Wengi wanamshambulia Makonda kwa mihemko na chuki, hawana hoja

Wengi wanamshambulia Makonda kwa mihemko na chuki, hawana hoja

Mzalendo Uchwara

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2020
Posts
4,437
Reaction score
13,836
Kuna watu wanamchukia mno Makonda, ndani mpaka nje ya chama. Labda ni kutokana na mambo yaliyotokea awamu ya 5. Chuki hii inawapofusha na kuwapumbaza watu.

Inapelekea Makonda hata akifanya kitu kidogo tu basi makelele yanakuwa mengi, lakini wengi wao wanafanya hivyo kwa hisia na mihemko tu, hawana hoja za msingi.

Mambo anayotuhumia kuwa ni 'makosa makubwa' ni mambo madogo sana, as a matter of fact hata mamlaka za uteuzi zimewahi kuteleza ulimi na kuyasema. Mfano ile ya wachezaji wa mpira wanawake kukosa naniliu kifuani. Aliteleza, tukamsamehe na maisha yakaendelea.

Niwashuri wote wenye chuki na Makonda, hususani ndani ya chama na jumiya zake, mtaumia sana roho, acheni kuendeshwa na hisia na visasi.

Huyo mheshimiwa yupo sana hapo hatoki. Mwenyekiti anazijua sura zenu halisi na mipango yenu, hawezi kurudia makosa kama yale ya kumtoa kule kwenye uenezi.
 
Kuna watu wanamchukia mno Makonda, ndani mpaka nje ya chama. Labda ni kutokana na mambo yaliyotokea awamu ya 5. Chuki hii inawapofusha na kuwapumbaza watu.

Inapelekea Makonda hata akifanya kitu kidogo tu basi makelele yanakuwa mengi, lakini wengi wao wanafanya hivyo kwa hisia na mihemko tu, hawana hoja za msingi.

Mambo anayotuhumia kuwa ni 'makosa makubwa' ni mambo madogo sana, as a matter of fact hata mamlaka za uteuzi zimewahi kuteleza ulimi na kuyasema. Mfano ile ya wachezaji wa mpira wanawake kukosa naniliu kifuani. Aliteleza, tukamsamehe na maisha yakaendelea.

Niwashuri wote wenye chuki na Makonda, hususani ndani ya chama na jumiya zake, mtaumia sana roho, acheni kuendeshwa na hisia na visasi.

Huyo mheshimiwa yupo sana hapo hatoki. Mwenyekiti anazijua sura zenu halisi na mipango yenu, hawezi kurudia makosa kama yale ya kumtoa kule kwenye uenezi.
Ni suala la muda tu. Huyu mhalifu mwenye bahati lazima atakuja kabiliana na HAKIMU baada ya utawala wa Samia kwa tuhuma hizi:-
1. Kuuawa kwa Ben Saanane
2. Kushambuliwa Tundu Lissu
3. Kuuawa kwa Akwilina
4. Kujipatia mali kwa njia ya udanganyifu kutoka kwa wafanyabiashara kama GSM, NAS, GBP, Yusuf Manji
5. Kuvamia kituo cha radio/TV cha Clouds
6. Kumteka Roma Mkatoliki
7. Kumteka Mo Dewji
 
Ni suala la muda tu. Huyu mhalifu mwenye bahati lazima atakuja kabiliana na HAKIMU baada ya utawala wa Samia kwa tuhuma hizi:-
1. Kuuawa kwa Ben Saanane
2. Kushambuliwa Tundu Lissu
3. Kuuawa kwa Akwilina
4. Kujipatia mali kwa njia ya udanganyifu kutoka kwa wafanyabiashara kama GSM, NAS, GBP, Yusuf Manji
5. Kuvamia kituo cha radio/TV cha Clouds
6. Kumteka Roma Mkatoliki
7. Kumteka Mo Dewji
Hizo ni tuhuma tu, na inategemea baada ya SSH ataingia nani, anaweza kuwa huyohuyu Makonda.
 
Wafuasi wake wanahisi jamaa anachukiwa kwa chuki tu binafsi ila jamaa hajui mipaka ya kazi yake sjui nini huaga kinampa kiburi, hiyo sio sifa nzuri kwa kiongozi
Ni watu ndio hawajui mamlaka ya mkuu wa mkoa, yaani wakuu wa mikoa wengine wanapaswa kukaa chini wafundishwe na makonda.

Kwa wasio mjua wanaweza kumdhihaki yule jamaa lakini kwa waliowahi kufika ofisini kwake na kusaidiwa naye hawatokuja kumsahau. Jamaa ni mtu wa watu sana, tena mpenda haki na mzalendo.
 
Wafuasi wake wanahisi jamaa anachukiwa kwa chuki tu binafsi ila jamaa hajui mipaka ya kazi yake sjui nini huaga kinampa kiburi, hiyo sio sifa nzuri kwa kiongozi

Huyo ni jambazi muuaji. Chuki dhidi ya huyo mtu ni kutokana na historia yake ya ushetani mkubwa alioufanya huko nyuma.

Huyu mahali pake sahihi ni gerezani, siyo huko mtaani. Hata mteuzi wake atashiriki laana ya huyu mtu ambaye mikono yake imejaa damu za watu wasio na hatia alipoongoza kundi lile la "WASIOJULIKANA".

RIP Sanane, RIP Kanguye, pole sana Lisu kwa uharamia uliotendewa na huyu muuaji. Laana iwe dhidi ya huyu shetani na kizazi chake na wote wenye kusimama naye.

Hongera ya USA kwa kuukimbia unafiki, maana mlitamka wazi kuwa huyu mtu ni muuaji, na mkampifa marufuku kukanya ardhi yenu.
 
Kuna watu wanamchukia mno Makonda, ndani mpaka nje ya chama. Labda ni kutokana na mambo yaliyotokea awamu ya 5. Chuki hii inawapofusha na kuwapumbaza watu.

Inapelekea Makonda hata akifanya kitu kidogo tu basi makelele yanakuwa mengi, lakini wengi wao wanafanya hivyo kwa hisia na mihemko tu, hawana hoja za msingi.

Mambo anayotuhumia kuwa ni 'makosa makubwa' ni mambo madogo sana, as a matter of fact hata mamlaka za uteuzi zimewahi kuteleza ulimi na kuyasema. Mfano ile ya wachezaji wa mpira wanawake kukosa naniliu kifuani. Aliteleza, tukamsamehe na maisha yakaendelea.

Niwashuri wote wenye chuki na Makonda, hususani ndani ya chama na jumiya zake, mtaumia sana roho, acheni kuendeshwa na hisia na visasi.

Huyo mheshimiwa yupo sana hapo hatoki. Mwenyekiti anazijua sura zenu halisi na mipango yenu, hawezi kurudia makosa kama yale ya kumtoa kule kwenye uenezi.
Wengi wao ni vibaka tu!
 
Ni suala la muda tu. Huyu mhalifu mwenye bahati lazima atakuja kabiliana na HAKIMU baada ya utawala wa Samia kwa tuhuma hizi:-
1. Kuuawa kwa Ben Saanane
2. Kushambuliwa Tundu Lissu
3. Kuuawa kwa Akwilina
4. Kujipatia mali kwa njia ya udanganyifu kutoka kwa wafanyabiashara kama GSM, NAS, GBP, Yusuf Manji
5. Kuvamia kituo cha radio/TV cha Clouds
6. Kumteka Roma Mkatoliki
7. Kumteka Mo Dewji
Ukiambiwa usibitishe haya mahakamani, utabaki ukilia na kuona serkali inakuonea.
 
Huyo shetani wako alipofika pametosha. Makao yake yapo gerezani. Muuaji huyo hana hiyo nafasi unayoifikiria. Amini hilo.
Nadhani hata wewe unaandika hayo kwa hisia tu. Hakuna hata chembe ya ushahidi wa Makonda kufanya hayo unayoyasema.
 
Ni watu ndio hawajui mamlaka ya mkuu wa mkoa, yaani wakuu wa mikoa wengine wanapaswa kukaa chini wafundishwe na makonda.

Kwa wasio mjua wanaweza kumdhihaki yule jamaa lakini kwa waliowahi kufika ofisini kwake na kusaidiwa naye hawatokuja kumsahau. Jamaa ni mtu wa watu sana, tena mpenda haki na mzalendo.

Unavyozungumza ni vitu ambavyo havishikani kamwe.

Katika ukiukaji wa haki na udhulumaji wa haki, hakuna ule unaozidi ule wa kuwadhulumu wenzako haki ya kuishi.

Huyu kamwe hawezi kuwa mtu wa haki bali ni shetani mkubwa mdhulumaji wa uhai wa watu. Wenye akili, USA wamempiga marufuku kukanyaga hata ardhi yao kwa sababu ni muuaji. Sisi bado tumekumbatia jitu haramia!!

Yaani jitu haramia linaloua watu, halafu jitu hilo hilo likazuia mama kuporwa ardhi yake, basi litageuka kuwa ni mpenda haki?? Watanzania sijui vichwa vyetu vimebeba nini!! Maana ni rahisi sana kuhadaiwa na watu waovu.
 
Nadhani hata wewe unaandika hayo kwa hisia tu. Hakuna hata chembe ya ushahidi wa Makonda kufanya hayo unayoyasema.

Umewahi kumsikia yeye mwenyewe au Serikali ikikanusha? Walioshuhudia kwa macho, waliosikia, walitoa taarifa ambazo haziwekwa rasmi, LAKINI ile taarifa ya USA ni taarifa rasmi ya kisekali, uliwahi kumsikia Makonda mwenyewe au Serikali ikikanusha? Unataka ushahidi gani hasa?

Makonda alifanya uovu ule akiwa ndani ya Serikali, na hakuwa pekee yake. Ndiyo maana Serikali ili-mute kwa sababu kesi ya uovu wa Makonda lazima ungeihusisha Serikali moja kwa moja, kwa sababu yeye msimamizi mkuu wa uovu ule alikuwa kiongozi
wa Serikali, watekelezaji wote walikuwa watumishi wa Serikali.

Uzuri ni kwamba jinai haifi. Kuna siku, hata kama atakuwa 60 years old au zaidi, lazima atasimama kizimbani. Na atalipwa sawasawa na uovu wake.
 
Back
Top Bottom