PakiJinja
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 11,689
- 25,848
Sometimes it's better kujifunika ngumi tu.kuna moja nimelikuta lina harufu ya qumer acha tu usiku umekua mrefu sa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sometimes it's better kujifunika ngumi tu.kuna moja nimelikuta lina harufu ya qumer acha tu usiku umekua mrefu sa
hilo baridi lake mzee bora ujifunike tu qumerSometimes it's better kujifunika ngumi tu.
Njombe miezi hii ukajifunike shuka ? Sema ni bora kutembea na shuka zako ukifika lodge unatangukiza zenyewe blanket lao linakuja juu .Ukilikuta weka kwenye kiti jifunike shuka
Ukilala Mafinga ndiyo utajuta kuzaliwa. Yaani mablanketi ni machafu mpaka basi.Arusha, Mbeya, Iringa, Ruvuma, Njombe na Rukwa.
Haya mablanket yenu huwa mnafua kila mara kweli? Kuwa kila anapoondoka mteja mnabadilisha mnaweka jingine? Au tunaendelea kulalia na sisi wengine tukija?
Mimi sioni dalili ya kuwa haya yanabadilishwa. Nikiangalia hivi sioni kabisa hizo dalili. Naona tu kama kuna kuyatumia haya mpaka ukamilifu wa dahali. Sijui dahari. Mtajua huko huko.
Watu tunapata mpaka mafua. Siyo fair na mnatucharge pesa kama yote kwenye Hotels zenu.
Qumer Ina harufu mbili,nzuri na mbaya, we ulikuta ipi😂kuna moja nimelikuta lina harufu ya qumer acha tu usiku umekua mrefu sana
inategemea na sehemu , mtwara unaeza lala lodge ya 30000 na bado ukakuta mashuka machafu .Mimi huwa naamini Hotels za kuanzia Tsh 25000 Ni Safi na kweli sijawahi kukuta chafu
Kuna Hotel ya tsh 30,000? Sidhani. Zinaanzia 50,000 na kuendelea.Ni vyema usafiripo huko kwenye baridi jitahidi ulale hotel/guest ya kuanzia 30,000 huko mablanketi au duvets huwa zinafuliwa na sio za 5000 hadi 20000. Huko utarudi na fungus nyumbani
Hakuna Hotel ya tsh 25,000Mimi huwa naamini Hotels za kuanzia Tsh 25000 Ni Safi na kweli sijawahi kukuta chafu
Hotel maana yake Nini ? Tuanzie hapo kwanzaHakuna Hotel ya tsh 25,000
Naunafungus , uti , na pp zinatoa vumbi au podaNilienda na maza flani Njombe kikazi. Anabeba mashuka yake, blanketi, taulo, neti. Yaani very complicated.
Wakati mi natumia mataulo ayo ayo na nipo nadunda.
Hotel ni zile kama melia, point of sheraton,mount meru ila zingine ni lodges, na guest house, au hostel so watu kwa ushamba wao hawawezi kutofautisha na ndio maana wakitendwa wanadhani walikutana hoteliniHotel maana yake Nini ? Tuanzie hapo kwanza
Nini maana ya Dry cleaner machine?Ishu ipo kwenye kukauka
Sawa, kwa kiasi Fulani Ni kweli,lakini believe me, Hotel sio lazima inafanane na hizo mnazodhani, Hotel sio lazima iwe three star+ au three stories buildingHotel ni zile kama melia, point of sheraton,mount meru ila zingine ni lodges, na guest house, au hostel so watu kwa ushamba wao hawawezi kutofautisha na ndio maana wakitendwa wanadhani walikutana hotelini
25k ni hotel? Wapi huko?Mimi huwa naamini Hotels za kuanzia Tsh 25000 Ni Safi na kweli sijawahi kukuta chafu
The more sensitive the more vulnerable , vichaa na machizi huwa wanakula jalalani na hawadhuriki!!!Nilienda na maza flani Njombe kikazi. Anabeba mashuka yake, blanketi, taulo, neti. Yaani very complicated.
Wakati mi natumia mataulo ayo ayo na nipo nadunda.