sana wa kupata draw
Mechi ya mwisho anacheza nyumbani dhidi ya Vipers ambayo hawana cha kupoteza


Yanga anatakiwa kumfunga Monastir, nasisitiza sio draw, kumfunga

Maana Yanga akitoa draw atakua na pointi 8 ambapo Mazembe anazipita kirahisi tu kwa kumfunga Bamako akiwa Mali na kumfunga Yanga huko DRC
Mazembe kabadilika sana na alibaki kidogo amfunge Monastir Tunisia

View attachment 2556220

Vice versa is true
 
Simba anacheza na Horoya ambayo inakuja kutafuta draw kwa Mkapa, kwa forward za Simba zilivyo, Horoya ana uwezekano wa 80% ambao ni mkubwa sana wa kupata draw
Mechi ya mwisho anacheza nyumbani dhidi ya Vipers ambayo hawana cha kupoteza


Yanga anatakiwa kumfunga Monastir, nasisitiza sio draw, kumfunga

Maana Yanga akitoa draw atakua na pointi 8 ambapo Mazembe anazipita kirahisi tu kwa kumfunga Bamako akiwa Mali na kumfunga Yanga huko DRC
Mazembe kabadilika sana na alibaki kidogo amfunge Monastir Tunisia

View attachment 2556220
JF ukiwa na stress umetaka - Greatest Of All Time
 
Simba anacheza na Horoya ambayo inakuja kutafuta draw kwa Mkapa, kwa forward za Simba zilivyo, Horoya ana uwezekano wa 80% ambao ni mkubwa sana wa kupata draw
Mechi ya mwisho anacheza nyumbani dhidi ya Vipers ambayo hawana cha kupoteza


Yanga anatakiwa kumfunga Monastir, nasisitiza sio draw, kumfunga

Maana Yanga akitoa draw atakua na pointi 8 ambapo Mazembe anazipita kirahisi tu kwa kumfunga Bamako akiwa Mali na kumfunga Yanga huko DRC
Mazembe kabadilika sana na alibaki kidogo amfunge Monastir Tunisia

View attachment 2556220
me kiukweli usiniingize kwenye wingi!
Uto ijipambanie yenyewe buana na Simba isihusike.... me sipend unafiki buanaaaa... aaanguke2😄
 
Kwa hyo upo na msimamo wako kwamba simba haendi robo fainali au tuendeleze bakora?
 
Tupunguze bangi za ukubwani Ni hatari kwa afya ya akili.
 
Back
Top Bottom