Kwa kweli tuombe Mungu atusaidie hawa Private hospitals na NHIF wafikie muafaka
Wagonjwa wenye Bima ya Afya ya NHIF wanataabika sana
Mungu wa Mbinguni utusaidie!
DSMMgao wa umeme umekwisha wapi huko?
Unamuiga Benjamin Netanyahu wa Ufipa stNakuomba ufafanue vizuri hoja yako dada yangu
Hii inaitwa bandika bandua....Kwa kweli tuombe Mungu atusaidie hawa Private hospitals na NHIF wafikie muafaka
Wagonjwa wenye Bima ya Afya ya NHIF wanataabika sana
Mungu wa Mbinguni utusaidie!
Tatizo la umeme limeisha huko kwenu?Kwa kweli tuombe Mungu atusaidie hawa Private hospitals na NHIF wafikie muafaka
Wagonjwa wenye Bima ya Afya ya NHIF wanataabika sana
Mungu wa Mbinguni utusaidie!
umeme si stori tena nduguTatizo la umeme limeisha huko kwenu?
AiseeeJuzi nimeenda hospital heeeee! Wakakataa NHIF yangu,ikabidi niondoke.
Halafu et mbunge anatibiwa atakako na hakatwi kitu
Hapa Rau Madukani wiki sasa umeme haujakatika ππTatizo la umeme limeisha huko kwenu?
hapo manyeleziHapa Rau Madukani wiki sasa umeme haujakatika ππ
Sisi wazee wa Legacy tunagonga Wine tu ππ₯
Hospitari gan??Juzi nimeenda hospital heeeee! Wakakataa NHIF yangu,ikabidi niondoke.
Halafu et mbunge anatibiwa atakako na hakatwi kitu
Hahaha acha ujingaHapa Rau Madukani wiki sasa umeme haujakatika ππ
Sisi wazee wa Legacy tunagonga Wine tu ππ₯
Kwamba kwenu haukatiki tena?umeme si stori tena ndugu