Hotel ni zile kama melia, point of sheraton,mount meru ila zingine ni lodges, na guest house, au hostel so watu kwa ushamba wao hawawezi kutofautisha na ndio maana wakitendwa wanadhani walikutana hotelini
Sawa, kwa kiasi Fulani Ni kweli,lakini believe me, Hotel sio lazima inafanane na hizo mnazodhani, Hotel sio lazima iwe three star+ au three stories building
Kwa mujibu wa Cambridge dictionary, Hotel is a building where you pay to have a room to sleep in, and where you can sometimes eat meals, hii Ina maanisha kwamba,Mimi hapa nikijenga Jengo langu la kawaida kabisa sio ghorofa,nikaweka ka restaurant humo na reception alafu vyumba nifanye elfu 25 kwa siku hii tayari Ni Hotel kwa sababu by definition sio lazima zile services zote za kwenye Hotel ziwepo isipokuwa Kama Kuna restaurant basi ni Hotel tayari
Wikipedia wanasema hivi kuhusu definition ya Hotel,A
hotel is an establishment that provides paid lodging on a short-term basis. Facilities provided inside a hotel room may range from a modest-quality mattress in a small room to large suites with bigger, higher-quality beds, a dresser, a refrigerator and other kitchen facilities, chairs, a flat-screen television, and en-suite bathrooms. Small, lower-priced hotels may offer only the most basic guest services and facilities
Note
Small, lower-priced hotels may offer only the most basic guest services and facilities.
Hivo basi, sifa ya Jengo kuwa Hotel Ni kwamba watoe huduma za kulala pamoja na chakula, hii ndio sifa kubwa