Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 9,189
- 16,128
Huwezi patent wazo.Umesha patent wazo lako? Ni fursa pia ya kutafuta patent ya wazo lako.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huwezi patent wazo.Umesha patent wazo lako? Ni fursa pia ya kutafuta patent ya wazo lako.
Ndugu jiboreshe kidogo akili. Hiyo ni taasisi ina section nyingi. Kuna wahasibu hapo, madereva, watu wa IT, wafanya usafi, walinzi, watu wa m&e n.k. unachoshangaa ni nini?Daaah kuvolunteer ! Mawazo🫢
Hakuna anayelinda mawazo mtu lazima awe na prototype ili kulinda. Sasa wewe unawaambia walinde mawazo. Je ni wapi huko wanakolinda mawazo?Umesha patent wazo lako? Ni fursa pia ya kutafuta patent ya wazo lako.
Ndugu jiboreshe kidogo akili. Hiyo ni taasisi ina section nyingi. Kuna wahasibu hapo, madereva, watu wa IT, wafanya usafi, walinzi, watu wa m&e n.k. unachoshangaa ni nini?
Sure ni prototype.Hakuna anayelinda mawazo mtu lazima awe na prototype ili kulinda. Sasa wewe unawaambia walinde mawazo. Je ni wapi huko wanakolinda mawazo?
Tafadhali changamkia fursa hizi hasa vijana.Watu wote mnaofikiri mna mawazo bunifu manakaribishwa kuyaendeleza mawazo yenu kupitia usaidizi wa shirika lisilo la kiserikali la ResearchLink International.
Tafandhali jaza fomu iliyopo katika link hapo juu, submit na fuatilia e-mail kwa maelezo zaidi. Wazo lako linapaswa kuwa la kipekee sana na lenye ubunifu wa jambo litakaloweza kuwekwa kwenye matendo na sio mambo ya kufikirika au kuiga yaliyokwisha tendeka. Your idea must novel and original!
Vijana wasomi (university graduates) mnakaribishwa. Mtaunganishwa na potential collaborators kwa usaidizi na kwa ajili ya kuanzisha start-up au kampuni ili kuendeleza mawazo yenu.
Tafadhali fikisha ujumbe kwa wengine kwani Tanzania tupo nyuma sana katika kuchangamkia fursa kama hizi.
Asante.
Same as me ukitaka kusaidiwa jitahidi wazo lako ulibadilishe kwanza kuwa real project iliyoanza kazi utafanikiwa ila kushare ideas big noWazo langu nalifanyia kazi mwenyewe
Sasa mbona unawaambia wale mawazo yao uwasaidie kulinga huoni unawapotosha?Sure ni prototype.
Nilishasema sawa kwako kwasababu naona unafikiri wazo ni kitu kilichopo kichwani tu, ila ujue pia wazo inaweza kumaanisha kitu ambacho kipo bado kwenye initial stages of development (model/prototype). Okay?Sasa mbona unawaambia wale mawazo yao uwasaidie kulinga huoni unawapotosha?