LIMBOMAMBOMA
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 10,482
- 14,007
Kumuamini mbowe kwataka moyo, Yaani mlungula wa Abdul inaonekana umetembea Sana kwa wenje na kundi lake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukinunua gari ubalozini wanakupa namba za ubalozi pia?Wakuu,
Akiwa anazungumza hivi karibuni kwenye mahojiano na wanahabari Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Victoria Ezekiel Wenje alimvaa Makamu Mwenyekiti wa chama hicho Tundu Lissu kwa uchonganishi na kumsingizia Freeman Mbowe kuhongwa magari mawili
Wenje amedokeza Mbowe alinunua magari mawili ya ubalozi kwenye mnada wa hadhara ilhali Lissu akalianzisha kwamba Mbowe kahongwa na serekali.
Mbowe alipoulizwa akatoa nyaraka pamoja na number plate za ubalozi.
====================================
Kwa maoni yangu Mheshimiwa Lissu anahitaji kujirekebisha ikiwemo kuitafuta busara,subira na kukiweka chama mbele.
View attachment 3181465
Ngongo kwasasa Lumumba.
Mbowe aliipa taarifa sekretariati kuwa kuna mnada na akawashauri nao wanunue magari. Na minada ya ubalozi inatangazwa kwenye magazeti na kwenye mitandao. Aidha, lile ni suala lake binafsi na hawajibiki kukitaarifu chama chake.Yaan huo Mnada, Ubalozi walimstua Mbowe tu, ukawa ni Mnada wa Siri kiasi kwamba LISSU hakukua kabisaaa Wala hamna mwanachama mwengine alojua.
Sehem ya wanasiasa ambao akiongea ,usimtilie mashaka ni LISSU, na MPINA.