Joannah
JF-Expert Member
- May 8, 2020
- 20,921
- 49,014
Kaka,hupumziki?If you know there is more happiness in giving, why are striving for receiving only? don't you also need that happiness which comes through giving?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaka,hupumziki?If you know there is more happiness in giving, why are striving for receiving only? don't you also need that happiness which comes through giving?
Mi ndio hata sijali,let them call us whatever they like lakini hawajui tu Ile feeling ya kutumiwa nauli na baby inavyoamsha genye,maana unaona kabisa ule uhitaji wa uwepo wako na thamani Yako, 😅😅😅.Sioni ajabu mwanaume kumpa pesa/nauli mwanamke wake. Kuhusu kuonekana malaya anaweza asiwe anatoa hata thumni na akakuona malaya vile vile kwa namna anayoijua yeye. So kama mtu kwa mapenzi yake kaamua kumpa pesa mwanamke wake wacha tu iwe hivyo.
Hapo ndipo unapokosea sana!! mahitaji ya mwanamume ni zaidi ya kei!! haumpelekei kei bali unaenda kumpa company anayohitaji toka kwako!! huko aliko mbona kei ni nyingi tu!! kama issue ni kei wala asingekuita wewe toka mbali, angezipata nyingi tu huko aliko!! Usipolijua hili, utasubiri sana!! Lakini pia kama kweli unampenda na kumhitaji kwa nini uone shida kugharimia kumpelekea hiyo kei? na wewe si utafurahia em yake?Yaani siwezi pelekea mtu kei Kwa nauli yangu
Huwa napenda kuongea kwenye mada mpya,,,hii nineshabishana sana na mwenye mada yake kanyanyua mikono,ndio maana unaona Sina Cha kujibu..hebu elewa msimamo ndio huohuo..no fair,no journey 😎Hapo ndipo unapokosea sana!! mahitaji ya mwanamume ni zaidi ya kei!! haumpelekei kei bali unaenda kumpa company anayohitaji toka kwako!! huko aliko mbona kei ni nyingi tu!! kama issue ni kei wala asingekuita wewe toka mbali, angezipata nyingi tu huko aliko!! Usipolijua hili, utasubiri sana!! Lakini pia kama kweli unampenda na kumhitaji kwa nini uone shida kugharimia kumpelekea hiyo kei? na wewe si utafurahia em yake?
Nimekuelewa!! no fair no journey!! tukubaliane kutokukubaliana!! Ila hii ni mijadala tu ya jukwaani, mawazo ya kila mmoja ni vizuri yaheshimiwe!! Ndiyo maana tunatofautiana, wengine wafupi, wengine warefu, wengine wembamba, wengine wanene, bado wote ni binadamu na wote ni wazuri!! Na mawazo pia hatutegemei yafanane!!Huwa napenda kuongea kwenye mada mpya,,,hii nineshabishana sana na mwenye mada yake kanyanyua mikono,ndio maana unaona Sina Cha kujibu..hebu elewa msimamo ndio huohuo..no fair,no journey 😎
Mara mia mwanamke akasema hana nauli na awe hana kweli, hapo akiomba nauli sawa maana hamna namna nyingine. Lakini mwanamke kama pesa ya nauli anayo lakini anaona kuitumia kwa namna hiyo anaona atakuwa amefanya matumizi mabaya!! Sasa kwa nini anategemea huyo mwanamume yeye ndo afanye hayo matumizi mabaya??