Wenje: Lissu alimsingizia Mbowe kahongwa magari mawili

Wenje: Lissu alimsingizia Mbowe kahongwa magari mawili

Ngongo

Platinum Member
Joined
Sep 20, 2008
Posts
20,654
Reaction score
35,887
Wakuu,

Akiwa anazungumza hivi karibuni kwenye mahojiano na wanahabari Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Victoria Ezekiel Wenje alimvaa Makamu Mwenyekiti wa chama hicho Tundu Lissu kwa uchonganishi na kumsingizia Freeman Mbowe kuhongwa magari mawili

Wenje amedokeza Mbowe alinunua magari mawili ya ubalozi kwenye mnada wa hadhara ilhali Lissu akalianzisha kwamba Mbowe kahongwa na serekali.

Mbowe alipoulizwa akatoa nyaraka pamoja na number plate za ubalozi.

====================================

Kwa maoni yangu Mheshimiwa Lissu anahitaji kujirekebisha ikiwemo kuitafuta busara,subira na kukiweka chama mbele.



Ngongo kwasasa Lumumba.
 
Kama alihongwa hiyo hela ya kununulia tutajuaje?

Lissu aliitwa kamati kuthibitisha tuhuma dhidi ya Mbowe aliishia kuomba msamaha na msamaha ukapokelewa na akasitiriwa.

Kumbuka alisema Mbowe kahongwa na serekali magari mawili meupe.

Tuhuma hizo alizitoa kwa wajumbe wengi wa kamati kuu.Tuhuma hazikuwa hela bali MAGARI MAWILI MEUPE.

Serekali ikitaka kukuhonga magari au gari hakika watakipatia brand new si magari ya minada ambayo hata mimi nimeyanunua sana.
 
Mbowe alinunua magari mawili ya ubalozi kwenye mnada wa hadhara.

Lissu akalianzisha kwamba Mbowe kahongwa na serekali.

Mbowe alipoulizwa akatoa nyaraka pamoja na number plate za ubalozi.

Kwa maoni yangu Mheshimiwa Lissu anahitaji kujirekebisha ikiwemo kuitafuta busara,subira na kukiweka chama mbele.

Ngongo kwasasa Lumumba.
Waliomuonga wanaweza mnunulia
 
Back
Top Bottom