Malkia alikuwa na uwezo mkubwa wa kiakili, alifanya reformation kubwa sana baada ya kifo cha Baba yake na kuwafanya watu wamwamini tenaHao Wafalme na Malkia nani alikwambia walikuwa na akili nyingi?
Mtoa mada hazungumzii viongozi, anazungumzia majasiri nawenye akili nyngi