Wenye magari namba (A) tuwe waungwana tuyatoe barabarani ili TRA warudi kusajili (A) tena itakapo jaa namba D

Huu mji unashangaza kuna magari no C na D yamechoka sana na kuna Land cruiser no A na B bado zinawaka sana hasa V8
It's simple, wenye gari kubwa most likely wana magari madogo kwa hiyo hizo V8 hazitembei kila siku, lakini pia ukiendesha gari ya thamani lazima zile rough za barabarani utaachana nazo. Hizi "baby walker" ndio bingwa wa rough..
 
Kuna mtu ana gari namba A na alinunuaga Toyota motors,na mpk leo hizo gari namba D
Haifiki...

Ova
 
Unanunua gari yard used unaliona jipya mzee
Wakati ni chakavu bado

Ova
 
Jamaa Nadhan ni ama ana kagari kapya ka number D Sasa anaona kanaenda jusound vibaya ndo maana anapambania karudi

IFIKE HATUA VIONGOZI WATOKE KATIKA LOYALTY FAMILY TU HAWA WATOTO WA MASKIN HAWAFAI HATA KIDOGO AISEE
Ni kweli.

Viongozi waliotoka kwenye familia za kimasikini kama JPM ndo wanaoleta hoja za ajabu ajabu
 

Huna hoja mkuu. Gari ni modular. Gari ni service.

Kama modular kitu kinachoharibika kinaweza kurejelewa na kipya chenye ubora zaidi.

Gari ni mfuko wako jombi.

Kuna magari registered AAA bora kabisa kuliko DZZ.

Tembea uone.
 
Kweli saa mbovu pia huwa sahihi mara mbili kwa siku πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Hata wewe leo unaonekana kuwa na akili timamu
 
Jamaa unazungumzia uchakavu..almost magari yoye yanayoingia Tanzania yana uchakavu
 
Mke wangu wa kambo (mchepuko wangu) alipopata mimba alichukia sana bukima (ugali) nikamzoesha kula mserebende (samaki ndogondogo). Nahisi mtoa mada nawe upo katika hali hiyo, au umeingia joto hivyo unachukia kitu kinachpitwa "A". Sijui tukuzoeze nini .....
 
mtoa mada huna akili gari zenye namba A nyingi ni nzima na imara utafikiri kanunua leo lakini kuns magari namba D zimechakaa
 
upuuzi kama huu alianzisha zungu......ukatembea weeeeee.....nchemba akauokota......akampelekea sasha......wanaumia ni wale WATANZANIA halisi wenye kipato cha kuunga unga.......namba ni namba.......gari bovu halitembei...ukiliona juwa liko zima.....TANZANIA ni TAJIRI kiasilia....MASKINI kiuhalisia....kaka mkubwa kama wewe uko njema, endelea kufaidi matunda yako...tuachie vigari vyetu vya namba A....... cha kwangu nimenunue 2002......kinapumua vema bro...na bado sana...nimeoa na festi boni anakiendesha mno....na kila kilismasi kinaenda kutalii mjini moshi......
 
Nimeibiwa kifaaa pale dodoma jamaa kaemda na gRi garage kaenda kuchokonoa kwenye mfumo wa maji
 
Umempa credit ambazo hana. Hawa ndo wale wanaopewa bundle na waume wa dada zao hana cha kuandika cha maana. Hata gari hajui kitu huyu. Ni akina na mimi nimo jf. Plate no na uchakavu wapi na wapi!
Walioko level ya kumiliki magar wanajua matatizo ya msingi kama kodi kubwa, urasimu ukaguzi nchini kupitia tbs, upotevu wa vifaa vya magari bandarin, sheria kuruhusu magari ya umeme na solar,
 
Mkuu ni ile Brevis no. D ndiyo imekupa jeuri hii?

[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…