Basi Nenda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 20,774
- 47,866
Soma comment yangu ya chini happy Mkuu, nimefafanua kwanini nimeita Hotel
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Soma comment yangu ya chini happy Mkuu, nimefafanua kwanini nimeita Hotel
Watz bado wanafikiria kimasikiniUkikuta yananuka ujue hayafuliwi ila Kwa Sasa Kuna mashine Kwa nini wasifue?
Hata pale MIPA hawafui blanketsUkilikuta weka kwenye kiti jifunike shuka
Kwa kuhitimisha tu hotel zina classes asikariri five star hotelsSawa, kwa kiasi Fulani Ni kweli,lakini believe me, Hotel sio lazima inafanane na hizo mnazodhani, Hotel sio lazima iwe three star+ au three stories building
Kwa mujibu wa Cambridge dictionary, Hotel is a building where you pay to have a room to sleep in, and where you can sometimes eat meals, hii Ina maanisha kwamba,Mimi hapa nikijenga Jengo langu la kawaida kabisa sio ghorofa,nikaweka ka restaurant humo na reception alafu vyumba nifanye elfu 25 kwa siku hii tayari Ni Hotel kwa sababu by definition sio lazima zile services zote za kwenye Hotel ziwepo isipokuwa Kama Kuna restaurant basi ni Hotel tayari
Wikipedia wanasema hivi kuhusu definition ya Hotel,A hotel is an establishment that provides paid lodging on a short-term basis. Facilities provided inside a hotel room may range from a modest-quality mattress in a small room to large suites with bigger, higher-quality beds, a dresser, a refrigerator and other kitchen facilities, chairs, a flat-screen television, and en-suite bathrooms. Small, lower-priced hotels may offer only the most basic guest services and facilities
Note
Small, lower-priced hotels may offer only the most basic guest services and facilities.
Hivo basi, sifa ya Jengo kuwa Hotel Ni kwamba watoe huduma za kulala pamoja na chakula, hii ndio sifa kubwa
Naam MkuuKwa kuhitimisha tu hotel zina classes asikariri five star hotels
Nimelala Njombe, Mbeya, Iringa n.k kwenye hotel za 30,000 ni nzuri tena sana. Lubex Mbeya ni nzuri sana. Princess ya Njombe ni nzuri na kwa tsh 30,000Kuna Hotel ya tsh 30,000? Sidhani. Zinaanzia 50,000 na kuendelea.
Sijawah lalaHata pale MIPA hawafui blankets
Mwanzoni ilikuwa nzuri sana ila kwa sasa si kama mwanzoSijawah lala
Makambako wanajitahidi sana kwenye usafi ni moja ya sehemu ambazo swala la malazi halipo complicated na bei ni rahisiMi pale Makambako Huwa nalala hotel inaitwa DS HOTEL wale jamaa ni wasafi sana room zao alfu 30,000 na break fast.
Kama hiyo Hotel niliyotaja mkuu ni kali sana halafu bei poa sana.Makambako wanajitahidi sana kwenye usafi ni moja ya sehemu ambazo swala la malazi halipo complicated na bei ni rahisi
Mie huwa nasafiri na blanket langu kwakuwa nilipata mafua makali Iringa kwenye lodge moja ambayo hata bei zake ni za juu ila usafi ni -veArusha, Mbeya, Iringa, Ruvuma, Njombe na Rukwa.
Haya mablanket yenu huwa mnafua kila mara kweli? Kuwa kila anapoondoka mteja mnabadilisha mnaweka jingine? Au tunaendelea kulalia na sisi wengine tukija?
Mimi sioni dalili ya kuwa haya yanabadilishwa. Nikiangalia hivi sioni kabisa hizo dalili. Naona tu kama kuna kuyatumia haya mpaka ukamilifu wa dahali. Sijui dahari. Mtajua huko huko.
Watu tunapata mpaka mafua. Siyo fair na mnatucharge pesa kama yote kwenye Hotels zenu.
Makambako wapo fairKama hiyo Hotel niliyotaja mkuu ni kali sana halafu bei poa sana.