Wenje: Lissu alimsingizia Mbowe kahongwa magari mawili

Wenje: Lissu alimsingizia Mbowe kahongwa magari mawili

Mbowe alinunua magari mawili ya ubalozi kwenye mnada wa hadhara.

Lissu akalianzisha kwamba Mbowe kahongwa na serekali.

Mbowe alipoulizwa akatoa nyaraka pamoja na number plate za ubalozi.

Kwa maoni yangu Mheshimiwa Lissu anahitaji kujirekebisha ikiwemo kuitafuta busara,subira na kukiweka chama mbele.

Ngongo kwasasa Lumumba.
Lini na wapi..?

Ushahidi upi unaoweza kuuweka hapa kwa wajumbe wenzako..?

Au unataka kutulisha matango pori tu hapa...?
 
Wenje na Yeriko Nyerere walikuwa Watumishi watiifu wa Joka la Mdimu

Na wamekuwa na Bifu na Tundu Lisu kitambo tu baada ya Lisu kukubali ombi la Freeman Mbowe la kumleta Lowassa Chadema

Sidhani kama utaelewa 🐼
Hilo bifu la Wenje na Lissu lilianza lini !
Wenje ndiye aliyefanya arrangement ya Lissu kupelekwa Nairobi Hospital.

Wenje anamdai Lissu fedha nyingi hadi leo bado hajalipwa.

Wakati Lissu anapelekwa Nairobi hajitambui zilikuwepo ambulances 2.Unadhani nani alizipeleka !

Lissu hana shukrani.
 
Yaan huo Mnada, Ubalozi walimstua Mbowe tu, ukawa ni Mnada wa Siri kiasi kwamba LISSU hakukua kabisaaa Wala hamna mwanachama mwengine alojua.


Sehem ya wanasiasa ambao akiongea ,usimtilie mashaka ni LISSU, na MPINA.
Hivi hata maana ya mnada wa hadhara hujui maana yake nini !.
 
Huenda kuna mtu/watu wanampa wrong Intel,Lissu awe makini na sources zake.
Lyatonga Mrema wakati akiwa juu kisiasa alikuwa akipewa wrong information bila kujua akawa anaropoka bila kufanya utafiti wa uhakika.
 
Nina contacts za wajumbe wengi wa Kamati Kuu na ndio maana unaona Viongozi wengi wana mashaka na Lissu.
Huyu mtu yuko wazi mno...

Mambo yake yako wazi mno...

Hana kashfa yoyote ile...

La angekuwa nayo, CCM wangeshamning'iniza kitambo kwa jinsi wasivyomtaka na wasivyo mpenda....

Kwao huyu ndiye kikwazo chao kikuu kuliko Freeman Mbowe na huyu ndiye afaaye kuwakabili hawa hayawani. CHADEMA kwanini hamuoni hili...?????

Kama nyie CHADEMA hamwoni pontential iliyo ndani ya mtu huyu, basi mna shida vichwani mwenu...

By the way, nikuulize swali ndugu Ngongo, kwamba kama sio Tundu Lissu kuwa mwenyekiti wa CHADEMA sasa ukiondoa Freeman Mbowe ambaye obvious ameshachoka kifikra na kimikakati (strategically) ktk kukipeleka chama mbele, nani anafaa mwingine kuongoza chama ktk nyakati na majira haya ya style mpya ya siasa za kibabe chini ya CCM...?

Aisee, nasema tena....

Kama mtakuwa hamumuoni Tundu Lissu kuwa ndiye the right person kw hitaji la nyakati hizi, basi hiyo kamati kuu yote haifai na itakuwa imejaa wajinga watupu...!!
 
Hilo bifu la Wenje na Lissu lilianza lini !
Wenje ndiye aliyefanya arrangement ya Lissu kupelekwa Nairobi Hospital.

Wenje anamdai Lissu fedha nyingi hadi leo bado hajalipwa.

Wakati Lissu anapelekwa Nairobi hajitambui zilikuwepo ambulances 2.Unadhani nani alizipeleka !

Lissu hana shukrani.
Kutoka nyumbani hadi hospital Lisu alipelekwa na Mtumishi wake wa Ndani Dada Amina

Pale hospital Wabunge wa CCM wakiongozwa na Dr Mwigullu PhD walichanga Fedha za dharura baada ya Mbowe kusema familia inataka apelekwe Nairobi

Jitihada za Dr Mwigullu PhD ndio zilisababisha Bilionea Tukey akodi Chopa ya kumpeleka Tundu Lisu Nairobi

Kule Nairobi Bill yote aliclear mstaafu ruksa rip

Kuna mengi huyajui subiri Msigwa au Lema watakapofunguka 😂😂😂
 
Mbowe alinunua magari mawili ya ubalozi kwenye mnada wa hadhara.

Lissu akalianzisha kwamba Mbowe kahongwa na serekali.

Mbowe alipoulizwa akatoa nyaraka pamoja na number plate za ubalozi.

Kwa maoni yangu Mheshimiwa Lissu anahitaji kujirekebisha ikiwemo kuitafuta busara,subira na kukiweka chama mbele.

Ngongo kwasasa Lumumba.
Umekuja Story za Wenje?
 
Yaan huo Mnada, Ubalozi walimstua Mbowe tu, ukawa ni Mnada wa Siri kiasi kwamba LISSU hakukua kabisaaa Wala hamna mwanachama mwengine alojua.


Sehem ya wanasiasa ambao akiongea ,usimtilie mashaka ni LISSU, na MPINA.
Minada huwa inatangazwa na madalali ndiyo maana Mbowe aliweza kwenda sinza akanunua hizo gari 2. Au alipaswa kuutangazia ulimwengu?
 
Huyu mtu yuko wazi mno...

Mambo yake yako wazi mno...

Hana kashfa yoyote ile...

La angekuwa nayo, CCM wangeshamning'iniza kitambo kwa jinsi wasivyomtaka na wasivyo mpenda. Kwao huyu ndiye kikwazo chao kikuu kuliko Freeman Mbowe...

Kama nyie CHADEMA hamwoni pontential iliyo ndani ya mtu huyu, basi mna shida vichwani mwenu...

By the way, nikuulize swali ndugu Ngongo, kwamba kama sio Tundu Lissu kuwa mwenyekiti wa CHADEMA sasa ukiondoa Freeman Mbowe ambaye obvious ameshachoka kifikra na kimikakati (strategically) ktk kukipeleka chama mbele, nani anafaa mwingine kuongoza chama ktk nyakati na majira haya ya style mpya ya siasa za kibabe chini ya CCM...?

Aisee, nasema tena....

Kama mtakuwa hamumuoni Tundu Lissu kuwa ndiye the right person kw hitaji la nyakati hizi, basi hiyo kamati kuu yote haifai na itakuwa imejaa wajinga watupu...!!
Ningependa mabadiliko ndani ya CDM hasa tukizingatia Mbowe kakaa pale muda mrefu sana.

Ninachoogopa ni kufanya mabadiliko ambayo yaweza kuja kukiyumbisha chama siku za usoni.

Nilimpigia kura Lissu 2020 najua alipata kura nyingi sana lakini mfumo wetu wa uchaguzi unaruhusu kunyakua kura.

Lissu ni kiongozi mzuri lakini anapapara sana na hii inaweza kuja kukigharimu chama.

Nilianza kupata shaka shaka juu yake alipoanza kukikandanya chama chake wake yeye ni sehemu ya uongozi.
 
Kutoka nyumbani hadi hospital Lisu alipelekwa na Mtumishi wake wa Ndani Dada Amina

Pale hospital Wabunge wa CCM wakiongozwa na Dr Mwigullu PhD walichanga Fedha za dharura baada ya Mbowe kusema familia inataka apelekwe Nairobi

Jitihada za Dr Mwigullu PhD ndio zilisababisha Bilionea Tukey akodi Chopa ya kumpeleka Tundu Lisu Nairobi

Kule Nairobi Bill yote aliclear mstaafu ruksa rip

Kuna mengi huyajui subiri Msigwa au Lema watakapofunguka 😂😂😂
Agakhan walitaka 10,000 deposit kwanza.Ni nani aliyeshauri apelekwe Nairobi hospital?.
 
Agakhan walitaka 10,000 deposit kwanza.Ni nani aliyeshauri apelekwe Nairobi hospital?.
Family yake kupitia Mkewe na group lao la Mawakili

Haya mambo wengi hamyajui 😂

Unadhani Bunge lingeshindwa kumlipia Agakhan? 🐼🐼
 
Mbowe alinunua magari mawili ya ubalozi kwenye mnada wa hadhara.

Lissu akalianzisha kwamba Mbowe kahongwa na serekali.

Mbowe alipoulizwa akatoa nyaraka pamoja na number plate za ubalozi.

Kwa maoni yangu Mheshimiwa Lissu anahitaji kujirekebisha ikiwemo kuitafuta busara,subira na kukiweka chama mbele.

Ngongo kwasasa Lumumba.
Ngongo kwasasa Lumumba.🥺🥺🥺
 
Family yake kupitia Mkewe na group lao la Mawakili

Haya mambo wengi hamyajui 😂
Wewe hujui kitu Lissu alikuwa apelekwe Muhimbili.

Mbowe na viongozi wengine wa CDM walistukia mchezo mzima wakahaha huku na kule.

Unafikiri ni kwanini ambulances 2 zilikuwa Airport?.

Watu wanajua kujisahaulisha sana,unabaki kushangaa hivi huyu Lissu kama anaweza kuwageuka viongozi wenzake kwa kiwango tunachokushuhudia leo.Siku akipewa madaraka atakuwa ni kiongozi wa aina gani !.
 
Wewe hujui kitu Lissu alikuwa apelekwe Muhimbili.

Mbowe na viongozi wengine wa CDM walistukia mchezo mzima wakahaha huku na kule.

Unafikiri ni kwanini ambulances 2 zilikuwa Airport?.

Watu wanajua kujisahaulisha sana,unabaki kushangaa hivi huyu Lissu kama anaweza kuwageuka viongozi wenzake kwa kiwango tunachokushuhudia leo.Siku akipewa madaraka atakuwa ni kiongozi wa aina gani !.
Wewe ndio umesema habari za Agakhan au ushalewa?

Safari ya Tundu Lisu Nairobi iliratibiwa na CCM wakimuhusisha Dr Mpoki

Uzuri wa Chadema mnadanganyika kirahisi mno

Aliyemuokoa Tundu Antipas Lisu ni Afisa wa Serikali aliyekuwa Msaidizi wake pale nyumbani

Muwage mnaelewa 😂😂😂
 
Back
Top Bottom