Wenye akili kubwa na tunaomjua vyema tulishasema msemaji wa simba sc ni mwana yanga sc mno mkabisha na kutukana

Wenye akili kubwa na tunaomjua vyema tulishasema msemaji wa simba sc ni mwana yanga sc mno mkabisha na kutukana

Tena simba sc wamechelewa sana kumshtukia na kuja na onyo hili kwake

Kwa miezi miwili sasa kama ukiwa makini kila ukimsikia msemaji wa simba sc ahmed ally akiongea na media utagundua kuwa hayuko serious kabisa na kwa 99%. anachokifanya ni mzaha mwingi pamoja na ukomedi wake ambao wala hauna tija katika suala zima la ufanisi wa timu hasa katika upande wa mawasiliano na mahusiano

Yaani mchezaji akitokea Cameroon tunaambiwa Samuel eti kapendekeza, akitokea ivory coast eti didier drogba kapendekeza, akitokea senegal eti sadio mane kapendekeza na najua kwa sasa anatamani mchezaji atokee ama nigeria au south afrika aseme kuwa akina nwako kanu na ben macarthy ndiyo wamewapendekeza

Ushauri wangu kwa uongozi wa simba sc ni kwamba ianze kutafuta a competent club spokesperson wa kuendana na dunia ya sasa ya ushindani katika masuala mazima ya communication, media, pr and corporate affairs ila siyo kwa huyu ahmed ally kwani hatoshei na naendelea kusisitiza kuwa huyu siyo mwana simba sc 100% kama hata na wale wengine nao ali wao nae hata siyo mwana mafuriko ya vyura kwa 100% kwani hata marafiki na ndugu zake baadhi wameshasema hilo kitambo tu isipokuwa tajiri wa magodoro kachagua kuweka pamba masikioni
Nakubaliana na wewe kwamba Ahmed anabwabwaja Sana. Lakini kusema ni shabiki wa Yanga Hilo mhh!
 
Tena simba sc wamechelewa sana kumshtukia na kuja na onyo hili kwake

Kwa miezi miwili sasa kama ukiwa makini kila ukimsikia msemaji wa simba sc ahmed ally akiongea na media utagundua kuwa hayuko serious kabisa na kwa 99%. anachokifanya ni mzaha mwingi pamoja na ukomedi wake ambao wala hauna tija katika suala zima la ufanisi wa timu hasa katika upande wa mawasiliano na mahusiano

Yaani mchezaji akitokea Cameroon tunaambiwa Samuel eti kapendekeza, akitokea ivory coast eti didier drogba kapendekeza, akitokea senegal eti sadio mane kapendekeza na najua kwa sasa anatamani mchezaji atokee ama nigeria au south afrika aseme kuwa akina nwako kanu na ben macarthy ndiyo wamewapendekeza

Ushauri wangu kwa uongozi wa simba sc ni kwamba ianze kutafuta a competent club spokesperson wa kuendana na dunia ya sasa ya ushindani katika masuala mazima ya communication, media, pr and corporate affairs ila siyo kwa huyu ahmed ally kwani hatoshei na naendelea kusisitiza kuwa huyu siyo mwana simba sc 100% kama hata na wale wengine nao ali wao nae hata siyo mwana mafuriko ya vyura kwa 100% kwani hata marafiki na ndugu zake baadhi wameshasema hilo kitambo tu isipokuwa tajiri wa magodoro kachagua kuweka pamba masikioni
Kama ni kweli basi Simba ni timu yenye Viongozi wa hovyo kuliko zote duniani. Yaani wanaacha kushughulikia matatizo ya timu wanamweka kitimoto "major domo"?
 
Ukiwa Simba au Yanga lazima ukubali kuwa mwendawazimu. Hizi timu zinavyoendeshwa ni kiajabu sana
 
Ahmed Ally ni Simba, toka akiwa Azam TV alionesha mahaba yake kwa Simba. Kuna wakati Jakaya Kikwete alialikwa kwenye event ya Yanga, Azam waliirusha LIVE ile event, Ahmed Ally alimfata JK ili kumhoji na JK akamjibu mbovu, thread yake ipo humu.

Ahmed Ally ataonekana ni mbaya sababu ya mwenendo mbovu wa Simba. Mo anazidi kufurahi jinsi anavyocheza na akili za mashabiki wa Simba.
Hilo nakataa mpaka nakufa huyo kiasili ni Yanga lialia anaebisha akipata muda ashuke pale mji mdogo wa mahuta mkoani mtwara afike pale mkabala na duka la siwajibu lupanda halafu utapata jibu
 
Tena simba sc wamechelewa sana kumshtukia na kuja na onyo hili kwake

Kwa miezi miwili sasa kama ukiwa makini kila ukimsikia msemaji wa simba sc ahmed ally akiongea na media utagundua kuwa hayuko serious kabisa na kwa 99%. anachokifanya ni mzaha mwingi pamoja na ukomedi wake ambao wala hauna tija katika suala zima la ufanisi wa timu hasa katika upande wa mawasiliano na mahusiano

Yaani mchezaji akitokea Cameroon tunaambiwa Samuel eti kapendekeza, akitokea ivory coast eti didier drogba kapendekeza, akitokea senegal eti sadio mane kapendekeza na najua kwa sasa anatamani mchezaji atokee ama nigeria au south afrika aseme kuwa akina nwako kanu na ben macarthy ndiyo wamewapendekeza

Ushauri wangu kwa uongozi wa simba sc ni kwamba ianze kutafuta a competent club spokesperson wa kuendana na dunia ya sasa ya ushindani katika masuala mazima ya communication, media, pr and corporate affairs ila siyo kwa huyu ahmed ally kwani hatoshei na naendelea kusisitiza kuwa huyu siyo mwana simba sc 100% kama hata na wale wengine nao ali wao nae hata siyo mwana mafuriko ya vyura kwa 100% kwani hata marafiki na ndugu zake baadhi wameshasema hilo kitambo tu isipokuwa tajiri wa magodoro kachagua kuweka pamba masikioni
Jeshi la mtu mmoja linawakera hadi mnaanza kuleta kampeni za propaganda za kitoto!??
Yaani mtu mmoja anawatisha kiasi hicho?
 
Simba acheni ramli chonganishi, mlimfukuza robertinho hakuna kilichobadilika, mkatuhumu wachezaji kuuza mechi mpaka leo kimyaa, mkamleta kocha wa 50m/mwezi timu ndiyo hiyo inafungwa na kitimu feki cha mlandege.
Sasa mmemrukia ahmed ali. Kwamba ni mamluki.
Na bado, msimu huu cafcl mtashika mkia kwenye makundi
Hao ni utopolo.
Hapo tu kwenye propaganda ndio wametuzidi akili sana wana Simba.
Naona tayari watu wenye akili kisoda mmeshaingia kwenye mfumo wa akina ali kamwe
 
Tena simba sc wamechelewa sana kumshtukia na kuja na onyo hili kwake

Kwa miezi miwili sasa kama ukiwa makini kila ukimsikia msemaji wa simba sc ahmed ally akiongea na media utagundua kuwa hayuko serious kabisa na kwa 99%. anachokifanya ni mzaha mwingi pamoja na ukomedi wake ambao wala hauna tija katika suala zima la ufanisi wa timu hasa katika upande wa mawasiliano na mahusiano

Yaani mchezaji akitokea Cameroon tunaambiwa Samuel eti kapendekeza, akitokea ivory coast eti didier drogba kapendekeza, akitokea senegal eti sadio mane kapendekeza na najua kwa sasa anatamani mchezaji atokee ama nigeria au south afrika aseme kuwa akina nwako kanu na ben macarthy ndiyo wamewapendekeza

Ushauri wangu kwa uongozi wa simba sc ni kwamba ianze kutafuta a competent club spokesperson wa kuendana na dunia ya sasa ya ushindani katika masuala mazima ya communication, media, pr and corporate affairs ila siyo kwa huyu ahmed ally kwani hatoshei na naendelea kusisitiza kuwa huyu siyo mwana simba sc 100% kama hata na wale wengine nao ali wao nae hata siyo mwana mafuriko ya vyura kwa 100% kwani hata marafiki na ndugu zake baadhi wameshasema hilo kitambo tu isipokuwa tajiri wa magodoro kachagua kuweka pamba masikioni
Huna akili
 
Simba bado haipo sawa kiwanjani, tusitake kumtengenezea zengwe msemaji, kama ni lawama ziende kwa wale wezi au 10% wanaokwenda kuokota wachezaji na kuja kumpa kazi jamaa aanze kuwapa sifa.
 
Hao ni utopolo.
Hapo tu kwenye propaganda ndio wametuzidi akili sana wana Simba.
Naona tayari watu wenye akili kisoda mmeshaingia kwenye mfumo wa akina ali kamwe
Mimi ni kolowizad OG
 
Simba acheni ramli chonganishi, mlimfukuza robertinho hakuna kilichobadilika, mkatuhumu wachezaji kuuza mechi mpaka leo kimyaa, mkamleta kocha wa 50m/mwezi timu ndiyo hiyo inafungwa na kitimu feki cha mlandege.
Sasa mmemrukia ahmed ali. Kwamba ni mamluki.
Na bado, msimu huu cafcl mtashika mkia kwenye makundi
Hivi tabulele ina maanisha Nini
 
Ahmed ally yuko fresh, hawez kuwa serious nchi ambayo kila mtu hayuko serious.
Nchi ambayo ina TANESCO huwez kuwa nayo serious bana
 
Naona mods wanaiwekea vikwazo Misri isiingize bidhaa Jamii Forums ila wanairuhusu Egypt
 
Back
Top Bottom