Akilinjema
JF-Expert Member
- Aug 9, 2016
- 11,430
- 11,813
Kuachana na mwanamke mpenda kuomba hela ni sawa na kumaliza mkopo bank.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uko mtaa gani kkoo.
Hahahahahah kkoo kubwa bana. Sio mbaya nikikuona siku moja.Thubuutuuuuu uanze kunisearch!!!
akhu cazen sitaki [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Na ulivyo hushindwi utanipata faster
Hahahahahah kkoo kubwa bana. Sio mbaya nikikuona siku moja.
Kwan we una miaka 12😀Cazen usije kutaka mechi mi naogopa [emoji85]
Kwan we una miaka 12[emoji3]
Hahahah usiogope bana mi sio simba sitakumeza wala 🤣🤣🤣[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hapo chacha, naogopa bana wanavyokusifia hivyo wadada itakuwa una balaa sana wewe!!!
Hahahah usiogope bana mi sio simba sitakumeza wala [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Amini kwamba😎Sema kweli [emoji7][emoji7][emoji7]
Mwamba uko makini sana,hata mm nimejiuliza mbona mtibeli ameeelezea vizuri nahoja zake ziko wazi juu ya upendo baina ya mwanaume na mwanamke...mtibeli anapinga unyanyasaji wa wanawake kwa wanaume kwa kigezo au kisingizio cha mbususu.
Kuachana na mwanamke mpenda kuomba hela ni sawa na kumaliza mkopo bank.
Ndiyo maana ana mawazo ya hovyo kuhusu mahusiano na ndoaHuyo Elon Musk mwenyewe hana mke
Yeah, ni kweli MkuuUzuri kila mtu Ana hoja zake
Hahaha........Usijali Mkuu, tunafurahisha genge tuUnasikitisha mno mbajo 🤣
Unaombwaaa vochaa...hela ya umeme...pedi....hela ya mafuta ya kujipakaa na huyo ni mtu anafanya biasharaaa hii gender ni balaaaa
Watakaokuelewa ni sisi wachache wenye akili za kifogo mkuu.
You see,Sugu,TAITA pamoja na utajiri wake ila kila mara anajisifia kuwa mke wake ana pesa.Na kuna siku Sugu alijigamba kuwa kamwe hawezi kurudi kwenye umasikini sbb hata ikitokea akayumba wife wake Happy ataokoa jahazi sbb mke pia anaingiza pesa zake.
Mwanaume unatakiwa uwe na wife leo ukimpeleka Dubai mwakani anaku suprise kwa kuipeleka familia Ibiza.
Unatakiwa uwe na wife hata ukifa au kuugua mwaka familia haiteseki sbb mama ana uwezo wa kulisongesha.
Mwanamke asiyemudu hata vocha au mlo wake ni LAANA.
Huyu hata ushauri wa maana hawezi kukupa.
Huyu ni wale ukikaa nae maongezi pekee anayomudu ni ya ngono ngono na kubebishana ,ukibadili topic ni pumba tu anaproduce.
Mkuu niwie radhi kwa maoni yangu, ila kwa maisha ya sasa kama utakuwa hutoi hela/huudumii itakugharimu sana.
Vijana wangu wenyewe nimewaelekeza wajikite kutafuta hela usiku na mchana kwaajili ya stability ya familia zao kwani maisha ya enzi zetu na ninyi yamekuwa tofauti kabisa.
Miaka yetu Wake zetu walikuwa wakienda kusuka wanasuka Mtindo wa "Twende Kilioni" bure kabisa, lakini Siku hizi Wanawake wanavaa mawigi ya dollar 150 imagine
Kwahiyo ukiombwa mara mbili hizo gharama za saluni na wigi itakufanya Mwanaume kichwa kiume na upambane kupata hizo hela
Tatizo linalokusumbua si tatizo halisi, ni tatizo la kisaikolojia tu!! Unaamini kuwa ukitumia nauli yako ni kama umejirahisisha sana, unaona utaonekana kuwa uko desperate, hiyo ni imani potofu!! Kinyume chake, ukitumia nauli yako (kama unayo, kama huna kweli hilo ni suala jingine), kwanza atakuheshimu, pili ataona unajali na kwa kufanya hivyo utavuna zaidi kuliko kama utadai nauli kwanza!! Ukidai dai nauli pengine ni pesa kidogo tu ya taxi kama msimbazi mmoja mwisho wa siku utawekwa kwenye kundi ambalo si zuri sana!!Sijilipii nauli Asilani!kama anajisikia uchungu kutuma nauli aje yeye...... Yaani nisafiri kilometers away,Nichoke njiani,na nauli yangu wee nani kasema Huo upuuzi?😁😁😁😁
Hapo ndipo unapokosea!! si suala la mchecheto!! tatizo lako ni kudhani kuwa ukienda wewe kwa nauli yako kwa mfano utaonekana kuwa una mchecheto!! Suala la mchecheto liko sehemu zote mbili, watu wazima wanajua hivyo! kujifanya kuwa huwezi kuwa na mchecheto ni uongo ambao wanaoweza kuuamini ni watoto tu!! Hivi wanawake kutembea na suruali zimetobolewa mapajani huo sio mchecheto? kwani wanamtobolea mwanamke mwenzao? Msijifanye hamhitaji wakati mnahitaji sana tu, na wala hilo halina ubaya wowote, na hiyo ndiyo nature kwa maana halisi!!Unataka kupingana na nature Sasa!ndio ninachokiona Sasa......kama unataka mwanamke ndiwe awe na mchecheto wa kukufuata wewe bila wewe kuonyesha unamtaji utasubiri sana.....