georgeallen
JF-Expert Member
- Jun 3, 2011
- 4,118
- 1,875
Hii kampuni ya forex trade wamenipa mchanganua wao wa jinsi ninavyoweza kupiga hela nikitrade nao, lakini nahitaji mwongozo wenu, na hasa, waliowahi kufanya nao biashara.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
shida ya wa Tanzania ni kupenda vya bwelele kama upo interested na biashara why usiingie chimbo kujifunza kwa miezi Sita uanze ku trade nikwambie tu kuna siku utalia tu very soonHii kampuni ya forex trade wamenipa mchanganua wao wa jinsi ninavyoweza kupiga hela nikitrade nao, lakini nahitaji mwongozo wenu, na hasa, waliowahi kufanya nao biashara.
Brother kama huwezi kukimbia huku umeva viatu, vishikilie mkononi ondoka nduki.Hii kampuni ya forex trade wamenipa mchanganua wao wa jinsi ninavyoweza kupiga hela nikitrade nao, lakini nahitaji mwongozo wenu, na hasa, waliowahi kufanya nao biashara.View attachment 2837226
naona ushaelekea Qiblaninavyoweza kupiga hela
Wa kweli hao hawana shida,mimi mwenyewe nawatumia kupiga hela
🤣😂Wa kweli hao hawana shida,mimi mwenyewe nawatumia kupiga hela
Namuingiza King au anajiingiza mwenyewe King?.Ushajiita Mjinga siku nyingi...Unataka kumuingiza kingi Mwenzako
Sema kweli boss. Maana nimepewe pesa ya urithi na mimi sijui cha biashara wala kilimoWa kweli hao hawana shida,mimi mwenyewe nawatumia kupiga hela
UTAPIGWA UPASUKESema kweli boss. Maana nimepewe pesa ya urithi na mimi sijui cha biashara wala kilimo
Narudia tena forex ni utapeli ogopa kama ukomaHii kampuni ya forex trade wamenipa mchanganua wao wa jinsi ninavyoweza kupiga hela nikitrade nao, lakini nahitaji mwongozo wenu, na hasa, waliowahi kufanya nao biashara.
View attachment 2837226
hahahahahah sasa kama wanakuzalishia pesa si wasaidie ndugu zao na marafiki zao watajirike wawe matajiri wakubwaaaa..Hii kampuni ya forex trade wamenipa mchanganua wao wa jinsi ninavyoweza kupiga hela nikitrade nao, lakini nahitaji mwongozo wenu, na hasa, waliowahi kufanya nao biashara.
View attachment 2837226