Wengi tunapenda kumiliki smartphone mbili na wakati mwingine hata zaidi ya mbili. Je, huu si uwendawazimu?

Wengi tunapenda kumiliki smartphone mbili na wakati mwingine hata zaidi ya mbili. Je, huu si uwendawazimu?

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
49,390
Reaction score
152,301
Ifike mahali tuanze kujiuliza hivi ni akili kumiliki simu janja zaidi ya moja tena huku kila moja ikiwa na line 2? Yaani line 4 kwa wakati mmoja?

Hivi hatuoni huu ni uwendawazimu kabisa hasa simu hizo zinapkuwa ni kwa matumizi ya kawaida tu kama vile kuwassiliana na ndugu, jamaa na marafiki?

Unatembea na simu mbili(line 4) halafu ndugu yako kijijini hata kilo ya unga kwake ni mtihani!!

Tunalia na tozo, ila hatujui kumiliki line 4, ni zaidi ya tozo za Samia.

Miaka ya nyuma, ilikuwa ni sifa kutembea na video cassette barabarani, ila siku hizi hata hizo video cassette kuzibeba tu ni shida. Hivyo, hata hisi smartphone, kuna wakati unakuja hata kubeba moja itakuwa yataka moyo.

Sielewi kabisa tunawaza nini kutembea na masimu makubwabwa zaidi ya moja.
 
Ifike mahali tuanze kujiuliza hivi ni akili kumiliki simu janja zaidi ya moja tena huku kila moja ikiwa na line 2? Yaani line 4 kwa wakati mmoja?

Hivi hatuoni huu ni uwendawazimu kabisa hasa simu hizo zinapkuwa ni kwa matumizi ya kawaida tu kama vile kuwassiliana na ndugu, jamaa na marafiki?

Unatembea na simu mbili(line 4) halafu ndugu yako kijijini hata kilo ya unga kwake ni mtihani!!

Sielewi kabisa tunawaza nini!!
Kwako ni uwendawazimu maana huna uwexo wa kumiliki smartphone 2,siku ukimiliki pesa utanunua hata simu 4 kila simu itakaa na line yake
 
Ifike mahali tuanze kujiuliza hivi ni akili kumiliki simu janja zaidi ya moja tena huku kila moja ikiwa na line 2? Yaani line 4 kwa wakati mmoja?

Hivi hatuoni huu ni uwendawazimu kabisa hasa simu hizo zinapkuwa ni kwa matumizi ya kawaida tu kama vile kuwassiliana na ndugu, jamaa na marafiki?

Unatembea na simu mbili(line 4) halafu ndugu yako kijijini hata kilo ya unga kwake ni mtihani!!

Sielewi kabisa tunawaza nini!!
Tena ni zaidi ya wazimu. Unaweza kuwa na line hata sita zikatumia simu moja tu, si zote unazi forward kwenye namba unayoitumia wakati huo.

Ni ujinga na wehu juu. Ukikutana na jitu kama hilo liite jingwehu.
 
Duh aisee wivu kitu kibaya sana....mimi nina smartphone tatu kwa jinsi navyotumia simu sana kuna muda inaisha chaji lazima niwe na backup. Nyingine ipoh tu home kwenye kabati ilipasuka kioo siipend..sasa sijui nimekuletea shida gn
 
Tena ni zaidi ya wazimu. Unaweza kuwa na line hata sita zikatumia simu moja tu, si zote unazi forward kwenye namba unayoitumia wakati huo.

Ni ujinga na wehu juu. Ukikutana na jitu kama hilo liite jingwehu.
Teknolojia imerahisha mambo halafu sisi tuna- complicate bila kujua.
 
Duh aisee wivu kitu kibaya sana....mimi nina smartphone tatu kwa jinsi navyotumia simu sana kuna muda inaisha chaji lazima niwe na backup. Nyingine ipoh tu home kwenye kabati ilipasuka kioo siipend..sasa sijui nimekuletea shida gn
Kuna wakati unakuja huu utakuwa ni ujinga kabisa.
 
KWA MAMBO YANGU YALIVYO MENGI NA IZO AKAUNTI NYINGI MTANDAONI NAHITAJI HATA 3 KWAKWELI (HII NI KIKAZI ZAIDI)
 
inategemea na nature ya kazi au shughuli inayokufanya umilik simu 2, sidhani km ni uwendawazimu, mm namiliki smartphone 2 sababu ya shughul ninayofanya
Mimi naongelea kumiliki line 4 kwa ajili ya kiwasiliana na ndugu, jamaa na marafiki .
 
Back
Top Bottom