Haya mamtu unajua hayana akili? Who's gonna buy this garbage? Yani watu wa propaganda Lumumba wana fail sana..haya mambo wakawambie watu huko vijijini wenye uelewa mdogo kama wao...huyu bashiru ni kichaa sana..so anataka mapambano ya RAIA na vyombo vya dola?
Au PHD yake Kichwani hamsaidii Ku analyze mambo? Haki isipotendeka na CCM wakafikili vyombo ya dola vitawalinda siku zote then they are too naive to understand what's going to happen in the near future...
It's either hivyo vyombo vitawatoa madarakani wao au wananchi wenyewe watawatoa, ikibidi kwa nguvu na kumwaga damu! Historia huwa haikosei.