Wengine hatuwezi ku-date na Mwanamke asiyeweza kujilipia nauli na kujinunulia vocha

Wengine hatuwezi ku-date na Mwanamke asiyeweza kujilipia nauli na kujinunulia vocha

Siwezi kuhangaika kutafuta pesa kwa ajili ya mwanamke...sijawahi fanya upumbavu huo maybe kwa mke wa ndoa hiyo ni family...historia yangu ya kudate kwanza we do cost sharing iwe outing etc ...mambo ya kuombana vocha na nauli ni utoto..wanawake wanaojielewa na hawa huo ujinga wapo wengi sana...otherwise kama uko disparate na mapenzi..
 
Siwezi kuhangaika kutafuta pesa kwa ajili ya mwanamke...sijawahi fanya upumbavu huo maybe kwa mke wa ndoa hiyo ni family...historia yangu ya kudate kwanza we do cost sharing iwe outing etc ...mambo ya kuombana vocha na nauli ni utoto..wanawake wanaojielewa na hawa huo ujinga wapo wengi sana...otherwise kama uko disparate na mapenzi..

Usipojiamini Hii Dunia itakusumbua mno
 
Brother,ngoja nijiongelee Binafsi,Siko vibaya kiuchumi kabisa namshukuru Mungu Kwa Hilo,naweza kujipeleka hata vacation inapobidi,lakini siwezi nenda Kwa mwanaume wangu mkoa au nchi nyingine bila kunitumia nauli,......Akituma nauli huyo Yuko serious na hayo mahusiano....Sasa mtu hawezi hata kutumia nauli wanini huyo?
hivi kuna mwanaume haweza kweli kumtumia mtu nauli? au kakuona cheap ndio maana hajakutumia nauli?
 
Kama naona tunaotumiwa nauli na vocha tunavosonya😏😏😏😁😁🤠🤠🤠🤠

Halafu si kwamba baadhi hawawezi jilipia nauli wanaweza vizuri tu ilaa kuna wanaume ni waelewa mnoooo nyieee!

Wazidi kubarikiwa na kuongezewa maradufu kwakweli !!

Halafu cha kujua ni kwamba kwani kabla yako alikua haweki vocha?? 😉😉🤔🤔🤔
Wanaume wengi wanachukia ni kwamba unaweza kukuta unamtumia nauli unashangaa haji na kala hela yako au unamtumia vocha alafu ana chati na wengine sio wewe unamtumia message saa 2 asubuhi anakujibu saa 4 usiku hiki ndicho kinawauma wanaume wengi ndio maana wakaja na hoja hizi kama za mtoa mada kusingekuwa na hizi tabia hizi hoja zisingeibuka recently
 
Unamtetea eeh 😀
Simtetei ila naunga mkono kwenye hoja ya ubinafsi kwenye mahusiano yoyote ili yaimarike kusiwe na ubinafsi kati yenu mwanaume ajikite kwenye kumuhudumia mtu wake na kwenye hili sio ombi naturally ukiwa unampenda mtu wako lazima uhumudumie au umjali na mwanamke aoneshe upendo kwa mwanaume wake kusiwe na kukomoana.
 
Simtetei ila naunga mkono kwenye hoja ya ubinafsi kwenye mahusiano yoyote ili yaimarike kusiwe na ubinafsi kati yenu mwanaume ajikite kwenye kumuhudumia mtu wake na kwenye hili sio ombi naturally ukiwa unampenda mtu wako lazima uhumudumie au umjali na mwanamke aoneshe upendo kwa mwanaume wake kusiwe na kukomoana.

Mapenzi ya kweli hakuna cha kusema huyu ni Mwanaume au huyu ni Mwanamke, wote mnaowajibu wa kusaidiana.

Sasa jitu hata nauli linashindwa huyo WA nini Wakati wapo Wanawake kibao wenye uwezo
 
Ukitoka na watu Maskini ndio huwa na mawazo kama hayo.
Kwa waliowahi Kutoka na wasichana au Wanawake wakishua Hawana fikra kama hizo.
Aiseee endelezeni kutoka na hao wakishua,ila Binafsi Nina uwezo wa kulipa nauli hata ukiniita Kampala,ila kama hujanitumia walah siji.....Mimi msimamo wangu ni kama wako siwezi date mwanaume hawezi tuma nauli,naweza fika huko hata jinsi ya kuku-host mgeni hawezi kumbe!anaanza kukulaza sehemu za ajabuajabu weeeeeeee Akili mtu wangu
 
Wengine huwa hawaishi na wanawake, wanaishi wenyewe mpaka wanakufa. MWANAUME aliyakmilika anasaidia mwanamke wake kwa Upendo anapokuwa ma uwezo.

Huwezi kuwa mwanaume timamu, unayejiandaa na kujipanga kutosaidia mwanamke, mna shida gani vizazi vya kipindi hiki?

Misingi ya ndoa, ambayo inaonekana kwenye uanaume na uanawake toka utotoni,

A Man is'

  • Protector.
  • Provider.

Yani ili nijisikie vizuri i lazima ni provide na ku protect ( kwa uwezo na Upendo lakini), sio kujiumiza, kujiumiza haifai, na hapo utapendeka.



Nachokupinga ni kwamba wewe unajiandaa kwenda kinyume na kanuni za k uanaume na uanawake, na hapo ndo Unaharibu.

Mwanamke uliyemchagua, ukampenda kwa Hiyari, lazima u provide, lazima umsaidie, lazima umvishe, lazima ajisikie yupo na mtu (ila kwa Upendo, na uwezo)

Vitu vyenyewe unavyolalamikia ni vocha nauli! Uwewahi jiuliza kwa nini wanaume ni wateja kwenda kununua Malaya? Inatokana na asili......

Mwanaume is considered ana benefit kwa sex, na mwanamke ni kama anatoa service, ni asili, ni nature, ndivyo ilivyo.

Kama ukiwa na akshi unaenda nunua mwanamke, kwa nini usimhudumie unayempenda kwa dhati kwa uwepo wako kwenye maisha yako?

Aisee kama una miaka zaidi ya 30, wewe utakuwa ni mtu wa hovyo sana.
Ungeandika uzi wako 😂😂😂😂😂 hii sio comment ni UZI
 
Aiseee endelezeni kutoka na hao wakishua,ila Binafsi Nina uwezo wa kulipa nauli hata ukiniita Kampala,ila kama hujanitumia walah sijui.....Mimi msimamo wangu ni kama wako siwezi date mwanaume hawezi tuma nauli,naweza fika huko hata jinsi ya kuku-host mgeni hawezi kumbe!anaanza kukulaza sehemu za ajabuajabu weeeeeeee Akili mtu wangu
Hivi unampimaje mwanaume kwa kutokukupa nauli?
 
Back
Top Bottom