Wengi mnatokwa povu tu ila huu ndio ukweli wa kwanini SA imeamua kutetea haki za wapalestina kwa kufungua kesi ya mauaji ya kimbari dhidi Israel

Wengi mnatokwa povu tu ila huu ndio ukweli wa kwanini SA imeamua kutetea haki za wapalestina kwa kufungua kesi ya mauaji ya kimbari dhidi Israel

Wewe umekatazwa kuwapa jicho sahara magharibi?
Wewe tafuta muda wa kuwapa jicho hao Sahara magharibi watu watachangia. Sio lazima usubiri mimi niandike alaf na wewe ndo uchangie.

Duniani hapa kila mtu na mtazamo wake. Hata mapacha wanaweza kufanana sura lkn wakatofautiana mawazo. Hivyo hautomwambia mtu kwamba kwanini unawaza hivi badala ya kuwaza vile. Hapo kwa Nyerere nimetaka kukuonesha mfano kuwa sio kila anaezungumza kuhusu Palestina ni muislam au anaezungumzia Israel ni mkristo. Huu mgogoro ni wa kisiasa kati ya anaedai kudhulumiwa ardhi, na anaedaiwa kudhulumu ardhi. Hivyo mambo ya kuingiza chembe chembe za udini katika uzi wangu hayafai.

Wewe kama unaona mimi najadili Palestina na wewe jadili Sahara Magharibi ili jukwaa liwe na mijadala totauti tofauti iliyoandikwa na watu tofauti.
Hapa umeandika kisomi kiana zuoni kabisa, kongole. post zote ungestick kwenye hoja utapata michango ya hoja, ukileta matusi ya rejareja ni hayo hayo yatakurejea. Mwl Nyerere aliongozwa na principles alipodhani pana dhuluma popote alikemea pasi kujali nani muhusika, South Rhodesia, Sahara Magharibi na Palestina, sasa nyinyi msioongzwa na kanuni mnachagua mgogoro wa kukemea.
 
Wewe ndio mjinga,halafu hakuna mahali nilipokwambia mm n myahudi,Sasa kama hujuwi uhusiano wa Israeli na marekani endelea kusema Israel anamtegemea mmarekani,hao south Africa hawamuwezi Israeli kwa chochote kile,na hao wapalestina waendelee kuwakumbatia Hamas ili wagawane maumivu
Naona unazidi kujipakaa matope kichwani
 
Ni aje waungwana,

Ndugu waungwana hapa jakwaani kwetu kuna vijana wengi ambao wamekuwa waki comment ujinga katika thread za watu wenye akili, na elimu kubwa kushinda wao, lengo ni kutaka waonekane kuwa na wao ni miongoni mwa wale wanaowatetea, hata kama hao wanaowatetewa hakuna anaewajua hata mmoja.

Ndugu waungwana hapa jukwaani kuna watu wanashangaza sana, kwa kukimbilia kuishambulia SA kutokana na kitendo chao cha kufungulia Israel kesi ya mauaji ya kimbari dhidi ya raia wasiokuwa na hatia, kina mama, watoto wachanga wenye umri wa chini ya miaka mitano, vilema, vizee nk.

Washambuliaji hawa wa mitandaoni haswa hapa JF ambao wengi wao wanaongozwa na kundi la wayahudi wa huko chato na nachingwea, wameshindwa kujua sababu haswa zilizopelekea nchi hiyo ya ki afrika kujiingiza katika swala hilo na ukizingatia nchi hiyo ina asilimia ndogo sana ya wavaa kobaz ambao hata hao kidogo wenyewe hawapo serikalini na wala hawana maamuzi yoyote ndani ya serikali, chama tawala wala vile vya upinzani.

Swala hili limewaunganisha wa afrika kusini wote akiwemo mwanasiasa machachari Julius Malema, tena bila kujali utofauti wa vyama vyao.

Na sababu kuu za kuichukia na kuichukulia hatua za kuishtaki kwa ukatili Inayofanya Gaza ni hizi:

1. Afrika kusini ni moja kati ya nchi ambazo zilipitia changamoto kubwa ya kutawaliwa kimabavu, kufungwa bila hatia, kuadhibiwa bila kosa, na wengine kuuwawa kwa sababu ya kudai uhuru wao, ardhi yao na haki zao. Hili walilopitia waafrika kusini ndio wanalilopitia wapalestina kwa zaidi ya miaka 70. Hivyo waafrika kusini wanajua na kufahamu machungu wanayopitia wapalestina kule kwao.

Hili swala la watu wanaojaribu kutumia nguvu kudai haki zao walizonyimwa kwa zaidi ya miaka 70 kuitwa magaidi na nchi za magharibi (Hamas) hata wao wa afrika kusini walikumbana nalo hadi kupelekea baadhi ya vijana na wanachama wa anc kukimbilia Tanzania, Zambia, Zimbabwe na kwengineko ili kukwepa mkono wa sheria wa wazungu ambao waliwaona na kuwaita wapigania uhuru na haki zao, tena katika nchi yao wenyewe kuwa ni magaidi.

2. Pili wakati wa ubaguzi wa rangi, Israel ilikuwa ni moja ya nchi ambazo zilisupport utawala wa kibaguzi wa rangi, lakini pia makaburu wengi walienda Israel kusomea mbinu za kijeshi za kuja kupambana na vijana weusi wa afrika kusini bure bila malipo yoyote kwa wayahudi.

Yaani kwa kiswahili chepesi tunaweza kusema kuwa Israel ndio ilikuwa unadhamini askari hao kwenda kujifunza ukatili katika nchi yao ili waje wauwe wenzao kwa sababu tu ya utofauti wa kirangi nk.

Unaweza ukajiuliza inakuaje nchi nyingi zifanye ukatili na Afrika kusini isiguswe wala kufuatilia ukatili huo, lakini huu wa Israel umewagusa. Na hiyo ni kwa sababu ya historia ya kile walichowanyia kupitia makaburu na kilichowatokea.

Afrika kusini ni nchi kubwa hivyo haiwezi kukurupuka tu kuanza kuichukia nchi nyingine tena ya mbali na mipaka yake bila sababu na ukizingatia nchi wanayoitetea ni ya kiarabu wakati wao sio waarabu, ni ya kiislamu wakati wao 95% sio waislamu.

Yani kwao ni bora hata baadhi ya nchi za kizungu zilionesha kuwasaidia na kuguswa na mateso waliyokuwa wanapitie enzi zile moja ya nchi hiyo ni Denmark kuliko Israel ambayo ilikuwa upande wa wazungu ili wawaangamize na kuwauwa wazawa.

Nina imani kama kungekuwa na ukaribu fulan wa kimipaka, basi wazee wa kazi wangepenyeza silaha kadhaa kwa Hamas ili kulipiza kisasi ya kile walichofanyiwa na wayahudi enzi hizo 😄😄😄

Wale wenye akili zilizojaa kichwa karibuni mjadili ki akili ili wale wasiofahamu sababu ya ufunguaji wa kesi waweze kufahamu na kujifunza. Lakini pia na wale watakaokuja kucheuwa povu lao kama mdomo wa kinda la ndege mnaruhusiwa kwa sharti la kutotukana watu hovyo.
Ndiyo umemaliza maelezo yako?🤔
 
Hapa umeandika kisomi kiana zuoni kabisa, kongole. post zote ungestick kwenye hoja utapata michango ya hoja, ukileta matusi ya rejareja ni hayo hayo yatakurejea. Mwl Nyerere aliongozwa na principles alipodhani pana dhuluma popote alikemea pasi kujali nani muhusika, South Rhodesia, Sahara Magharibi na Palestina, sasa nyinyi msioongzwa na kanuni mnachagua mgogoro wa kukemea.
Ok mkuu nashukuru kwa kunielewa. Mimi sio mtu wa matusi hovyo hovyo. Hata ukisoma thread na comments zangu nilizoandika au ku comment ni vigumu sana kukuta nimemtukana mtu, labda mtu anianze au aniandikie mambo ambayo hayana maana kama ulivyoandika kule juu, hapo ndo hupelekea na mimi kuandika kama nilivyoandika.

Kitendo cha kuniita mimi ustadhi wakati hauijui imani yangu kwanza kimenikasirisha. Unawezaje kukimbilia kumwita mtu ustadhi, mchungaji, padri nk wakati hauijui imani yake?

Obvious kuna watu humu wanajulikana kwa imani zao, hivyo ukimwita ustadhi, shehe padri, mchungaji nk kulingana na imani yake hapo hamna tatizo. Lakini sio mtu humjui hakujui unakimbilia tu kumwita ustadhi kisa ameandika kuhusu Palestina. Wakati huo huo kuna watu wanaandika kuhusu Israel lakini sijaona sehem hata moja katika comment ukiwaita wachungaji au kapadri. Yani wewe umekimbilia kuni attack mimi nilieandika kuhusu Palestina tu peke yangu.

Lakini kingine ni ile kutaka mimi niandike kuhusu Sahara Magharibi wakati hata wewe unaweza kuandika. Tena umetoa ushauri wako kwangu tu, halafu ukawaacha wafrika wengine wanaoandika habari za Israel. Hapo ndo nikahisi kuwa wewe umeandike vile kwa sababu zako za kidini tu, kwa sababu kama ni ushauri kuhusu mambo ya Afrika kama Sahara Magharibi nk basi ushauri huo ungewapa na wale wanaoshinda hapa kuandika kuhusu Israel nk.
 
Hii haitaji uwe na DD
Hii haitaji kuwa na hata D mbili bali hata mweye FF ni rahis sana kuelewa ila kuwa mlokole ni laan ndo wanashabikia hilo taifa
Asante kwa kuelewa andiko mkuu 😂😂😂
 
Ok mkuu nashukuru kwa kunielewa. Mimi sio mtu wa matusi hovyo hovyo. Hata ukisoma thread na comments zangu nilizoandika au ku comment ni vigumu sana kukuta nimemtukana mtu, labda mtu anianze au aniandikie mambo ambayo hayana maana kama ulivyoandika kule juu, hapo ndo hupelekea na mimi kuandika kama nilivyoandika.

Kitendo cha kuniita mimi ustadhi wakati hauijui imani yangu kwanza kimenikasirisha. Unawezaje kukimbilia kumwita mtu ustadhi, mchungaji, padri nk wakati hauijui imani yake?

Obvious kuna watu humu wanajulikana kwa imani zao, hivyo ukimwita ustadhi, shehe padri, mchungaji nk kulingana na imani yake hapo hamna tatizo. Lakini sio mtu humjui hakujui unakimbilia tu kumwita ustadhi kisa ameandika kuhusu Palestina. Wakati huo huo kuna watu wanaandika kuhusu Israel lakini sijaona sehem hata moja katika comment ukiwaita wachungaji au kapadri. Yani wewe umekimbilia kuni attack mimi nilieandika kuhusu Palestina tu peke yangu.

Lakini kingine ni ile kutaka mimi niandike kuhusu Sahara Magharibi wakati hata wewe unaweza kuandika. Tena umetoa ushauri wako kwangu tu, halafu ukawaacha wafrika wengine wanaoandika habari za Israel. Hapo ndo nikahisi kuwa wewe umeandike vile kwa sababu zako za kidini tu, kwa sababu kama ni ushauri kuhusu mambo ya Afrika kama Sahara Magharibi nk basi ushauri huo ungewapa na wale wanaoshinda hapa kuandika kuhusu Israel nk.
Sawa mkuu, nakutaka radhi kwa kukukwaza, tuendelee mbele kama waungwana.
 
Ni aje waungwana,

Ndugu waungwana hapa jakwaani kwetu kuna vijana wengi ambao wamekuwa waki comment ujinga katika thread za watu wenye akili, na elimu kubwa kushinda wao, lengo ni kutaka waonekane kuwa na wao ni miongoni mwa wale wanaowatetea, hata kama hao wanaowatetewa hakuna anaewajua hata mmoja.

Ndugu waungwana hapa jukwaani kuna watu wanashangaza sana, kwa kukimbilia kuishambulia SA kutokana na kitendo chao cha kufungulia Israel kesi ya mauaji ya kimbari dhidi ya raia wasiokuwa na hatia, kina mama, watoto wachanga wenye umri wa chini ya miaka mitano, vilema, vizee nk.

Washambuliaji hawa wa mitandaoni haswa hapa JF ambao wengi wao wanaongozwa na kundi la wayahudi wa huko chato na nachingwea, wameshindwa kujua sababu haswa zilizopelekea nchi hiyo ya ki afrika kujiingiza katika swala hilo na ukizingatia nchi hiyo ina asilimia ndogo sana ya wavaa kobaz ambao hata hao kidogo wenyewe hawapo serikalini na wala hawana maamuzi yoyote ndani ya serikali, chama tawala wala vile vya upinzani.

Swala hili limewaunganisha wa afrika kusini wote akiwemo mwanasiasa machachari Julius Malema, tena bila kujali utofauti wa vyama vyao.

Na sababu kuu za kuichukia na kuichukulia hatua za kuishtaki kwa ukatili Inayofanya Gaza ni hizi:

1. Afrika kusini ni moja kati ya nchi ambazo zilipitia changamoto kubwa ya kutawaliwa kimabavu, kufungwa bila hatia, kuadhibiwa bila kosa, na wengine kuuwawa kwa sababu ya kudai uhuru wao, ardhi yao na haki zao. Hili walilopitia waafrika kusini ndio wanalilopitia wapalestina kwa zaidi ya miaka 70. Hivyo waafrika kusini wanajua na kufahamu machungu wanayopitia wapalestina kule kwao.

Hili swala la watu wanaojaribu kutumia nguvu kudai haki zao walizonyimwa kwa zaidi ya miaka 70 kuitwa magaidi na nchi za magharibi (Hamas) hata wao wa afrika kusini walikumbana nalo hadi kupelekea baadhi ya vijana na wanachama wa anc kukimbilia Tanzania, Zambia, Zimbabwe na kwengineko ili kukwepa mkono wa sheria wa wazungu ambao waliwaona na kuwaita wapigania uhuru na haki zao, tena katika nchi yao wenyewe kuwa ni magaidi.

2. Pili wakati wa ubaguzi wa rangi, Israel ilikuwa ni moja ya nchi ambazo zilisupport utawala wa kibaguzi wa rangi, lakini pia makaburu wengi walienda Israel kusomea mbinu za kijeshi za kuja kupambana na vijana weusi wa afrika kusini bure bila malipo yoyote kwa wayahudi.

Yaani kwa kiswahili chepesi tunaweza kusema kuwa Israel ndio ilikuwa unadhamini askari hao kwenda kujifunza ukatili katika nchi yao ili waje wauwe wenzao kwa sababu tu ya utofauti wa kirangi nk.

Unaweza ukajiuliza inakuaje nchi nyingi zifanye ukatili na Afrika kusini isiguswe wala kufuatilia ukatili huo, lakini huu wa Israel umewagusa. Na hiyo ni kwa sababu ya historia ya kile walichowanyia kupitia makaburu na kilichowatokea.

Afrika kusini ni nchi kubwa hivyo haiwezi kukurupuka tu kuanza kuichukia nchi nyingine tena ya mbali na mipaka yake bila sababu na ukizingatia nchi wanayoitetea ni ya kiarabu wakati wao sio waarabu, ni ya kiislamu wakati wao 95% sio waislamu.

Yani kwao ni bora hata baadhi ya nchi za kizungu zilionesha kuwasaidia na kuguswa na mateso waliyokuwa wanapitie enzi zile moja ya nchi hiyo ni Denmark kuliko Israel ambayo ilikuwa upande wa wazungu ili wawaangamize na kuwauwa wazawa.

Nina imani kama kungekuwa na ukaribu fulan wa kimipaka, basi wazee wa kazi wangepenyeza silaha kadhaa kwa Hamas ili kulipiza kisasi ya kile walichofanyiwa na wayahudi enzi hizo 😄😄😄

Wale wenye akili zilizojaa kichwa karibuni mjadili ki akili ili wale wasiofahamu sababu ya ufunguaji wa kesi waweze kufahamu na kujifunza. Lakini pia na wale watakaokuja kucheuwa povu lao kama mdomo wa kinda la ndege mnaruhusiwa kwa sharti la kutotukana watu hovyo.
Upo sawa
 
Sawa mkuu, nakutaka radhi kwa kukukwaza, tuendelee mbele kama waungwana.
Shukran ndugu yangu, tuko pamoja. Na mimi pia naomba unisamehe kwa kukukwaza ndugu yangu. Halikuwa kusudio langu.

Tusimame katika utaifa wetu ili kuijenga nchi yetu 🙏🙏🙏
 
Shukran ndugu yangu, tuko pamoja. Na mimi pia naomba unisamehe kwa kukukwaza ndugu yangu. Halikuwa kusudio langu.

Tusimame katika utaifa wetu ili kuijenga nchi yetu 🙏🙏🙏
Poa mkuu
 
SA Wanampigia mbusi (mbuzi) gitaa
Kiboko ya Israel ni Iran tu. Tumia akili kujiuliza kuwa kama nyumba ya Netanyahu na kambi za jeshi zinashambuliwa, je Iran wakisema waamue kushambulia nyumba za raia ambazo hazina ulinzi hali itakuaje?
 
Hizi kesi huwa ahzina maana yoyote, Rais wa Sudani alifunguliwa kesi, akawekewa ile wanted na ICC lakini hamna chochote. Tizama Putin ICC wanamtafuta wakati wanafahamu alipo, lakini yupo na vita inaendelea.

Kuna wale wa suni na Shia wa hapa Mtambani wao walikuwa wanashangilia sana siku ile HAMAS waliposhambulia Israel. Wakamshangilia sana Hassan Nasrallah, leo wamepumzika kama mashabiki wa SIMBA, mikwara miingi lakini wanaondoka vinywa wazi.
 
Kiboko ya Israel ni Iran tu. Tumia akili kujiuliza kuwa kama nyumba ya Netanyahu na kambi za jeshi zinashambuliwa, je Iran wakisema waamue kushambulia nyumba za raia ambazo hazina ulinzi hali itakuaje?
Kwahiyo wewe ndiyo unaakili sana kwakuandika upupu huu, Wapi huko kuna kiboko ya Israel wakati Israel anawakosesha usingizi, Iran kitu gani hapo!

Iran walivyo na roho mbaya wangekuwa na uwezo Israel wangekaa pale ? Uwezo wao kufuga ndevu ili watu watishike na kuogopa
 
Hizi kesi huwa ahzina maana yoyote, Rais wa Sudani alifunguliwa kesi, akawekewa ile wanted na ICC lakini hamna chochote. Tizama Putin ICC wanamtafuta wakati wanafahamu alipo, lakini yupo na vita inaendelea.

Kuna wale wa suni na Shia wa hapa Mtambani wao walikuwa wanashangilia sana siku ile HAMAS waliposhambulia Israel. Wakamshangilia sana Hassan Nasrallah, leo wamepumzika kama mashabiki wa SIMBA, mikwara miingi lakini wanaondoka vinywa wazi.
Ha ha ha mwingine eti kiboko ya Israel ni Iran hivi wale Wairan walivyo na roho mbaya vile wangekuwa na uwezo Israel ingekaa pale si wangekuwa walishawamaliza, wao wanachoweza nikupigania wakitokea vichochoroni tu
 
Kwahiyo wewe ndiyo unaakili sana kwakuandika upupu huu, Wapi huko kuna kiboko ya Israel wakati Israel anawakosesha usingizi, Iran kitu gani hapo!

Iran walivyo na roho mbaya wangekuwa na uwezo Israel wangekaa pale ? Uwezo wao kufuga ndevu ili watu watishike na kuogopa
Pale mjinga unapotumia muda wako kijinga kuandika ujinga. Kati ya Iran na Israel ni nchi gani ambayo kila siku inashambuliwa?

Israel haiwezi kupita week bila watu kusikia ving'ora na kukimbilia mashimoni. Yani daily waisrael wanaishi kwa mashaka. Lakini huko Iran kuna watu hata mlio wa baruti tu hawaujui. Wanaishi kwa amani bila kukimbia kimbia kama waisrael wanavyokimbia kukwepa makombora.

Hata Netanyahu na familia yake leo wamekoswa koswa kuuwawa. Bahati yao wanalala na kushinda ndani ya mahandaki kukwepa kipigo cha makombora na drone za hezbulah zilizotengenezwa Iran. Halaf kama Iran ingekuwa na roho mbaya kama wayahudi ya kukimbilia kuuwa watu hovyo basi wangekuwa washauwa waisrael wengine sana maana nyumba zao hazina ulinzi wowote. Ila kwa vile Iran wana roho za utu basi wanadili na maadui zao ambao ni jeshi na viongozi wa Israel. Fikiria kama nyumba ya Netanyahu na kambi za jeshi zinazolindwa na THAAD pamoja na Iron Dome zimeshambuliwa bila kizuizi, je ingekuwa shambulizi la kulenga nyumba za raia ambazo hazina hiyo mifumo ya ulinzi hali ingekuaje.

We mjinga eti Iran walivyo na roho mbaya wangewamaliza waisrael. Mbona wayahudi walivyo na roho mbaya walishindwa kuwamaliza waafrika kusini weusi waliokuwa wanatetea ardhi yao, uhuru wao na haki yao?

Yani kwako wewe myahudi alivyokuja kuua waafrika kusini waliokuwa wanapigania uhuru wao, haki yao, nchi yao na maisha yao unaona sawa tu. Lakini na wao wauaji (wayahudi) wakikutana na wababe wenzao (Iran) wakaanza kuangamizwa kama walivyowaangamiza waafrika kusini unakuja kulalamika.
 
Ni aje waungwana,

Ndugu waungwana hapa jakwaani kwetu kuna vijana wengi ambao wamekuwa waki comment ujinga katika thread za watu wenye akili, na elimu kubwa kushinda wao, lengo ni kutaka waonekane kuwa na wao ni miongoni mwa wale wanaowatetea, hata kama hao wanaowatetewa hakuna anaewajua hata mmoja.

Ndugu waungwana hapa jukwaani kuna watu wanashangaza sana, kwa kukimbilia kuishambulia SA kutokana na kitendo chao cha kufungulia Israel kesi ya mauaji ya kimbari dhidi ya raia wasiokuwa na hatia, kina mama, watoto wachanga wenye umri wa chini ya miaka mitano, vilema, vizee nk.

Washambuliaji hawa wa mitandaoni haswa hapa JF ambao wengi wao wanaongozwa na kundi la wayahudi wa huko chato na nachingwea, wameshindwa kujua sababu haswa zilizopelekea nchi hiyo ya ki afrika kujiingiza katika swala hilo na ukizingatia nchi hiyo ina asilimia ndogo sana ya wavaa kobaz ambao hata hao kidogo wenyewe hawapo serikalini na wala hawana maamuzi yoyote ndani ya serikali, chama tawala wala vile vya upinzani.

Swala hili limewaunganisha wa afrika kusini wote akiwemo mwanasiasa machachari Julius Malema, tena bila kujali utofauti wa vyama vyao.

Na sababu kuu za kuichukia na kuichukulia hatua za kuishtaki kwa ukatili Inayofanya Gaza ni hizi:

1. Afrika kusini ni moja kati ya nchi ambazo zilipitia changamoto kubwa ya kutawaliwa kimabavu, kufungwa bila hatia, kuadhibiwa bila kosa, na wengine kuuwawa kwa sababu ya kudai uhuru wao, ardhi yao na haki zao. Hili walilopitia waafrika kusini ndio wanalilopitia wapalestina kwa zaidi ya miaka 70. Hivyo waafrika kusini wanajua na kufahamu machungu wanayopitia wapalestina kule kwao.

Hili swala la watu wanaojaribu kutumia nguvu kudai haki zao walizonyimwa kwa zaidi ya miaka 70 kuitwa magaidi na nchi za magharibi (Hamas) hata wao wa afrika kusini walikumbana nalo hadi kupelekea baadhi ya vijana na wanachama wa anc kukimbilia Tanzania, Zambia, Zimbabwe na kwengineko ili kukwepa mkono wa sheria wa wazungu ambao waliwaona na kuwaita wapigania uhuru na haki zao, tena katika nchi yao wenyewe kuwa ni magaidi.

2. Pili wakati wa ubaguzi wa rangi, Israel ilikuwa ni moja ya nchi ambazo zilisupport utawala wa kibaguzi wa rangi, lakini pia makaburu wengi walienda Israel kusomea mbinu za kijeshi za kuja kupambana na vijana weusi wa afrika kusini bure bila malipo yoyote kwa wayahudi.

Yaani kwa kiswahili chepesi tunaweza kusema kuwa Israel ndio ilikuwa unadhamini askari hao kwenda kujifunza ukatili katika nchi yao ili waje wauwe wenzao kwa sababu tu ya utofauti wa kirangi nk.

Unaweza ukajiuliza inakuaje nchi nyingi zifanye ukatili na Afrika kusini isiguswe wala kufuatilia ukatili huo, lakini huu wa Israel umewagusa. Na hiyo ni kwa sababu ya historia ya kile walichowanyia kupitia makaburu na kilichowatokea.

Afrika kusini ni nchi kubwa hivyo haiwezi kukurupuka tu kuanza kuichukia nchi nyingine tena ya mbali na mipaka yake bila sababu na ukizingatia nchi wanayoitetea ni ya kiarabu wakati wao sio waarabu, ni ya kiislamu wakati wao 95% sio waislamu.

Yani kwao ni bora hata baadhi ya nchi za kizungu zilionesha kuwasaidia na kuguswa na mateso waliyokuwa wanapitie enzi zile moja ya nchi hiyo ni Denmark kuliko Israel ambayo ilikuwa upande wa wazungu ili wawaangamize na kuwauwa wazawa.

Nina imani kama kungekuwa na ukaribu fulan wa kimipaka, basi wazee wa kazi wangepenyeza silaha kadhaa kwa Hamas ili kulipiza kisasi ya kile walichofanyiwa na wayahudi enzi hizo 😄😄😄

Wale wenye akili zilizojaa kichwa karibuni mjadili ki akili ili wale wasiofahamu sababu ya ufunguaji wa kesi waweze kufahamu na kujifunza. Lakini pia na wale watakaokuja kucheuwa povu lao kama mdomo wa kinda la ndege mnaruhusiwa kwa sharti la kutotukana watu hovyo.
Tanzania kuna kabila kazi yake kubwa ni kukwapua ardhi za watu kwa kila njia, Hao ndiyo watetezi wakubwa wa mazayuni.
 
Ha ha ha mwingine eti kiboko ya Israel ni Iran hivi wale Wairan walivyo na roho mbaya vile wangekuwa na uwezo Israel ingekaa pale si wangekuwa walishawamaliza, wao wanachoweza nikupigania wakitokea vichochoroni tu
Wewe kweli kiazi.. Hivi kuna kombora linalopita kichochoroni? Makombora yote huwa yanapita juu na Israel imeshindwa kuzuia wala kulipiza. Sababu wanajua wakithubutu kulipiza watapigwa zaidi ya kipigo cha mwanzo.
 
Back
Top Bottom