Wengine hatuwezi ku-date na Mwanamke asiyeweza kujilipia nauli na kujinunulia vocha

Wengine hatuwezi ku-date na Mwanamke asiyeweza kujilipia nauli na kujinunulia vocha

Dah umenikosea sana!maana unajua kabisa Nina mzigo na wanaume bahili wa milimani kama wewe,πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…

Hakunaga mwanaume bahili akawa mjinga.
Angalia wazee WA Bajeti Kali wote uje uniambie.
Angalia Wachaga, waha, wakinga wapare, wahindi, wapemba, alafu wapate nafasi ya Kazi au biashara uone Maisha Yao yalivyo.

Sisi sio mizigo, Ila tunajizuia(bahili) Kwa mambo yasiyo na umuhimu.
 
Hakunaga mwanaume bahili akawa mjinga.
Angalia wazee WA Bajeti Kali wote uje uniambie.
Angalia Wachaga, waha, wakinga wapare, wahindi, wapemba, alafu wapate nafasi ya Kazi au biashara uone Maisha Yao yalivyo.

Sisi sio mizigo, Ila tunajizuia(bahili) Kwa mambo yasiyo na umuhimu.
Sasa ndio mle ugali na picha ya samakiπŸ™†πŸ™†πŸ™†πŸ™†
 
Wengine huwa hawaishi na wanawake, wanaishi wenyewe mpaka wanakufa. MWANAUME aliyakmilika anasaidia mwanamke wake kwa Upendo anapokuwa ma uwezo.

Huwezi kuwa mwanaume timamu, unayejiandaa na kujipanga kutosaidia mwanamke, mna shida gani vizazi vya kipindi hiki?

Misingi ya ndoa, ambayo inaonekana kwenye uanaume na uanawake toka utotoni,

A Man is'

  • Protector.
  • Provider.

Yani ili nijisikie vizuri i lazima ni provide na ku protect ( kwa uwezo na Upendo lakini), sio kujiumiza, kujiumiza haifai, na hapo utapendeka.



Nachokupinga ni kwamba wewe unajiandaa kwenda kinyume na kanuni za k uanaume na uanawake, na hapo ndo Unaharibu.

Mwanamke uliyemchagua, ukampenda kwa Hiyari, lazima u provide, lazima umsaidie, lazima umvishe, lazima ajisikie yupo na mtu (ila kwa Upendo, na uwezo)

Vitu vyenyewe unavyolalamikia ni vocha nauli! Uwewahi jiuliza kwa nini wanaume ni wateja kwenda kununua Malaya? Inatokana na asili......

Mwanaume is considered ana benefit kwa sex, na mwanamke ni kama anatoa service, ni asili, ni nature, ndivyo ilivyo.

Kama ukiwa na akshi unaenda nunua mwanamke, kwa nini usimhudumie unayempenda kwa dhati kwa uwepo wako kwenye maisha yako?

Aisee kama una miaka zaidi ya 30, wewe utakuwa ni mtu wa hovyo sana.
Sasa na wewe hapo ndo umehalibu. Dunia hii,una uhakika huyo demu unaemhangaika wako tuuu au unashea na wenzako! Sasa ya nini uhangaike na lijitu lisilojitambua? Tatizo linaanza hivi,kwenye ushindani wa mapenzi. Kama haeleweki,mgegede,mpe nauli,chipsi mnunulie na aondoke. Vocha kwani we voda! Nauli kwani unaenjoy peke yako? Kuprovide unakosema,mwanamke mwenye akili hakuombi pesa. We mwenyewe utajiongeza. Mwingine hata nauli atakopa,akifika atakueleza. Mengine utasikia oh,ntakula nini, eti nyumbani ntakuta wamemaliza chakula.

Mungu baba tusamehe
 
Sasa na wewe hapo ndo umehalibu. Dunia hii,una uhakika huyo demu unaemhangaika wako tuuu au unashea na wenzako! Sasa ya nini uhangaike na lijitu lisilojitambua? Tatizo linaanza hivi,kwenye ushindani wa mapenzi. Kama haeleweki,mgegede,mpe nauli,chipsi mnunulie na aondoke. Vocha kwani we voda! Nauli kwani unaenjoy peke yako? Kuprovide unakosema,mwanamke mwenye akili hakuombi pesa. We mwenyewe utajiongeza. Mwingine hata nauli atakopa,akifika atakueleza. Mengine utasikia oh,ntakula nini, eti nyumbani ntakuta wamemaliza chakula.

Mungu baba tusamehe

Upo sahihi, inategemea na thamani unayoweka katika kumtafuta huyo mwanamke, Kama wewe mnakutana bar kesho uko naye ndani kama mke, huyo sio mwanamke ninayemzungumzia.
 
Dah umenikosea sana!maana unajua kabisa Nina mzigo na wanaume bahili wa milimani kama wewe,πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
Ubahili siyo huo!! Ubahili ni mtu kushindwa kujitimizia mahitaji yako ya halali na ya lazima wakati pesa ya kutumia unayo!! Kumtumia mwanamke nauli ili aje kupewa raha, tena kwa usumbufu wa kuandaliwa sana maana mawazo yake yamejaa marejesho kwenye vikoba, hayo si matumizi halali na ya lazima. Kwa hiyo mtoa uzi yuko sahihi sana!

Tusipoteze wazo la msingi la mtoa uzi: Anazungumzia dating!! Kimsingi dating hutumiwa kama mwanzo wa kuanzisha mahusiano ambayo kama yakienda vizuri mwisho wa siku huzalisha unyumba!! Sasa mahusiano yanapaswa yapaliliwe na pande zote! Kwenye dating ndo kipindi cha kusomana kuona kama huyu ana sifa za kuja kuwa mama watoto!! Kwa utaratibu huu wa kubebeshana mizigo isiyo ya lazima tangu hatua za mwanzo kabisa za mahusiano ndiyo maana masingle mothers wameongezeka sana katika jamii!! Wanaume wanaojielewa wanakula kona faster!! Huko mbele ya safari kwenye umri mkubwa 45-60yrs hawa huishia kuingia gharama kubwa ya kushawishi na kuhudumia vijana wadogo ili mradi tu wapate mtu wa kumkuna mgongoni!!! Maana alichezea fursa alipokuwa anahitajika na sasa hahitajiki tena na huduma ya asili bado anaitaka!! Alikwepa kulipa nauli na sasa anajikuta analazimika kulipia vijana nauli na kuwahudumia chakula, mavazi, nk, ili mradi tu ajiridhishie hamu yake!! Majuto ni mjukuu!!!
 
Yaani ndo mule mule dear.
Hata uwe tajiri vipi ila ukikaa kwenye bus/ndege kumfuata baby kwa pesa ya baby yaani unajihisi kama malkia ila hizi nauli zinaweza sababisha mtu unayempenda kwa dhati akunyanyase na kukashifu akidhani na wewe ni malaya unategemea hizo nauli kuishi
Sioni ajabu mwanaume kumpa pesa/nauli mwanamke wake. Kuhusu kuonekana malaya anaweza asiwe anatoa hata thumni na akakuona malaya vile vile kwa namna anayoijua yeye. So kama mtu kwa mapenzi yake kaamua kumpa pesa mwanamke wake wacha tu iwe hivyo.
 
Kutumia hela yangu as nauli sio shida lkn kuna ile namna mwanaume wangu kuniambia "baby nimekutumia hela jiandae uje kwangu" kuna raha zaidi inakuwepo asa watu sijui wanaichukuliaje hii wanatuita majina mabaya.
Hapo umeongea angalau!! Sasa wenzio wanasema katu hawezi kutoa nauli yake kuitikia wito wa mwanaume wake!! Hilo sharti ndiyo tunasema siyo sawa maana mahusiano mnayafaidi wote na yamkini yanawaandalia mipango ya kuishi pamoja huko mbele, sasa kwa nini yagharimiwe na mmoja tu mara zote?. Amini usiamini wenye mawazo kama hayo huko mbeleni hutumia gharama sana kupata huduma hiyo (wanayojifanya hawaihitaji kivile wakati ukweli ni kuwa wanaihitaji sana tu) kwa kuwagharimia vijana wadogo kwa nauli, chakula, mavazi nk. Si tunaishi nao katika jamii tunawaona wanavyohangaika kuhudumia "serengeti boys"!
 
Mara mia mwanamke akasema hana nauli na awe hana kweli, hapo akiomba nauli sawa maana hamna namna nyingine. Lakini mwanamke kama pesa ya nauli anayo lakini anaona kuitumia kwa namna hiyo anaona atakuwa amefanya matumizi mabaya!! Sasa kwa nini anategemea huyo mwanamume yeye ndo afanye hayo matumizi mabaya??
 
Ni kweli mwaya ila kuna shoga angu alipewa nauli ya mkoa kwa sababu fulani akashindwa kwenda sasa wakati anajiandaa kwenda wakakwazana akawa hataki kwenda tena akaanza kuitwa tapeli wa nauli.

So sad.Roho ilimuuma hadi akawa analia maana anampenda sana huyo jamaa.Mwishowe akambiwa arudishe nauli ya watu na yeye akarudisha bila hiyana.Imetokea mwaka juzi ila mpaka leo roho inamuuma
Mwanamke kama huyo akiishia kuwa single mother itamuuma maisha yake yote, hasa kila amwonapo huyo mwanamume akiwa ametulia na mwanamke mwingine anayeyatambua maisha vizuri!.
 
Yaani umtumie MTU nauli Wakati unajua anayo, kumaanisha wewe ndio unashida naye, ilhali zipo pisikali kuliko mwenyewe zenye kipato na zenye uwezo wa kujilipia nauli. Labda huyo Mwanaume awe jinga.

Vijana wanaojitambua hawawezi fanya Jambo kama Hilo. Labda Vijana washamba
Hapo umemaliza mkuu!! Tatizo wanawake wengine hudhani akiitwa na mwanaume anadhani anachohitaki ni kei tu!! Hivi hajiulizi kama anachohitaji ni kei kwani ni yeye tu mwenye kei? mahusiano yenye afya ni zaidi ya hicho!! ni company ya pekee!! si kila mwenye kei anaweza kukupa company unayoitaka!! wanawake wangelijua hilo wangethamini sana kuhitajiwa kwao na wanaume!! Ni fursa ya kuchanua ambayo huenda haitajitokeza siku zote!! Hakuna kinachomkera mwanaume kama kujua kuwa huyo anayemwita bebi wake wala hathamini company yake na hayuko tayari kuigharimia kwa chochote hata kama uwezo huo anao!!, hawezi kumpigia simu hadi apewe vocha ya kufanyia hivyo!! Hakuna mwanamune aliye serious na maisha aliye tayari kubeba mzigo huo!!
 
Bwana tafuteni Hela,, fanyeni majukumu tuwape mnachokipenda.
Hahaha! umenichekesha!! kwani nyie hamkipendi? watu wazima wanajua kwambs mnakipenda sana tu, na mnakihangaikia sana tu, kila uchao mnapango mitego mipya!!
 
Huna Hela bwana...Ongeza juhudi kwenye utafutaji,Ili uishi Ile there's more happiness in giving 😁
If you know there is more happiness in giving, why are striving for receiving only? don't you also need that happiness which comes through giving?
 
Back
Top Bottom