Wenye akili au wanaotumia akili huwa wanakufa haraka kuliko hawa wengine

Wenye akili au wanaotumia akili huwa wanakufa haraka kuliko hawa wengine

Kuna Billy Graham zaidi ya miaka 80
David Wilkerson
Prince Philip 99
Queen Elizabeth 96
Reinhard Bonnke 79
Stephen Hawking 70+
Sasa hao watano wa kwanza nao walikuwa magenius?hao wote huwezi kuwaweka kundi moja na Stephen Hawkins amabye IQ yake inasemekana ilikuwa 160,ambapo katika dunia hii ni kama percent 0.0003% ndio wanaweza kuifikia hiyo...?
 
Naunga mkono hoja, hata Mwanamuziki Patrick Balisidya alimba
"Wema Hawana Maisha"
Marijani Rajabu akaimba wanaopendwa na wengi hufa wangali vijana!. Waangalie, Jesus, The Bittles, Michael Jackson, Albert Enstain, Galileo Galilee, Kanumba, Mbaraka Mwishehe, Salum Abdallah, Niko Zengekala, JPM etc.
p
Vipi kwa mtazamo wako nini kinasababisha hali hiyo? Tunapenda kupata mtazamo wako chief
 
Ngoma pana hy wenye hatma kubwa Huwa msaada na ukombozi wa wengi hiyo kitu haipendwi hasa na wale wenye roho za kichawi.
Angalia familia zilizokuwa na mtu Angeweza fanya Mabadiliko makubwa... Asipopigwa magonjwa watamvuruga kama sio kumkata.

Viongozi wa kweli WENGI wao walishakufa kabla ya kufa yaani walishakubali kufa kabla hawajafa.... Ukiona jomba oga la kufa jua kopo hilo.
 
Usibishe. Angalia watu wenye misimamo mikali, wenye akili nyingi na majasiri. Hawaishi sana. Hufa mapema. Waliowahi fanya mambo makubwa au harakati kubwa duniani wengi walikufa mapema.

Walikufa kwa natural death au kuuawa. Soma history usibishe. Angalia wapigania uhuru na mageuzi wa Africa. Waliuawa mapema. Waliuawa na mabeberu kwa kushirikiana na waafrika wenyewe.

Ndiyo, hadi marais pia waliuawa kwa sababu hiyo hiyo na wale ambao walionekana wangeweza kuwa marais pia waliuawa kabla sababu ya mitazamo yao.

Ila wale wenzangu na mimi wanadumu sana maana wanakuwa wanapendwa na tabaka la kifisadi, la kinyonyaji, la kijambazi. Wanaishi maisha mengi sababu hawafikirii sana. Wema Hawana Maisha.

Patrick Balisidya - Wema hawana Maisha.
 
Naunga mkono hoja, hata Mwanamuziki Patrick Balisidya alimba
"Wema Hawana Maisha"
Marijani Rajabu akaimba wanaopendwa na wengi hufa wangali vijana!. Waangalie, Jesus, The Bittles, Michael Jackson, Albert Enstain, Galileo Galilee, Kanumba, Mbaraka Mwishehe, Salum Abdallah, Niko Zengekala, JPM etc.
p

Nyimbo nazipenda sana hizo Paskali.

Chiku wangu weee alale pema peponi Chiku wangu weee daima nitakukumbuka.

Maangaikoooo wemaa hawana maishaa.
 
Sasa hao watano wa kwanza nao walikuwa magenius?hao wote huwezi kuwaweka kundi moja na Stephen Hawkins amabye IQ yake inasemekana ilikuwa 160,ambapo katika dunia hii ni kama percent 0.0003% ndio wanaweza kuifikia hiyo...?
IQ haipimi kuwa na deep understanding ila uwezo wa kuelewa haraka, Hawa watu watano wa apo juu walikuwa na deep understanding kuhusu mambo Yao na wamefanikiwa kufanya makubwa kwenye maisha Yao, wameacha alama.
Genius maana yake unachukua tools zilizopo na unategeneza njia ambayo haikuwahi kuwaza before na mtu yeyote, wale wanaogundua vitu out of nothing wale ni extreme genius.
 
Usibishe. Angalia watu wenye misimamo mikali, wenye akili nyingi na majasiri. Hawaishi sana. Hufa mapema. Waliowahi fanya mambo makubwa au harakati kubwa duniani wengi walikufa mapema.

Walikufa kwa natural death au kuuawa. Soma history usibishe. Angalia wapigania uhuru na mageuzi wa Africa. Waliuawa mapema. Waliuawa na mabeberu kwa kushirikiana na waafrika wenyewe.

Ndiyo, hadi marais pia waliuawa kwa sababu hiyo hiyo na wale ambao walionekana wangeweza kuwa marais pia waliuawa kabla sababu ya mitazamo yao.

Ila wale wenzangu na mimi wanadumu sana maana wanakuwa wanapendwa na tabaka la kifisadi, la kinyonyaji, la kijambazi. Wanaishi maisha mengi sababu hawafikirii sana. Wema Hawana Maisha.
Kuna kitabu kimoja kinaeleza "why the good die young "
 
Usibishe. Angalia watu wenye misimamo mikali, wenye akili nyingi na majasiri. Hawaishi sana. Hufa mapema. Waliowahi fanya mambo makubwa au harakati kubwa duniani wengi walikufa mapema.

Walikufa kwa natural death au kuuawa. Soma history usibishe. Angalia wapigania uhuru na mageuzi wa Africa. Waliuawa mapema. Waliuawa na mabeberu kwa kushirikiana na waafrika wenyewe.

Ndiyo, hadi marais pia waliuawa kwa sababu hiyo hiyo na wale ambao walionekana wangeweza kuwa marais pia waliuawa kabla sababu ya mitazamo yao.

Ila wale wenzangu na mimi wanadumu sana maana wanakuwa wanapendwa na tabaka la kifisadi, la kinyonyaji, la kijambazi. Wanaishi maisha mengi sababu hawafikirii sana. Wema Hawana Maisha.
Lile Shetani la Chato lilikufa kifo kibaya kabisa kwa sababu ya kutumia akili na nguvu nyingi kutaka kututesa na ndo mana liliishi muda mfupi na kisha kufilia zake mbali kizembe kabisa kuwahi kutokea
 
Usibishe. Angalia watu wenye misimamo mikali, wenye akili nyingi na majasiri. Hawaishi sana. Hufa mapema. Waliowahi fanya mambo makubwa au harakati kubwa duniani wengi walikufa mapema.

Walikufa kwa natural death au kuuawa. Soma history usibishe. Angalia wapigania uhuru na mageuzi wa Africa. Waliuawa mapema. Waliuawa na mabeberu kwa kushirikiana na waafrika wenyewe.

Ndiyo, hadi marais pia waliuawa kwa sababu hiyo hiyo na wale ambao walionekana wangeweza kuwa marais pia waliuawa kabla sababu ya mitazamo yao.

Ila wale wenzangu na mimi wanadumu sana maana wanakuwa wanapendwa na tabaka la kifisadi, la kinyonyaji, la kijambazi. Wanaishi maisha mengi sababu hawafikirii sana. Wema Hawana Maisha.
Mwnyi Leo katumiza miaka 98 , anasema hajawahi kutoa rushwa kupata madaraka popote.
 
Naunga mkono hoja, hata Mwanamuziki Patrick Balisidya alimba
"Wema Hawana Maisha"
Marijani Rajabu akaimba wanaopendwa na wengi hufa wangali vijana!. Waangalie, Jesus, The Bittles, Michael Jackson, Albert Enstain, Galileo Galilee, Kanumba, Mbaraka Mwishehe, Salum Abdallah, Niko Zengekala, JPM etc.
p
Ulianza vizuri,umemalizia vibaya.jpm na etc ndo kina nani hao??
 
When mission accomplished you are gone,

Yesu baada ya kufa na kufufuka, duniani angeendelea kuishi isingeleta maana.

Angalizo: Waovu wengi wanaopewa maisha marefu Huwa ni ADHABU walipie Hadi tone la mwisho waliowatendea wengine, anaweza zaa watoto 8, akawazika wa kwanza Hadi wa mwisho ndo afe naye.

Malipo ni hapa hapa Duniani.
 
Back
Top Bottom