joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Weka na Stats za Yanga na hao waharabu tuone.Cheki stats za Monastir vs Mazembe, Mazembe hapa alikuwa ugenini na alimpelekesha Monastir hivi
Mashuti 19 ambayo 6 yalilenga lango, golikipa alifanya Saves 6
Kwa Bamako itakuwaje?
View attachment 2556221
Umesema kweli dadakeeSimba kwenda Robo final ni lazimaaaaa.
Labda hao utopwinyo sisi tumevuka kibabe sanaSimba anacheza na Horoya ambayo inakuja kutafuta draw kwa Mkapa, kwa forward za Simba zilivyo, Horoya ana uwezekano wa 80% ambao ni mkubwa sana wa kupata draw
Mechi ya mwisho anacheza nyumbani dhidi ya Vipers ambayo hawana cha kupoteza
Yanga anatakiwa kumfunga Monastir, nasisitiza sio draw, kumfunga
Maana Yanga akitoa draw atakua na pointi 8 ambapo Mazembe anazipita kirahisi tu kwa kumfunga Bamako akiwa Mali na kumfunga Yanga huko DRC
Mazembe kabadilika sana na alibaki kidogo amfunge Monastir Tunisia
View attachment 2556220
Simba anacheza na Horoya ambayo inakuja kutafuta draw kwa Mkapa, kwa forward za Simba zilivyo, Horoya ana uwezekano wa 80% ambao ni mkubwa sana wa kupata draw
Mechi ya mwisho anacheza nyumbani dhidi ya Vipers ambayo hawana cha kupoteza
Yanga anatakiwa kumfunga Monastir, nasisitiza sio draw, kumfunga
Maana Yanga akitoa draw atakua na pointi 8 ambapo Mazembe anazipita kirahisi tu kwa kumfunga Bamako akiwa Mali na kumfunga Yanga huko DRC
Mazembe kabadilika sana na alibaki kidogo amfunge Monastir Tunisia
View attachment 2556220
Mie najua hayaa mambooooo, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Umesema kweli dadakee
JF ukiwa na stress umetaka - Greatest Of All TimeSimba anacheza na Horoya ambayo inakuja kutafuta draw kwa Mkapa, kwa forward za Simba zilivyo, Horoya ana uwezekano wa 80% ambao ni mkubwa sana wa kupata draw
Mechi ya mwisho anacheza nyumbani dhidi ya Vipers ambayo hawana cha kupoteza
Yanga anatakiwa kumfunga Monastir, nasisitiza sio draw, kumfunga
Maana Yanga akitoa draw atakua na pointi 8 ambapo Mazembe anazipita kirahisi tu kwa kumfunga Bamako akiwa Mali na kumfunga Yanga huko DRC
Mazembe kabadilika sana na alibaki kidogo amfunge Monastir Tunisia
View attachment 2556220
Forward za Simba zikoje? ππ πSimba anacheza na Horoya ambayo inakuja kutafuta draw kwa Mkapa, kwa forward za Simba zilivyo, Horoya ana uwezekano wa 80% ambao ni mkubwa sana wa kupata draw
Huyo atakuwa Nabii TitoForward za Simba zikoje? [emoji16][emoji16] [emoji16]
Ndio mkome kujidai manabii, wapumbavu nyie
me kiukweli usiniingize kwenye wingi!Simba anacheza na Horoya ambayo inakuja kutafuta draw kwa Mkapa, kwa forward za Simba zilivyo, Horoya ana uwezekano wa 80% ambao ni mkubwa sana wa kupata draw
Mechi ya mwisho anacheza nyumbani dhidi ya Vipers ambayo hawana cha kupoteza
Yanga anatakiwa kumfunga Monastir, nasisitiza sio draw, kumfunga
Maana Yanga akitoa draw atakua na pointi 8 ambapo Mazembe anazipita kirahisi tu kwa kumfunga Bamako akiwa Mali na kumfunga Yanga huko DRC
Mazembe kabadilika sana na alibaki kidogo amfunge Monastir Tunisia
View attachment 2556220
Halafu wanataka kutujumuisha.... kila mtu apambabe kivyake!Forward za Simba zikoje? ππ π
Ndio mkome kujidai manabii, wapumbavu nyie
Simba 1-1 horoya, Yanga 3-1 Monastir, kama hutaki basi ww ni askari wa zenji