Wenye Hotels na Lodges hasa mikoa hii. Mablanket yenu huwa mnafua kweli?

Wenye Hotels na Lodges hasa mikoa hii. Mablanket yenu huwa mnafua kweli?

Sawa, kwa kiasi Fulani Ni kweli,lakini believe me, Hotel sio lazima inafanane na hizo mnazodhani, Hotel sio lazima iwe three star+ au three stories building

Kwa mujibu wa Cambridge dictionary, Hotel is a building where you pay to have a room to sleep in, and where you can sometimes eat meals, hii Ina maanisha kwamba,Mimi hapa nikijenga Jengo langu la kawaida kabisa sio ghorofa,nikaweka ka restaurant humo na reception alafu vyumba nifanye elfu 25 kwa siku hii tayari Ni Hotel kwa sababu by definition sio lazima zile services zote za kwenye Hotel ziwepo isipokuwa Kama Kuna restaurant basi ni Hotel tayari

Wikipedia wanasema hivi kuhusu definition ya Hotel,A hotel is an establishment that provides paid lodging on a short-term basis. Facilities provided inside a hotel room may range from a modest-quality mattress in a small room to large suites with bigger, higher-quality beds, a dresser, a refrigerator and other kitchen facilities, chairs, a flat-screen television, and en-suite bathrooms. Small, lower-priced hotels may offer only the most basic guest services and facilities

Note
Small, lower-priced hotels may offer only the most basic guest services and facilities.

Hivo basi, sifa ya Jengo kuwa Hotel Ni kwamba watoe huduma za kulala pamoja na chakula, hii ndio sifa kubwa
Kwa kuhitimisha tu hotel zina classes asikariri five star hotels
 
Unalala guest za huko kajamba nani unategemea wafue kila siku kweli 🙄 Ungekua unalala Mt Meru hotel au Four Points au Gran Melia kwa hakika tusingekutana na huu uzi hapa.
 
Aseee jamaa tafuta pesa sana hapa mbeya uwe unalala GR city, hotel desderia kwa taita sehemu safi kabisa nyingine nililala new forest ya mmiliki wa city pub nimeisahau jina ni classic sana chumba cha chini 50k safi
 
Mi pale Makambako Huwa nalala hotel inaitwa DS HOTEL wale jamaa ni wasafi sana room zao alfu 30,000 na break fast.
Makambako wanajitahidi sana kwenye usafi ni moja ya sehemu ambazo swala la malazi halipo complicated na bei ni rahisi
 
Makambako wanajitahidi sana kwenye usafi ni moja ya sehemu ambazo swala la malazi halipo complicated na bei ni rahisi
Kama hiyo Hotel niliyotaja mkuu ni kali sana halafu bei poa sana.
 
Arusha, Mbeya, Iringa, Ruvuma, Njombe na Rukwa.

Haya mablanket yenu huwa mnafua kila mara kweli? Kuwa kila anapoondoka mteja mnabadilisha mnaweka jingine? Au tunaendelea kulalia na sisi wengine tukija?

Mimi sioni dalili ya kuwa haya yanabadilishwa. Nikiangalia hivi sioni kabisa hizo dalili. Naona tu kama kuna kuyatumia haya mpaka ukamilifu wa dahali. Sijui dahari. Mtajua huko huko.

Watu tunapata mpaka mafua. Siyo fair na mnatucharge pesa kama yote kwenye Hotels zenu.
Mie huwa nasafiri na blanket langu kwakuwa nilipata mafua makali Iringa kwenye lodge moja ambayo hata bei zake ni za juu ila usafi ni -ve
 
Back
Top Bottom