Msela Wa Kitaa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2021
- 1,396
- 2,704
kwa hapa sioni kosa laoMadaktari ndio wanaongoza kwa roho mbaya zaidi duniani kote. Cha ajabu ndio watu wanaochukuliwa kama a special type.
Kosa lipo wizarani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwa hapa sioni kosa laoMadaktari ndio wanaongoza kwa roho mbaya zaidi duniani kote. Cha ajabu ndio watu wanaochukuliwa kama a special type.
Mkuu Thibitisha ulichokisema hapo juu!Hii ndio maana ya mfuko kujiendesha kitathmini na tafiti ,kuongeza pale inapohitajika ,sio kila kitu kinapanda bei kadri siku zinavyokwenda vingine bei inashuka kutokana na upatikanaji wake ,inawezekana upatikanaji wa amoxilin umeongezeka kuliko ilivyokuwa awali hakuna haya ya kuongeza bei na hii ni lengo zuri la kupunguzia mzigo wanachama wake , lakini ni mfuko huuhuu ambao umekuwa ukiwezesha watoa huduma kwa fedha(loan) kuboresha miundombinu pale inapohitajika ili kuviongezea uwezo ,mfuko haugemei upande mmoja unajali wadau wake wote
Kama huduma zipi mkuu au kama maboresho yapi mkuu tuanzie hapo kwanza..Wizara ya afya inafanya kazi kubwa sana kusaidia Wanachama wa Mfuko wa Bima ya afya unakua na manufaa kwao bila kuasiri uhai wa Mfuko. Maboredho hayo yameongeza huduma nyingi Muhimu na dawa ambazo hazikuepo awali.
Hii ilikuwepo.tangu zamaniNadhani tungeangalia Kwanza Manufaa ya ya Maboresho haya kabla ya kuingia kwenye lawama na Migogoro.
Kwa Mfano Maboresho haya Wanachama wanaotumia dawa za pressure na sukari sasa wanaweza kupata dawa ngazi za chini
Kwani zaman hawakuwa wakitibu Hebu tiache siasaMaboresho haya yanasaidia huduma za kibingwa na bingwa bobezi kama matibabu ya moyo, saratani, figo kupatikana kwenye ngazi za Kanda pia na sio lazima mwanachama aende mpaka hosp za ngazi taifa.
Urinalysis -1,400/=Nawaunga Mkono Mia fill 100..
Huwezi kuboresha kitita na ukaacha Kuboresha maslahi ya Watoa Huduma pamoja na Bidhaa husika na Baada ya kuambiwa bado unashupaza shingo..
Amoxyline iliyokuwa inalipwa kwa Bima miaka 10 iliyopita sh 80 kwa kidonge still bado baada ya miaka 10 bei ni hiyo.hiyo..Bila kuangalia Soko la Bidhaa la sasa unapanga bei bila huruma ya watu wenye Hospitali ambao wao hawaletewi dawa na MSD..
as one among the interested personel nasema wako sahihi na hatutapokea Mtu mwenye Bima Yoyote. Mpaka pale serikali itakapo thamini Mfumuko wa bei na maslahi ya pande mbili
Umesoma Barua ilivyoandikwa wamekaa mezani lakini NHIF wamegoma kupokea mabadiliko sasa ulitaka wafanye nini wao wakubali..Kama wanakataa maboresho sijui wafanyiwe nini mana NHIF wamewaita mezani na wakafika wakatoa ya moyoni sasa ninapoona wanageuka unaona kama kabisa wanaleta siasa kwenye wa binadamu wabadilike
Wakati mwanzo ilikuwa 2000/=Urinalysis -1,400/=
😔
Wewe umesoma kweli? Yani watu wafanye kazi ya bure? Hela zenyewe zinachelewa sana kuja kwenye mahospitali halafu unaboresha huduma unawasahau wadau wakubwa kama hawa sekta binafsi?Kama wanakataa maboresho sijui wafanyiwe nini mana NHIF wamewaita mezani na wakafika wakatoa ya moyoni sasa ninapoona wanageuka unaona kama kabisa wanaleta siasa kwenye wa binadamu wabadilike
Aaaah mkuu,Kama wanakataa maboresho sijui wafanyiwe nini mana NHIF wamewaita mezani na wakafika wakatoa ya moyoni sasa ninapoona wanageuka unaona kama kabisa wanaleta siasa kwenye wa binadamu wabadilike
Bima wahuni tu hao, ni bora watuache tutibiwe kivyetu, kwanini wanalazimisha wao wawe ma middle men?Serikali ipo kimya NHIF inakataliwa siku hizi. Si sawa wakati watu wanalipia
Mkuu Leak ,Wewe umesoma kweli? Yani watu wafanye kazi ya bure? Hela zenyewe zinachelewa sana kuja kwenye mahospitali halafu unaboresha huduma unawasahau wadau wakubwa kama hawa sekta binafsi?
Kama jambo hili litakwama na serikali ikakaza shingo hapa ni wananchi tutakao umia……wengi tunazitegemea hizo hospitali binafsi!
Wewe unafikiri atakayeathirika ni nani,labda nikwambie athari itakayotokea wenye hospitali ndiyo wataathirika zaidi maana wengi wao kilichowasukuma kufungua hizo hospitali ni tamaa ya kupata utajiri wa haraka haraka kupitia NHIF japo wenyewe wanajifanya lengo lao ni kutoa huduma kwa wananchi na kwamba fedha sio kipaumbele chao lakini si kweli na kama wana jeuri wagome angalau kwa miezi sita tu kama hawajafunga hivyo vihospitali uchwara vya mchongo,haiwezekani huduma inayolipiwa kwenye hospitali za umma wao walipishe mara nne zaidi wakati hivyo vihospitali vyenyewe vingi havina maajabu.Hahaha mchakesha sana unadhani watakao athirika ni kina nani? Hospitali zenyewe za Umma mtu unakwenda hata panado hakuna unafikiri nani ataumia?
Wizara ya Afya Tanzania iache kufanya mzaha kwenye hili
NHIF ni wanyama...hakika hili ni Pigo kuu...Hatari sanq,NHIF kilamara tunasema humu kama hawawezi kutoa huduma bora wajitoe au watangaze kufirisika,haiwezekani kufanya siasa kwenye afya zetu,naumia sana kuona mshahara wangu ukikatwa huku nikiwa sina uwezo wa kupata matibabu bora.
Pili nhif kama wanaona hawapati faida kwa kiasi wanachotukana hasa wstumishi wa umma,ni bora waseme ili kiasi kiongezwe,kiuhalisia haingii akilini mimi kukatwa sh 23 000 kwa mwezi huku pesa hiyo ikilipia/kuhudumia watu 6,ukigawawanya maana yake kila mtu anachangia shilingi takribani 3 800 kwa mwezi huku akipata matibabu ya mamilioni.
Nhif waweke vifurushi ambavyo watumishi wa uma watachagua ili wapate huduma bora,tuache, ujamaa kwenye mfumo wa kibepali,kwa umuhimu wa Bima mimi niko tayri kukatwa mara mbili au hata tatu ya kiasi wanachonikata sasa ili kupata huduma bora
NHIFTZ basi tuueni wateja wenu ili mfaidi makato tunayokatwa,Mungu saidia wazee wetu wanaohudumiwa na hospitali za private wasikufe kwa kukosa huduma
Mkuu nipo Nanjilinji huku naumwa mpaka nifike huko si noyakuwa nimekufa.Si utakwenda kutumia muhimbili?