imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Bhebhe?! Einstein alikufa dingi kabisa.Albert Enstain
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bhebhe?! Einstein alikufa dingi kabisa.Albert Enstain
NaongezeaNaunga mkono hoja, hata Mwanamuziki Patrick Balisidya alimba
"Wema Hawana Maisha"
Marijani Rajabu akaimba wanaopendwa na wengi hufa wangali vijana!. Waangalie, Jesus, The Bittles, Michael Jackson, Albert Enstain, Galileo Galilee, Kanumba, Mbaraka Mwishehe, Salum Abdallah, Niko Zengekala, JPM etc.
p
Umepigilia msumali. So sisi tuliobakia ni wa kawaida tu. Hata Muhamad naye hakuishi mpaka uzeeni. Huyo Kanumba sijamfahamu.Naunga mkono hoja, hata Mwanamuziki Patrick Balisidya alimba
"Wema Hawana Maisha"
Marijani Rajabu akaimba wanaopendwa na wengi hufa wangali vijana!. Waangalie, Jesus, The Bittles, Michael Jackson, Albert Enstain, Galileo Galilee, Kanumba, Mbaraka Mwishehe, Salum Abdallah, Niko Zengekala, JPM etc.
p
Ni kawaida maana hao wengine wanaishi ilimradi wapo tuu..Usibishe. Angalia watu wenye misimamo mikali, wenye akili nyingi na majasiri. Hawaishi sana. Hufa mapema. Waliowahi fanya mambo makubwa au harakati kubwa duniani wengi walikufa mapema.
Walikufa kwa natural death au kuuawa. Soma history usibishe. Angalia wapigania uhuru na mageuzi wa Africa. Waliuawa mapema. Waliuawa na mabeberu kwa kushirikiana na waafrika wenyewe.
Ndiyo, hadi marais pia waliuawa kwa sababu hiyo hiyo na wale ambao walionekana wangeweza kuwa marais pia waliuawa kabla sababu ya mitazamo yao.
Ila wale wenzangu na mimi wanadumu sana maana wanakuwa wanapendwa na tabaka la kifisadi, la kinyonyaji, la kijambazi. Wanaishi maisha mengi sababu hawafikirii sana. Wema Hawana Maisha.
Watu wema wanakuwa na maadui wenye nguvu. Watu wabaya wanakuwa na maadui dhaifu. But watu wema na wenye akili hufikiri sana na kuumia kwa ajili ya wengine hivyo huathiri bongo zao, mioyo na pia mwili. Watu waovu hujijali wao wenyewe na familia zao. So hawana mzigo mkubwa.Kwa kweli sijui sababu ni kwa nini watu wema wanakufa mapema!.
p
Ujumbe umewafikiaUsibishe. Angalia watu wenye misimamo mikali, wenye akili nyingi na majasiri. Hawaishi sana. Hufa mapema. Waliowahi fanya mambo makubwa au harakati kubwa duniani wengi walikufa mapema.
Walikufa kwa natural death au kuuawa. Soma history usibishe. Angalia wapigania uhuru na mageuzi wa Africa. Waliuawa mapema. Waliuawa na mabeberu kwa kushirikiana na waafrika wenyewe.
Ndiyo, hadi marais pia waliuawa kwa sababu hiyo hiyo na wale ambao walionekana wangeweza kuwa marais pia waliuawa kabla sababu ya mitazamo yao.
Ila wale wenzangu na mimi wanadumu sana maana wanakuwa wanapendwa na tabaka la kifisadi, la kinyonyaji, la kijambazi. Wanaishi maisha mengi sababu hawafikirii sana. Wema Hawana Maisha.
Kwa hiyo unataka kusema nini kuhusu mzee nanihii na nanihii ?Naunga mkono hoja, hata Mwanamuziki Patrick Balisidya alimba
"Wema Hawana Maisha"
Marijani Rajabu akaimba wanaopendwa na wengi hufa wangali vijana!. Waangalie, Jesus, The Bittles, Michael Jackson, Albert Enstain, Galileo Galilee, Kanumba, Mbaraka Mwishehe, Salum Abdallah, Niko Zengekala, JPM etc.
p
Mwinyi angetoa rushwa kushindana na nani?Mwnyi Leo katumiza miaka 98 , anasema hajawahi kutoa rushwa kupata madaraka popote.
Yule jambazi alikufa kwarohoyake mbaya hakuna namna mungu amchome moto usioishaUsibishe. Angalia watu wenye misimamo mikali, wenye akili nyingi na majasiri. Hawaishi sana. Hufa mapema. Waliowahi fanya mambo makubwa au harakati kubwa duniani wengi walikufa mapema.
Walikufa kwa natural death au kuuawa. Soma history usibishe. Angalia wapigania uhuru na mageuzi wa Africa. Waliuawa mapema. Waliuawa na mabeberu kwa kushirikiana na waafrika wenyewe.
Ndiyo, hadi marais pia waliuawa kwa sababu hiyo hiyo na wale ambao walionekana wangeweza kuwa marais pia waliuawa kabla sababu ya mitazamo yao.
Ila wale wenzangu na mimi wanadumu sana maana wanakuwa wanapendwa na tabaka la kifisadi, la kinyonyaji, la kijambazi. Wanaishi maisha mengi sababu hawafikirii sana. Wema Hawana Maisha.
Mbona Marais wengi wa Marekani wamefariki kwenye umri mkubwa sana?Kweli kabisa. Angalia marais hapa kwetu. Waliotumia akili nyingi kulikomboa taifa hawapo.
Huu ni mfano hai
Rais MagufuliNaongezea
TB Joshua
Dr myres Munroe
Benson idahosa
2pac Shakur
Patrice Lumumba
Lucky dube
Ect
Duuu!!Kweli kabisa. Angalia marais hapa kwetu. Waliotumia akili nyingi kulikomboa taifa hawapo.
Huu ni mfano hai
Mkuu Galileo na Einstein wana 76+ wamekufa mapema?Naunga mkono hoja, hata Mwanamuziki Patrick Balisidya alimba
"Wema Hawana Maisha"
Marijani Rajabu akaimba wanaopendwa na wengi hufa wangali vijana!. Waangalie, Jesus, The Bittles, Michael Jackson, Albert Enstain, Galileo Galilee, Kanumba, Mbaraka Mwishehe, Salum Abdallah, Niko Zengekala, JPM etc.
p
Sio wema hawafiUnataka kupingana na Kauli ya Mzee Makamba kuwa wema hawafi.
Swali zuri sana yaan unashindana na kivuli chako alafu utoe helaMwinyi angetoa rushwa kushindana na nani?
Imebidi nicheke tu 😄😃🤣😂Usibishe. Angalia watu wenye misimamo mikali, wenye akili nyingi na majasiri. Hawaishi sana. Hufa mapema. Waliowahi fanya mambo makubwa au harakati kubwa duniani wengi walikufa mapema.
Walikufa kwa natural death au kuuawa. Soma history usibishe. Angalia wapigania uhuru na mageuzi wa Africa. Waliuawa mapema. Waliuawa na mabeberu kwa kushirikiana na waafrika wenyewe.
Ndiyo, hadi marais pia waliuawa kwa sababu hiyo hiyo na wale ambao walionekana wangeweza kuwa marais pia waliuawa kabla sababu ya mitazamo yao.
Ila wale wenzangu na mimi wanadumu sana maana wanakuwa wanapendwa na tabaka la kifisadi, la kinyonyaji, la kijambazi. Wanaishi maisha mengi sababu hawafikirii sana. Wema Hawana Maisha.