Wenye akili au wanaotumia akili huwa wanakufa haraka kuliko hawa wengine

Wenye akili au wanaotumia akili huwa wanakufa haraka kuliko hawa wengine

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2013
Posts
10,931
Reaction score
24,816
Usibishe. Angalia watu wenye misimamo mikali, wenye akili nyingi na majasiri. Hawaishi sana. Hufa mapema. Waliowahi fanya mambo makubwa au harakati kubwa duniani wengi walikufa mapema.

Walikufa kwa natural death au kuuawa. Soma history usibishe. Angalia wapigania uhuru na mageuzi wa Africa. Waliuawa mapema. Waliuawa na mabeberu kwa kushirikiana na waafrika wenyewe.

Ndiyo, hadi marais pia waliuawa kwa sababu hiyo hiyo na wale ambao walionekana wangeweza kuwa marais pia waliuawa kabla sababu ya mitazamo yao.

Ila wale wenzangu na mimi wanadumu sana maana wanakuwa wanapendwa na tabaka la kifisadi, la kinyonyaji, la kijambazi. Wanaishi maisha mengi sababu hawafikirii sana. Wema Hawana Maisha.
 
Usibishe. Angalia watu wenye misimamo mikali, wenye akili nyingi na majasiri. Hawaishi sana. Hufa mapema. Waliowahi fanya mambo makubwa au harakati kubwa duniani wengi walikufa mapema.

Walikufa kwa natural death au kuuawa. Soma history usibishe. Angalia wapigania uhuru na mageuzi wa Africa. Waliuawa mapema. Waliuawa na mabeberu kwa kushirikiana na waafrika wenyewe.

Ndiyo, hadi marais pia waliuawa kwa sababu hiyo hiyo na wale ambao walionekana wangeweza kuwa marais pia waliuawa kabla sababu ya mitazamo yao.

Ila wale wenzangu na mimi wanadumu sana maana wanakuwa wanapendwa na tabaka la kifisadi, la kinyonyaji, la kijambazi. Wanaishi maisha mengi sababu hawafikirii sana. Wema Hawana Maisha.
Einstein alikufa na miaka 76.
Tesla miaka zaidi ya 80+.
 
Ni kweli watu wenye akili nyingi, misimamo mikali, na majasiri hufa mapema, lakini pia vifo vyao vinaweza kuwa vinasababishwa kwa wao wenyewe kushindwa ku adapt hali tofauti ili kuendana na mabadiliko wanayokutana nayo kwenye harakati zao.

Binafsi naamini mafanikio huwa hayafikiwi kwa njia moja pekee, misimamo mikali ya hao jamaa inawezekana huwa inawasababusha wawe wagumu kubadilika ilimradi wahakikishe wanayafikia malengo yao.
 
Usibishe. Angalia watu wenye misimamo mikali, wenye akili nyingi na majasiri. Hawaishi sana. Hufa mapema. Waliowahi fanya mambo makubwa au harakati kubwa duniani wengi walikufa mapema.

Walikufa kwa natural death au kuuawa. Soma history usibishe. Angalia wapigania uhuru na mageuzi wa Africa. Waliuawa mapema. Waliuawa na mabeberu kwa kushirikiana na waafrika wenyewe.

Ndiyo, hadi marais pia waliuawa kwa sababu hiyo hiyo na wale ambao walionekana wangeweza kuwa marais pia waliuawa kabla sababu ya mitazamo yao.

Ila wale wenzangu na mimi wanadumu sana maana wanakuwa wanapendwa na tabaka la kifisadi, la kinyonyaji, la kijambazi. Wanaishi maisha mengi sababu hawafikirii sana. Wema Hawana Maisha.
Kweli kabisa! Hata Yesu Kristo alifariki na Miaka 33 tu licha ya mambo makubwa aliyoifanyia Dunia hii!!
 
Usibishe. Angalia watu wenye misimamo mikali, wenye akili nyingi na majasiri. Hawaishi sana. Hufa mapema. Waliowahi fanya mambo makubwa au harakati kubwa duniani wengi walikufa mapema.

Walikufa kwa natural death au kuuawa. Soma history usibishe. Angalia wapigania uhuru na mageuzi wa Africa. Waliuawa mapema. Waliuawa na mabeberu kwa kushirikiana na waafrika wenyewe.

Ndiyo, hadi marais pia waliuawa kwa sababu hiyo hiyo na wale ambao walionekana wangeweza kuwa marais pia waliuawa kabla sababu ya mitazamo yao.

Ila wale wenzangu na mimi wanadumu sana maana wanakuwa wanapendwa na tabaka la kifisadi, la kinyonyaji, la kijambazi. Wanaishi maisha mengi sababu hawafikirii sana. Wema Hawana Maisha.
Ni lini mchawi kafa mapema?

Uko sahihi mkuu
 
Wema Hawana Maisha.
Naunga mkono hoja, hata Mwanamuziki Patrick Balisidya alimba
"Wema Hawana Maisha"
Marijani Rajabu akaimba wanaopendwa na wengi hufa wangali vijana!. Waangalie, Jesus, The Bittles, Michael Jackson, Albert Enstain, Galileo Galilee, Kanumba, Mbaraka Mwishehe, Salum Abdallah, Niko Zengekala, JPM etc.
p
 
Tafuta sample ya Viongozi au watu wenye akili nyingi. Tafuta wastani na taarifa nyingine


Tafuta sample ya Viongozi au watu wenye upeo mdogo vivyo hivyo kisha ulinganishe.

Sio kusema jumla jumla .


Maana wajapani au ulaya wanaishi miaka Mungu kuliko Africa kwa mujibu wa data rasmi
 
Back
Top Bottom