Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna watu wanamchukia mno Makonda, ndani mpaka nje ya chama. Labda ni kutokana na mambo yaliyotokea awamu ya 5. Chuki hii inawapofusha na kuwapumbaza watu.
Inapelekea Makonda hata akifanya kitu kidogo tu basi makelele yanakuwa mengi, lakini wengi wao wanafanya hivyo kwa hisia na mihemko tu, hawana hoja za msingi.
Mambo anayotuhumia kuwa ni 'makosa makubwa' ni mambo madogo sana, as a matter of fact hata mamlaka za uteuzi zimewahi kuteleza ulimi na kuyasema. Mfano ile ya wachezaji wa mpira wanawake kukosa naniliu kifuani. Aliteleza, tukamsamehe na maisha yakaendelea.
Niwashuri wote wenye chuki na Makonda, hususani ndani ya chama na jumiya zake, mtaumia sana roho, acheni kuendeshwa na hisia na visasi.
Huyo mheshimiwa yupo sana hapo hatoki. Mwenyekiti anazijua sura zenu halisi na mipango yenu, hawezi kurudia makosa kama yale ya kumtoa kule kwenye uenezi.
Hapa duniani sheria zipo na zinaenda kwa ushahid sio ngenjera na mihemko. Ebu tupe ushahid kuwa unachosema ni sahihi.Ni suala la muda tu. Huyu mhalifu mwenye bahati lazima atakuja kabiliana na HAKIMU baada ya utawala wa Samia kwa tuhuma hizi:-
1. Kuuawa kwa Ben Saanane
2. Kushambuliwa Tundu Lissu
3. Kuuawa kwa Akwilina
4. Kujipatia mali kwa njia ya udanganyifu kutoka kwa wafanyabiashara kama GSM, NAS, GBP, Yusuf Manji
5. Kuvamia kituo cha radio/TV cha Clouds
6. Kumteka Roma Mkatoliki
7. Kumteka Mo Dewji
Wewe ni mpumbavu kama unaamini Makonda anaweza kuwa Rais wa nchi hii.Hizo ni tuhuma tu, na inategemea baada ya SSH ataingia nani, anaweza kuwa huyohuyu Makonda.
Mbona clip ya uvamizi wa clouds media iko humu kwenye mtandao? Kama huna sema niipandishe fasta.Ukiambiwa usibitishe haya mahakamani, utabaki ukilia na kuona serkali inakuonea.
Ushahidi upo, tuliza matako. Subiri Samia amalize kipindi chakeHapa duniani sheria zipo na zinaenda kwa ushahid sio ngenjera na mihemko. Ebu tupe ushahid kuwa unachosema ni sahihi.
Punguza generalization ili kumlinda Makonda. Makonda sio msafi kihivyo.Inajulikana wote wanaomponda ni wezi mafisadi wala rushwa, na chama chao kina umoja sanaa!
Aingie wapi? Ubunge tu ilimshinda sembuse urais.Hizo ni tuhuma tu, na inategemea baada ya SSH ataingia nani, anaweza kuwa huyohuyu Makonda.
Kama weweWengi wao ni vibaka tu!
Kwani Makonda ndio aligundua Hilo? Acha uongo. Ni yule mfanya biashara Chambulo ndio alipeleka hayo madai, ndipo TAKUKURU wakaanza upelelezi. Mnadhani hatukuwepo kwenye kikao.Ndio hapo sasa, watu wachokonoa mifumo wanatengeneza control namba feki, bila Makonda tungeyajua hayo? Wamwache achape kazi.
Haki ipi?. Ya kumlima risasi Lissu?. Huyo lazima naye ataenda tu kwa unyama alioufanya.Ni watu ndio hawajui mamlaka ya mkuu wa mkoa, yaani wakuu wa mikoa wengine wanapaswa kukaa chini wafundishwe na makonda.
Kwa wasio mjua wanaweza kumdhihaki yule jamaa lakini kwa waliowahi kufika ofisini kwake na kusaidiwa naye hawatokuja kumsahau. Jamaa ni mtu wa watu sana, tena mpenda haki na mzalendo.
Mahakama zipi?. Hizi anazoziponda Makonda kwamba hazina haki?Ukiambiwa usibitishe haya mahakamani, utabaki ukilia na kuona serkali inakuonea.
Mnatafuta kichaka Cha kujificha. Eti kila anayempinga Makonda ni fisadi. Tuendee tu ipo siku itajulikana.Ashakuibia au ndo chuki za mafisadi sasa mmekuwa kama waeneza itikadi nimalize kusom niende kwa muheshimiwa nipige kazi
Hata wewe unaandika kwa hisia.Nadhani hata wewe unaandika hayo kwa hisia tu. Hakuna hata chembe ya ushahidi wa Makonda kufanya hayo unayoyasema.
Acha kuongea pumba. Wakuu wa mikoa waje kujifunza kuhusu Nini?. Amefanya projects zipi za maana?. Kufanya mikutano kwa ushirika wa online TVs ndio uongozi Bora?. Be serious.Ni watu ndio hawajui mamlaka ya mkuu wa mkoa, yaani wakuu wa mikoa wengine wanapaswa kukaa chini wafundishwe na makonda.
Kwa wasio mjua wanaweza kumdhihaki yule jamaa lakini kwa waliowahi kufika ofisini kwake na kusaidiwa naye hawatokuja kumsahau. Jamaa ni mtu wa watu sana, tena mpenda haki na mzalendo.
Kuna yule Mbunge aliwananga Wahudumu wa Ndege za Air Tanzania kwamba ni wazee siyo warembo lkn hatukuona LHRC wala Wana Harakati wakija juu. Makonda endelea kuwapiga spana watanyooka tu.Kuna watu wanamchukia mno Makonda, ndani mpaka nje ya chama. Labda ni kutokana na mambo yaliyotokea awamu ya 5. Chuki hii inawapofusha na kuwapumbaza watu.
Inapelekea Makonda hata akifanya kitu kidogo tu basi makelele yanakuwa mengi, lakini wengi wao wanafanya hivyo kwa hisia na mihemko tu, hawana hoja za msingi.
Mambo anayotuhumia kuwa ni 'makosa makubwa' ni mambo madogo sana, as a matter of fact hata mamlaka za uteuzi zimewahi kuteleza ulimi na kuyasema. Mfano ile ya wachezaji wa mpira wanawake kukosa naniliu kifuani. Aliteleza, tukamsamehe na maisha yakaendelea.
Niwashuri wote wenye chuki na Makonda, hususani ndani ya chama na jumiya zake, mtaumia sana roho, acheni kuendeshwa na hisia na visasi.
Huyo mheshimiwa yupo sana hapo hatoki. Mwenyekiti anazijua sura zenu halisi na mipango yenu, hawezi kurudia makosa kama yale ya kumtoa kule kwenye uenezi.
Hahaha! Anapata support kubwa kutoka kwa wanamihemko, 'great thinkers' wao ni ku pick holes kwa mambo ambayo si sawa kwa sababu hawakuzoea kuona mambo yakienda kwa mihemko. Ila wanamihemko wako happy kwa sababu hawawezi kuona beyond that. After all, ni kama kutaka kinyonga ageuke rangi nyeupe. Haiwezekani! Wanamihemko wanajuana wao kwa wao na kupeana support.Kuna watu wanamchukia mno Makonda, ndani mpaka nje ya chama. Labda ni kutokana na mambo yaliyotokea awamu ya 5. Chuki hii inawapofusha na kuwapumbaza watu.
Inapelekea Makonda hata akifanya kitu kidogo tu basi makelele yanakuwa mengi, lakini wengi wao wanafanya hivyo kwa hisia na mihemko tu, hawana hoja za msingi.
Mambo anayotuhumia kuwa ni 'makosa makubwa' ni mambo madogo sana, as a matter of fact hata mamlaka za uteuzi zimewahi kuteleza ulimi na kuyasema. Mfano ile ya wachezaji wa mpira wanawake kukosa naniliu kifuani. Aliteleza, tukamsamehe na maisha yakaendelea.
Niwashuri wote wenye chuki na Makonda, hususani ndani ya chama na jumiya zake, mtaumia sana roho, acheni kuendeshwa na hisia na visasi.
Huyo mheshimiwa yupo sana hapo hatoki. Mwenyekiti anazijua sura zenu halisi na mipango yenu, hawezi kurudia makosa kama yale ya kumtoa kule kwenye uenezi.
Reasoning ya ajabu sana hii. Hopeless kabisa!Kuna yule Mbunge aliwananga Wahudumu wa Ndege za Air Tanzania kwamba ni wazee siyo warembo lkn hatukuona LHRC wala Wana Harakati wakija juu. Makonda endelea kuwapiga spana watanyooka tu.