Wenye akili au wanaotumia akili huwa wanakufa haraka kuliko hawa wengine

Wenye akili au wanaotumia akili huwa wanakufa haraka kuliko hawa wengine

Naunga mkono hoja, hata Mwanamuziki Patrick Balisidya alimba
"Wema Hawana Maisha"
Marijani Rajabu akaimba wanaopendwa na wengi hufa wangali vijana!. Waangalie, Jesus, The Bittles, Michael Jackson, Albert Enstain, Galileo Galilee, Kanumba, Mbaraka Mwishehe, Salum Abdallah, Niko Zengekala, JPM etc.
p
Naongezea

TB Joshua
Dr myres Munroe
Benson idahosa
2pac Shakur
Patrice Lumumba
Lucky dube
Ect
 
Naunga mkono hoja, hata Mwanamuziki Patrick Balisidya alimba
"Wema Hawana Maisha"
Marijani Rajabu akaimba wanaopendwa na wengi hufa wangali vijana!. Waangalie, Jesus, The Bittles, Michael Jackson, Albert Enstain, Galileo Galilee, Kanumba, Mbaraka Mwishehe, Salum Abdallah, Niko Zengekala, JPM etc.
p
Umepigilia msumali. So sisi tuliobakia ni wa kawaida tu. Hata Muhamad naye hakuishi mpaka uzeeni. Huyo Kanumba sijamfahamu.
 
Usibishe. Angalia watu wenye misimamo mikali, wenye akili nyingi na majasiri. Hawaishi sana. Hufa mapema. Waliowahi fanya mambo makubwa au harakati kubwa duniani wengi walikufa mapema.

Walikufa kwa natural death au kuuawa. Soma history usibishe. Angalia wapigania uhuru na mageuzi wa Africa. Waliuawa mapema. Waliuawa na mabeberu kwa kushirikiana na waafrika wenyewe.

Ndiyo, hadi marais pia waliuawa kwa sababu hiyo hiyo na wale ambao walionekana wangeweza kuwa marais pia waliuawa kabla sababu ya mitazamo yao.

Ila wale wenzangu na mimi wanadumu sana maana wanakuwa wanapendwa na tabaka la kifisadi, la kinyonyaji, la kijambazi. Wanaishi maisha mengi sababu hawafikirii sana. Wema Hawana Maisha.
Ni kawaida maana hao wengine wanaishi ilimradi wapo tuu..

Kwenye wingi wa maarifa Kuna maumivu
 
Kwa kweli sijui sababu ni kwa nini watu wema wanakufa mapema!.
p
Watu wema wanakuwa na maadui wenye nguvu. Watu wabaya wanakuwa na maadui dhaifu. But watu wema na wenye akili hufikiri sana na kuumia kwa ajili ya wengine hivyo huathiri bongo zao, mioyo na pia mwili. Watu waovu hujijali wao wenyewe na familia zao. So hawana mzigo mkubwa.
 
Usibishe. Angalia watu wenye misimamo mikali, wenye akili nyingi na majasiri. Hawaishi sana. Hufa mapema. Waliowahi fanya mambo makubwa au harakati kubwa duniani wengi walikufa mapema.

Walikufa kwa natural death au kuuawa. Soma history usibishe. Angalia wapigania uhuru na mageuzi wa Africa. Waliuawa mapema. Waliuawa na mabeberu kwa kushirikiana na waafrika wenyewe.

Ndiyo, hadi marais pia waliuawa kwa sababu hiyo hiyo na wale ambao walionekana wangeweza kuwa marais pia waliuawa kabla sababu ya mitazamo yao.

Ila wale wenzangu na mimi wanadumu sana maana wanakuwa wanapendwa na tabaka la kifisadi, la kinyonyaji, la kijambazi. Wanaishi maisha mengi sababu hawafikirii sana. Wema Hawana Maisha.
Ujumbe umewafikia
 
Naunga mkono hoja, hata Mwanamuziki Patrick Balisidya alimba
"Wema Hawana Maisha"
Marijani Rajabu akaimba wanaopendwa na wengi hufa wangali vijana!. Waangalie, Jesus, The Bittles, Michael Jackson, Albert Enstain, Galileo Galilee, Kanumba, Mbaraka Mwishehe, Salum Abdallah, Niko Zengekala, JPM etc.
p
Kwa hiyo unataka kusema nini kuhusu mzee nanihii na nanihii ?
 
Usibishe. Angalia watu wenye misimamo mikali, wenye akili nyingi na majasiri. Hawaishi sana. Hufa mapema. Waliowahi fanya mambo makubwa au harakati kubwa duniani wengi walikufa mapema.

Walikufa kwa natural death au kuuawa. Soma history usibishe. Angalia wapigania uhuru na mageuzi wa Africa. Waliuawa mapema. Waliuawa na mabeberu kwa kushirikiana na waafrika wenyewe.

Ndiyo, hadi marais pia waliuawa kwa sababu hiyo hiyo na wale ambao walionekana wangeweza kuwa marais pia waliuawa kabla sababu ya mitazamo yao.

Ila wale wenzangu na mimi wanadumu sana maana wanakuwa wanapendwa na tabaka la kifisadi, la kinyonyaji, la kijambazi. Wanaishi maisha mengi sababu hawafikirii sana. Wema Hawana Maisha.
Yule jambazi alikufa kwarohoyake mbaya hakuna namna mungu amchome moto usioisha
 
Kweli kabisa. Angalia marais hapa kwetu. Waliotumia akili nyingi kulikomboa taifa hawapo.
Huu ni mfano hai
Mbona Marais wengi wa Marekani wamefariki kwenye umri mkubwa sana?

Mfano: Ronald Regan alifariki akiwa na umri wa miaka 93, Geoge Bush sen. 94. Jimmy Carter yuko 98 na bado anaishi.

Hiyo kanuni ya mtoa mada si kweli!
 
Naunga mkono hoja, hata Mwanamuziki Patrick Balisidya alimba
"Wema Hawana Maisha"
Marijani Rajabu akaimba wanaopendwa na wengi hufa wangali vijana!. Waangalie, Jesus, The Bittles, Michael Jackson, Albert Enstain, Galileo Galilee, Kanumba, Mbaraka Mwishehe, Salum Abdallah, Niko Zengekala, JPM etc.
p
Mkuu Galileo na Einstein wana 76+ wamekufa mapema?
 
Usibishe. Angalia watu wenye misimamo mikali, wenye akili nyingi na majasiri. Hawaishi sana. Hufa mapema. Waliowahi fanya mambo makubwa au harakati kubwa duniani wengi walikufa mapema.

Walikufa kwa natural death au kuuawa. Soma history usibishe. Angalia wapigania uhuru na mageuzi wa Africa. Waliuawa mapema. Waliuawa na mabeberu kwa kushirikiana na waafrika wenyewe.

Ndiyo, hadi marais pia waliuawa kwa sababu hiyo hiyo na wale ambao walionekana wangeweza kuwa marais pia waliuawa kabla sababu ya mitazamo yao.

Ila wale wenzangu na mimi wanadumu sana maana wanakuwa wanapendwa na tabaka la kifisadi, la kinyonyaji, la kijambazi. Wanaishi maisha mengi sababu hawafikirii sana. Wema Hawana Maisha.
Imebidi nicheke tu 😄😃🤣😂
 
Back
Top Bottom