Wenye magari namba (A) tuwe waungwana tuyatoe barabarani ili TRA warudi kusajili (A) tena itakapo jaa namba D

Wenye magari namba (A) tuwe waungwana tuyatoe barabarani ili TRA warudi kusajili (A) tena itakapo jaa namba D

Nimeweka bayana kwenye Uzi kwamba magari namba (A) yatakayobainika kuwa yanafaa ..yawekwe chini ya uangalizi maalium na yapewe plate number nyekundu au special plate mwaka hadi mwaka ili kuyafuatilia (wanaweza kuweka hata miaka miwili miwili then inaexpire)
Kuna magari Reg D, utafikiri yametafunwa na ng'ombe.
 
Kuna namba A v8 ni kama zilifishwa wakati wa JPM , sijui zimetoka wapi zimekuwa nyingi siku hizi na ni mpya .
 
Kuna magaro D, utagikiri yametafunwa na ng'ombe.
Ni heri kurudi A kwasabu itachukua miaka 15 au 12 kuijaza E wakati haya A yakiendelea kuiteketeza dunia!
Ni heri kuyaondoa mabovu, na yale yatakayoonekana mazima yapewe usajili maalum wa namba A lakini plate number rangi maalum! Kama sehemu ya uangalizi maalum
 
Back
Top Bottom