sportstore
JF-Expert Member
- Apr 5, 2023
- 497
- 1,769
ππUpoπ€£π€£π€£π€£
Nimeongea kilogic mkuu asipokuelewa atakuwa ana shida binafsi
Sasa upewe zaidi wakati ukishakojoq dushe inalala, kula gambe ni mpaka asubuhi haina kulala hiyo.Hahaha.............hujajua utamu wa kei wewe, ushawahi kupewa huku unaulizwa babe umeridhika au nikupe zaidi....πππ
Siwezi kuhangaika kutafuta pesa kwa ajili ya mwanamke...sijawahi fanya upumbavu huo maybe kwa mke wa ndoa hiyo ni family...historia yangu ya kudate kwanza we do cost sharing iwe outing etc ...mambo ya kuombana vocha na nauli ni utoto..wanawake wanaojielewa na hawa huo ujinga wapo wengi sana...otherwise kama uko disparate na mapenzi..
Nipo nimejaa kama pishi la mchele nafatilia mjadala kabambeππUpo
KaribuNipo nimejaa kama pishi la mchele nafatilia mjadala kabambe
hivi kuna mwanaume haweza kweli kumtumia mtu nauli? au kakuona cheap ndio maana hajakutumia nauli?Brother,ngoja nijiongelee Binafsi,Siko vibaya kiuchumi kabisa namshukuru Mungu Kwa Hilo,naweza kujipeleka hata vacation inapobidi,lakini siwezi nenda Kwa mwanaume wangu mkoa au nchi nyingine bila kunitumia nauli,......Akituma nauli huyo Yuko serious na hayo mahusiano....Sasa mtu hawezi hata kutumia nauli wanini huyo?
Asante ila naona mtoa mada ana hoja sema watu wanashindwa kumuelewa hoja ya mtoa mada hapingi mwanaume kumuhudumia mwanamke wake anachopinga ni ubinafsi wa baadhi ya wanawakeKaribu
Unamtetea eeh πAsante ila naona mtoa mada ana hoja sema watu wanashindwa kumuelewa hoja ya mtoa mada hapingi mwanaume kumuhudumia mwanamke wake anachopinga ni ubinafsi wa baadhi ya wanawake
Wanaume wengi wanachukia ni kwamba unaweza kukuta unamtumia nauli unashangaa haji na kala hela yako au unamtumia vocha alafu ana chati na wengine sio wewe unamtumia message saa 2 asubuhi anakujibu saa 4 usiku hiki ndicho kinawauma wanaume wengi ndio maana wakaja na hoja hizi kama za mtoa mada kusingekuwa na hizi tabia hizi hoja zisingeibuka recentlyKama naona tunaotumiwa nauli na vocha tunavosonyaππππππ€ π€ π€ π€
Halafu si kwamba baadhi hawawezi jilipia nauli wanaweza vizuri tu ilaa kuna wanaume ni waelewa mnoooo nyieee!
Wazidi kubarikiwa na kuongezewa maradufu kwakweli !!
Halafu cha kujua ni kwamba kwani kabla yako alikua haweki vocha?? πππ€π€π€
hivi kuna mwanaume haweza kweli kumtumia mtu nauli? au kakuona cheap ndio maana hajakutumia nauli?
Mahusiano ni kusaidiana sio kuumizana.
Simtetei ila naunga mkono kwenye hoja ya ubinafsi kwenye mahusiano yoyote ili yaimarike kusiwe na ubinafsi kati yenu mwanaume ajikite kwenye kumuhudumia mtu wake na kwenye hili sio ombi naturally ukiwa unampenda mtu wako lazima uhumudumie au umjali na mwanamke aoneshe upendo kwa mwanaume wake kusiwe na kukomoana.Unamtetea eeh π
Shangaa inakuwaje usimtumie mtu wako nauli........ukienda na nauli Yako utasikia huyu manzi yupo desperate sana
Simtetei ila naunga mkono kwenye hoja ya ubinafsi kwenye mahusiano yoyote ili yaimarike kusiwe na ubinafsi kati yenu mwanaume ajikite kwenye kumuhudumia mtu wake na kwenye hili sio ombi naturally ukiwa unampenda mtu wako lazima uhumudumie au umjali na mwanamke aoneshe upendo kwa mwanaume wake kusiwe na kukomoana.
Kama una nauli yako wewe tumia tu hakuna ulazima wowote wakumuomba hiyo dhana ndio anapinga mtoa madaShangaa inakuwaje usimtumie mtu wako nauli........ukienda na nauli Yako utasikia huyu manzi yupo desperate sana
Aiseee endelezeni kutoka na hao wakishua,ila Binafsi Nina uwezo wa kulipa nauli hata ukiniita Kampala,ila kama hujanitumia walah siji.....Mimi msimamo wangu ni kama wako siwezi date mwanaume hawezi tuma nauli,naweza fika huko hata jinsi ya kuku-host mgeni hawezi kumbe!anaanza kukulaza sehemu za ajabuajabu weeeeeeee Akili mtu wanguUkitoka na watu Maskini ndio huwa na mawazo kama hayo.
Kwa waliowahi Kutoka na wasichana au Wanawake wakishua Hawana fikra kama hizo.
Ungeandika uzi wako πππππ hii sio comment ni UZIWengine huwa hawaishi na wanawake, wanaishi wenyewe mpaka wanakufa. MWANAUME aliyakmilika anasaidia mwanamke wake kwa Upendo anapokuwa ma uwezo.
Huwezi kuwa mwanaume timamu, unayejiandaa na kujipanga kutosaidia mwanamke, mna shida gani vizazi vya kipindi hiki?
Misingi ya ndoa, ambayo inaonekana kwenye uanaume na uanawake toka utotoni,
A Man is'
- Protector.
- Provider.
Yani ili nijisikie vizuri i lazima ni provide na ku protect ( kwa uwezo na Upendo lakini), sio kujiumiza, kujiumiza haifai, na hapo utapendeka.
Nachokupinga ni kwamba wewe unajiandaa kwenda kinyume na kanuni za k uanaume na uanawake, na hapo ndo Unaharibu.
Mwanamke uliyemchagua, ukampenda kwa Hiyari, lazima u provide, lazima umsaidie, lazima umvishe, lazima ajisikie yupo na mtu (ila kwa Upendo, na uwezo)
Vitu vyenyewe unavyolalamikia ni vocha nauli! Uwewahi jiuliza kwa nini wanaume ni wateja kwenda kununua Malaya? Inatokana na asili......
Mwanaume is considered ana benefit kwa sex, na mwanamke ni kama anatoa service, ni asili, ni nature, ndivyo ilivyo.
Kama ukiwa na akshi unaenda nunua mwanamke, kwa nini usimhudumie unayempenda kwa dhati kwa uwepo wako kwenye maisha yako?
Aisee kama una miaka zaidi ya 30, wewe utakuwa ni mtu wa hovyo sana.
Hivi unampimaje mwanaume kwa kutokukupa nauli?Aiseee endelezeni kutoka na hao wakishua,ila Binafsi Nina uwezo wa kulipa nauli hata ukiniita Kampala,ila kama hujanitumia walah sijui.....Mimi msimamo wangu ni kama wako siwezi date mwanaume hawezi tuma nauli,naweza fika huko hata jinsi ya kuku-host mgeni hawezi kumbe!anaanza kukulaza sehemu za ajabuajabu weeeeeeee Akili mtu wangu