Wenje: Lissu alimsingizia Mbowe kahongwa magari mawili

Wenje: Lissu alimsingizia Mbowe kahongwa magari mawili

Wewe ndio umesema habari za Agakhan au ushalewa?

Safari ya Tundu Lisu Nairobi iliratibiwa na CCM wakimuhusisha Dr Mpoki

Uzuri wa Chadema mnadanganyika kirahisi mno

Aliyemuokoa Tundu Antipas Lisu ni Afisa wa Serikali aliyekuwa Msaidizi wake pale nyumbani

Muwage mnaelewa 😂😂😂
Punguza uongo.
 
Ningependa mabadiliko ndani ya CDM hasa tukizingatia Mbowe kakaa pale muda mrefu sana.
That's good and it's true...
Ninachoogopa ni kufanya mabadiliko ambayo yaweza kuja kukiyumbisha chama siku za usoni.
How? Humwamini Tundu Lissu huyu ambaye ni adui wa CCM na serikali wapinzani wenu..? Unataka kiongozi wa CHADEMA mwenye ushirika na CCM? Really?
Lissu ni kiongozi mzuri lakini anapapara sana na hii inaweza kuja kukigharimu chama.
Papara gani hizo? Unaweza kuthibitisha..?

Humjui na humtazami Tundu Lissu kwa usahihi..!

Sifa ya Tundu Lissu ni kuwa yuko very straightforward, si mtu wa kumung'unya maneno, mpenda haki, mpenda uwazi na ukweli, anaichukia rushwa kwa maneno na kwa vitendo na hata ukimtazama anapoongea unamjua bila shaka yoyote kuwa anamaanisha asemalo, jasiri na mtu anayethubutu, si mwoga...

Kama sifa hizi ni "papara" kwako, basi una shida ktk ufahamu wako...
Nilianza kupata shaka shaka juu yake alipoanza kukikandanya chama chake wake yeye ni sehemu ya uongozi.
Amedanganya kuhusu nini..?

Mwenyekiti Freeman Mbowe alisema hivi juzi pale nyumbani japo hakumtaja Lissu kwa jina lakini obvious alikuwa anamlenga huyu bwana...

Tunachotaka mseme, ni kuthibitisha uongo wake kwa kila anachosema kuhusu chama chenu..

Semeni hivi: Kasema 1, 2, 3, 4 nk ya uongo. Ukweli ni 1, 2, 3, 4 nk..

Lakini kutoa tu sweeping statement za jumlajumla kuwa "ni mwongo" halafu hamthibitishi uongo wake, then hamna hoja...

##By the way, nilikuuliza kuwa, ukiachilia mbali Freeman Mbowe ambaye muda wake kiuongozi haupo upande wake tena, ni nani anayeweza kum - surpass Tundu Lissu ndani ya CHADEMA hii ya sasa kukalia kiti hicho kwa majira na nyakati za siasa za leo, ngumu na za kibabe kama sio Tundu Lissu..??

Be honest, jibu swali hili...
 
Mbowe alinunua magari mawili ya ubalozi kwenye mnada wa hadhara.

Lissu akalianzisha kwamba Mbowe kahongwa na serekali.

Mbowe alipoulizwa akatoa nyaraka pamoja na number plate za ubalozi.

Kwa maoni yangu Mheshimiwa Lissu anahitaji kujirekebisha ikiwemo kuitafuta busara,subira na kukiweka chama mbele.

Ngongo kwasasa Lumumba.
Hivi ukihongwa gari nyaraka hupewi?😂😂😂
 
Yaan huo Mnada, Ubalozi walimstua Mbowe tu, ukawa ni Mnada wa Siri kiasi kwamba LISSU hakukua kabisaaa Wala hamna mwanachama mwengine alojua.


Sehem ya wanasiasa ambao akiongea ,usimtilie mashaka ni LISSU, na MPINA.
Umemaliza, kwa sasa lissu ndo muwazi Sana, kina boni yai huropoka haya ni mambo ya chumbani,Ili wafiche maovu Yao, mie binafsi mbowe simuamini tangu Ile ya kumuomba askofu Hela ya gari kwa samia
 
Hilo bifu la Wenje na Lissu lilianza lini !
Wenje ndiye aliyefanya arrangement ya Lissu kupelekwa Nairobi Hospital.

Wenje anamdai Lissu fedha nyingi hadi leo bado hajalipwa.

Wakati Lissu anapelekwa Nairobi hajitambui zilikuwepo ambulances 2.Unadhani nani alizipeleka !

Lissu hana shukrani.
Huenda Kuna ukweli, ndo maana wenje kasombwa na upepo wa Abdul kwa tamaa ya fedha
 
Kwa akili ya kawaida tu hawezi kuhongwa gari likabaki na number STK. Lazima wafute nyayo
 
"Fedha zenye thamani zaidi ya dola bilioni mia moja zilikutwa nyumbani kwa Marehemu Magufuli chato baada ya msiba-Tundu Lissu

Lissu akishakuchukia ana maropoko ya hatari..yawe kweli au uwongo mtajuana wenyewe
 
"Fedha zenye thamani zaidi ya dola bilioni mia moja zilikutwa nyumbani kwa Marehemu Magufuli chato baada ya msiba-Tundu Lissu

Lissu akishakuchukia ana maropoko ya hatari..yawe kweli au uwongo mtajuana wenyewe
Lissu ni mropokaji mzuri.
 
Lissu anamjua Mbowe kuliko wewe, akifunguka ukweli wote utaficha wp uso wako?
Angekuwa anamjua Mbowe asingemzulia kahongwa magari na Serekali.
 
Angekuwa anamjua Mbowe asingemzulia kahongwa magari na Serekali.
Nani asiyejua kuwa Mbowe anajinufaisha kupitia Chadema?
Wabunge wangapi wa chadema wamemlalamikia?
Mbona hakujibu tuhuma yoyote ya Msigwa?
 
"Fedha zenye thamani zaidi ya dola bilioni mia moja zilikutwa nyumbani kwa Marehemu Magufuli chato baada ya msiba-Tundu Lissu

Lissu akishakuchukia ana maropoko ya hatari..yawe kweli au uwongo mtajuana wenyewe
Unajua dola bilioni moja ni shiling ngapi ni uongo tu huo
 
Mbowe na Wenje ni wapiga madili tu hao, HAWAAMINIKI TENA.
 
Back
Top Bottom