Wenye akili au wanaotumia akili huwa wanakufa haraka kuliko hawa wengine

Wenye akili au wanaotumia akili huwa wanakufa haraka kuliko hawa wengine

Usibishe. Angalia watu wenye misimamo mikali, wenye akili nyingi na majasiri. Hawaishi sana. Hufa mapema. Waliowahi fanya mambo makubwa au harakati kubwa duniani wengi walikufa mapema.

Walikufa kwa natural death au kuuawa. Soma history usibishe. Angalia wapigania uhuru na mageuzi wa Africa. Waliuawa mapema. Waliuawa na mabeberu kwa kushirikiana na waafrika wenyewe.

Ndiyo, hadi marais pia waliuawa kwa sababu hiyo hiyo na wale ambao walionekana wangeweza kuwa marais pia waliuawa kabla sababu ya mitazamo yao.

Ila wale wenzangu na mimi wanadumu sana maana wanakuwa wanapendwa na tabaka la kifisadi, la kinyonyaji, la kijambazi. Wanaishi maisha mengi sababu hawafikirii sana. Wema Hawana Maisha.
[emoji848]mwinyi
 
Usibishe. Angalia watu wenye misimamo mikali, wenye akili nyingi na majasiri. Hawaishi sana. Hufa mapema. Waliowahi fanya mambo makubwa au harakati kubwa duniani wengi walikufa mapema.

Walikufa kwa natural death au kuuawa. Soma history usibishe. Angalia wapigania uhuru na mageuzi wa Africa. Waliuawa mapema. Waliuawa na mabeberu kwa kushirikiana na waafrika wenyewe.

Ndiyo, hadi marais pia waliuawa kwa sababu hiyo hiyo na wale ambao walionekana wangeweza kuwa marais pia waliuawa kabla sababu ya mitazamo yao.

Ila wale wenzangu na mimi wanadumu sana maana wanakuwa wanapendwa na tabaka la kifisadi, la kinyonyaji, la kijambazi. Wanaishi maisha mengi sababu hawafikirii sana. Wema Hawana Maisha.
NDiyo !! Ukitaka uishi maisha marefu usiguse maslahi ya watu kamwe !! Hata Yesu ISSA bin Mariam alisulibiwa kwa sababu aligusa maslahi ya watu ( makuhani ) na ibilisi .ni hatari sana ukigusa maslahi ya watu in negative way!! Mabeberu huwa wanainyonya Africa kupitia wafrixa ambao siyo wazalendo tena maskini na wenye roho ya kujipenda wenyewe. Wenye akiri na kufikiri sana wanakufa mapema kwa sababu ya stress eg JPM, wengine njama za ibilisi ( sokoine) nK
 
Point ya msingi kwa sasa ni JPM full stop. Hawatulionao wapo kama hawapo mpaka unasahau kama wapo.
 
NDiyo !! Ukitaka uishi maisha marefu usiguse maslahi ya watu kamwe !! Hata Yesu ISSA bin Mariam alisulibiwa kwa sababu aligusa maslahi ya watu ( makuhani ) na ibilisi .ni hatari sana ukigusa maslahi ya watu in negative way!! Mabeberu huwa wanainyonya Africa kupitia wafrixa ambao siyo wazalendo tena maskini na wenye roho ya kujipenda wenyewe. Wenye akiri na kufikiri sana wanakufa mapema kwa sababu ya stress eg JPM, wengine njama za ibilisi ( sokoine) nK
Na wewe unachanganya huyo Yesu Issa Bin Mariamu ndo nani? Leta habari za watu wanaofahamika.
 
Hospitali zimejengwa na Mh Samia au JPM ? Ebu kuwa mkweli aisee.SGR ,Bwawa la Nyerere,vivuko,Barbara vimejengwa na Mh Rais Samia? Kuwa mkweli aisee. Ndege Zote zile zimenunuliwa na mama Samia? Siyo kwamba nampinga Samia lakini wema wa JPM lazima usemwe hata kama alikuwa msukuma mshamba!! Tabia mbaya ambayo sipendi kwa wasukumu ni kujipendekeza na kupenda misifa. Lakini pia sidhani kama kifo Cha JPM ni natural death.
Sisi huwa tunaingiza Udini ndo maana unaona hapo tulivyoandika wa dini yetu wote tumewaandika mazuri ila dini yenu ndo tumechagua mabaya. Huwa tunaelekezwa hivyo misikitini. So usimlaumu jamaa maana hata Elimu huwa inakuwa tatizo kwetu.
 
Usibishe. Angalia watu wenye misimamo mikali, wenye akili nyingi na majasiri. Hawaishi sana. Hufa mapema. Waliowahi fanya mambo makubwa au harakati kubwa duniani wengi walikufa mapema.

Walikufa kwa natural death au kuuawa. Soma history usibishe. Angalia wapigania uhuru na mageuzi wa Africa. Waliuawa mapema. Waliuawa na mabeberu kwa kushirikiana na waafrika wenyewe.

Ndiyo, hadi marais pia waliuawa kwa sababu hiyo hiyo na wale ambao walionekana wangeweza kuwa marais pia waliuawa kabla sababu ya mitazamo yao.

Ila wale wenzangu na mimi wanadumu sana maana wanakuwa wanapendwa na tabaka la kifisadi, la kinyonyaji, la kijambazi. Wanaishi maisha mengi sababu hawafikirii sana. Wema Hawana Maisha.
Sio kila mwenye akili anakufa kijana. Mandela amekufa akiwa na zaidi ya miaka tisini. Nyerere alifariki akiwa na miaka 77 hakuwa kijana.

Malcolm X na Martin Luther waliuliwa wakiwa vijana sana, chini ya miaka 40 walibeba majukumu mazito na wakawa na uadui na ubeberu tena wakiishi hapo hapo USA nyumbani kwa ubeberu wenyewe.
 
Back
Top Bottom