Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
Yaan huo Mnada, Ubalozi walimstua Mbowe tu, ukawa ni Mnada wa Siri kiasi kwamba LISSU hakukua kabisaaa Wala hamna mwanachama mwengine alojua.Mbowe alinunua magari mawili ya ubalozi kwenye mnada wa hadhara.
Lissu akalianzisha kwamba Mbowe kahongwa na serekali.
Mbowe alipoulizwa akatoa nyaraka pamoja na number plate za ubalozi.
Kwa maoni yangu Mheshimiwa Lissu anahitaji kujirekebisha ikiwemo kuitafuta busara,subira na kukiweka chama mbele.
Ngongo kwasasa Lumumba.
Hili jambo nimewahi kulisikia kwa wanachama watatu Wenje ni wanne.Wewe unamwamini Wenje? 😂😂
Oh kumbe vzr wewe unajishughuliaha na nini?Nina contacts za wajumbe wengi wa Kamati Kuu na ndio maana unaona Viongozi wengi wana mashaka na Lissu.
Hapana nimekua nimemuona na ninafanana naeKwahiyo wewe ulipoambiwa huyu ni Baba yako ulimkataa kwasababu hukuwepo.
Lissu anamjua Mbowe kuliko wewe, akifunguka ukweli wote utaficha wp uso wako?Mbowe alinunua magari mawili ya ubalozi kwenye mnada wa hadhara.
Lissu akalianzisha kwamba Mbowe kahongwa na serekali.
Mbowe alipoulizwa akatoa nyaraka pamoja na number plate za ubalozi.
Kwa maoni yangu Mheshimiwa Lissu anahitaji kujirekebisha ikiwemo kuitafuta busara,subira na kukiweka chama mbele.
Ngongo kwasasa Lumumba.
Dereva tours huyoOh kumbe vzr wewe unajishughuliaha na nini?
Minada ya magari au vifaa vya ofisi za balozi utangazwa kupitia magazeti mbali mbali.Yaan huo Mnada, Ubalozi walimstua Mbowe tu, ukawa ni Mnada wa Siri kiasi kwamba LISSU hakukua kabisaaa Wala hamna mwanachama mwengine alojua.
Sehem ya wanasiasa ambao akiongea ,usimtilie mashaka ni LISSU, na MPINA.
KAma aliomba msamaha umeyaleta ya nini hapaAliomba msamaha Kamati Kuu ya CDM.
Na ana namba za wakuu wa kamati kuu ya chadema na wanampa agenda zote za vikaoDereva tours huyo
Oh kumbeUtalii.
Kwhy tunafanyaje kurekebishaUkweli mchungu nilikosea kumpa kura yangu 2020.
Wenje na Yeriko Nyerere walikuwa Watumishi watiifu wa Joka la MdimuHili jambo nimewahi kulisikia kwa wanachama watatu Wenje ni wanne.
Mara ya kwanza nililisikia Yericko Nyerere baadae nikalisikia Katibu wa CDM Karatu.
Viongozi wote walikuwa wakilalamika Lissu ni kiongozi mzuri lakini mwenye papara sana.