Wenye mawazo bunifu mazuri mnakaribishwa kuyaendeleza mawazo yenu na kupata washirika kutoka ndani na nje ya nchi na uwezekano wa kupata ufadhili

Wenye mawazo bunifu mazuri mnakaribishwa kuyaendeleza mawazo yenu na kupata washirika kutoka ndani na nje ya nchi na uwezekano wa kupata ufadhili

Daaah kuvolunteer ! Mawazo🫢
Ndugu jiboreshe kidogo akili. Hiyo ni taasisi ina section nyingi. Kuna wahasibu hapo, madereva, watu wa IT, wafanya usafi, walinzi, watu wa m&e n.k. unachoshangaa ni nini?
 
Ndugu jiboreshe kidogo akili. Hiyo ni taasisi ina section nyingi. Kuna wahasibu hapo, madereva, watu wa IT, wafanya usafi, walinzi, watu wa m&e n.k. unachoshangaa ni nini?

Wenye mawazo bunifu mazuri mnakaribishwa kuyaendeleza mawazo yenu na kupata washirika kutoka ndani na nje ya nchi na uwezekano wa kupata ufadhili
 
Watu wote mnaofikiri mna mawazo bunifu manakaribishwa kuyaendeleza mawazo yenu kupitia usaidizi wa shirika lisilo la kiserikali la ResearchLink International.

Tafandhali jaza fomu iliyopo katika link hapo juu, submit na fuatilia e-mail kwa maelezo zaidi. Wazo lako linapaswa kuwa la kipekee sana na lenye ubunifu wa jambo litakaloweza kuwekwa kwenye matendo na sio mambo ya kufikirika au kuiga yaliyokwisha tendeka. Your idea must novel and original!

Vijana wasomi (university graduates) mnakaribishwa. Mtaunganishwa na potential collaborators kwa usaidizi na kwa ajili ya kuanzisha start-up au kampuni ili kuendeleza mawazo yenu.

Tafadhali fikisha ujumbe kwa wengine kwani Tanzania tupo nyuma sana katika kuchangamkia fursa kama hizi.

Asante.
Tafadhali changamkia fursa hizi hasa vijana.
 
Sasa mbona unawaambia wale mawazo yao uwasaidie kulinga huoni unawapotosha?
Nilishasema sawa kwako kwasababu naona unafikiri wazo ni kitu kilichopo kichwani tu, ila ujue pia wazo inaweza kumaanisha kitu ambacho kipo bado kwenye initial stages of development (model/prototype). Okay?
 
Back
Top Bottom