Wenje: Lissu alimsingizia Mbowe kahongwa magari mawili

Wenje: Lissu alimsingizia Mbowe kahongwa magari mawili

Mbowe alinunua magari mawili ya ubalozi kwenye mnada wa hadhara.

Lissu akalianzisha kwamba Mbowe kahongwa na serekali.

Mbowe alipoulizwa akatoa nyaraka pamoja na number plate za ubalozi.

Kwa maoni yangu Mheshimiwa Lissu anahitaji kujirekebisha ikiwemo kuitafuta busara,subira na kukiweka chama mbele.

Ngongo kwasasa Lumumba.
Yaan huo Mnada, Ubalozi walimstua Mbowe tu, ukawa ni Mnada wa Siri kiasi kwamba LISSU hakukua kabisaaa Wala hamna mwanachama mwengine alojua.


Sehem ya wanasiasa ambao akiongea ,usimtilie mashaka ni LISSU, na MPINA.
 
Wewe unamwamini Wenje? 😂😂
Hili jambo nimewahi kulisikia kwa wanachama watatu Wenje ni wanne.

Mara ya kwanza nililisikia Yericko Nyerere baadae nikalisikia Katibu wa CDM Karatu.

Viongozi wote walikuwa wakilalamika Lissu ni kiongozi mzuri lakini mwenye papara sana.
 
Mbowe alinunua magari mawili ya ubalozi kwenye mnada wa hadhara.

Lissu akalianzisha kwamba Mbowe kahongwa na serekali.

Mbowe alipoulizwa akatoa nyaraka pamoja na number plate za ubalozi.

Kwa maoni yangu Mheshimiwa Lissu anahitaji kujirekebisha ikiwemo kuitafuta busara,subira na kukiweka chama mbele.

Ngongo kwasasa Lumumba.
Lissu anamjua Mbowe kuliko wewe, akifunguka ukweli wote utaficha wp uso wako?
 
Yaan huo Mnada, Ubalozi walimstua Mbowe tu, ukawa ni Mnada wa Siri kiasi kwamba LISSU hakukua kabisaaa Wala hamna mwanachama mwengine alojua.


Sehem ya wanasiasa ambao akiongea ,usimtilie mashaka ni LISSU, na MPINA.
Minada ya magari au vifaa vya ofisi za balozi utangazwa kupitia magazeti mbali mbali.

Nimewahi kununua Land Cruiser Kigoma ofisi za UNHCR baada ya kusoma magazeti.
 
Kwa uhalisia inaonekana Mbowe hayupo tayari kuachia madaraka kwa yeyote, Lissu ni mbishi, katika wanadamu ni wabishi duniani nitasema ni Lissu, kwa wakati ule ogopa mtu hadi ana mchallenge JPM, Naweza kusema Lissu ameona mapangufu ya Chadema, anafikiria akiingia CDM chini ya uongozi wake anaweza kui challenge CCM kitu ambacho ni kweli...

Mbowe hataki kuachia madaraka na Lissu awe mwenyekiti, hii inaonyesha Mbowe yupo radhi ashirikiane na serikali(CCM) Lissu asichukue Madaraka....

Lissu mpaka sasa kaongeza adui, mTanzania mwenzetu huyu anahitaji ulinzi....
 
Huenda kuna mtu/watu wanampa wrong Intel,Lissu awe makini na sources zake.
 
Hili jambo nimewahi kulisikia kwa wanachama watatu Wenje ni wanne.

Mara ya kwanza nililisikia Yericko Nyerere baadae nikalisikia Katibu wa CDM Karatu.

Viongozi wote walikuwa wakilalamika Lissu ni kiongozi mzuri lakini mwenye papara sana.
Wenje na Yeriko Nyerere walikuwa Watumishi watiifu wa Joka la Mdimu

Na wamekuwa na Bifu na Tundu Lisu kitambo tu baada ya Lisu kukubali ombi la Freeman Mbowe la kumleta Lowassa Chadema

Sidhani kama utaelewa 🐼
 
Huenda kuna mtu/watu wanampa wrong Intel,Lissu awe makini na sources zake.
Huo ndio ukweli na uhalisia.
Ukitazama kwa umakini hata sasa waliomzunguka hawamsaidii hata kidogo.
 
Back
Top Bottom