Wenye magari namba (A) tuwe waungwana tuyatoe barabarani ili TRA warudi kusajili (A) tena itakapo jaa namba D

Kuna magari Reg D, utafikiri yametafunwa na ng'ombe.
 
Kuna namba A v8 ni kama zilifishwa wakati wa JPM , sijui zimetoka wapi zimekuwa nyingi siku hizi na ni mpya .
 
Kuna magaro D, utagikiri yametafunwa na ng'ombe.
Ni heri kurudi A kwasabu itachukua miaka 15 au 12 kuijaza E wakati haya A yakiendelea kuiteketeza dunia!
Ni heri kuyaondoa mabovu, na yale yatakayoonekana mazima yapewe usajili maalum wa namba A lakini plate number rangi maalum! Kama sehemu ya uangalizi maalum
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…